-
Mkutano wa usalama waanza mjini Tehran
Dec 11, 2016 08:05Mkutano wa kwanza wa usalama umeanza kufanyika leo hapa mjini Tehran ukiwa na ajenda ya "usalama wa kieneo magharibi mwa Asia.
-
'Iran itatoa jibu kali baada ya Marekani kukiuka mapatano ya nyuklia'
Dec 02, 2016 16:13Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema hatua ya Bunge la Congress la Marekani kurefusha vikwazo dhidi ya Iran ni ukiukaji wa wazi wa mapatano ya nyuklia baina ya Iran na madola sita makubwa duniani.
-
Tehran: Njama za kuharibu usalama wa Iran zimefeli
Oct 30, 2016 15:42Kaimu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, njama zote za maadui za kuvuruga usalama wa Iran zimefeli.
-
Safari ya Mogherini Tehran, mashauriano kuhusu masuala ya kieneo
Oct 29, 2016 13:03Federica Mogherini Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya leo asubuhi amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Muhammad Javad Zarif Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu masuala ya pande mbili, matukio ya kieneo na kimataifa.
-
Kadhim Siddiqi: Taifa la Iran lilisimama imara mbele ya uchokozi na dhulma ya madola makubwa
Sep 23, 2016 14:02Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran ameeleza kuwa kurejesha amani na uthabiti katika eneo la Mashariki ya Kati kunategemea kuwepo vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)
Sep 16, 2016 14:56Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema jinai za kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh au ISIS zinatokana na fikra za kuwakufurisha Waislamu ambazo zinatawala Saudi Arabia.
-
Zarif na Cavusoglu wajadili masuala ya kieneo
Aug 19, 2016 16:43Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Mevlut Cavusoglu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amekutana na kufanya mazungumzo hapa Tehran na Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa muda wa masaa matano.
-
Ayatullah Khatami: Marekani na Saudia zinataka kulifufua kundi la kigaidi la MKO
Aug 19, 2016 16:35Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran amesema kuliunga mkono kundi la kigaidi la Munafiqina ndio mpango mpya wa mabeberu na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya taifa la Iran.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran alaani jinai za Aal Saud nchini Yemen
Jul 29, 2016 16:34Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saud huko Yemen na kusema kuwa vitendo vya utawala huo vinakinzana na sheria za kimataifa na za Kiislamu.
-
Iran yatibua shambulizi la kigaidi dhidi ya Tehran
Jun 20, 2016 07:04Vyombo vya usalama nchini Iran vimetibua njama ya kutekelezwa shambulizi la kigaidi hapa mjini Tehran na kuwatia mbaroni watuhumiwa kadhaa wa njama hizo za kigaidi.