-
Maadhimisho ya mwaka wa 27 wa kufariki dunia Imam Khomeini MA
Jun 03, 2016 14:53Sehemu ya umati mkubwa wa watu walioshiriki katika kumbukumbu ya mwaka wa 27 wa kufariki dunia Imam Khomeini MA zilizofanyika Ijumaa, Juni 3, 2016, katika haram ya mwasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kusini mwa Tehran
-
Siku ya Afrika inaadhimishwa leo mjini Tehran
May 25, 2016 07:31Sherehe za kuadhimisha Siku ya Afrika zinafanyika leo hapa mjini Tehran katika ofisi ya utafiti wa kisiasa na kimataifa ya Wizara ya Mambo ya Nje.
-
Vifaa vya tiba vya Iran vinauzwa katika nchi 44 duniani
May 16, 2016 16:07Katibu wa Umoja wa Wasafirishaji Nje Vifaa vya Tiba vya Iran amesema kuwa, Tehran inauza vifaa vyake vya tiba kwa nchi 44 duniani.
-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU awasili Tehran na ujumbe wa ngazi za juu
Apr 16, 2016 07:30Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amewasili hapa mjini Tehran akiandamana na ujumbe wa ngazi za juu wa wanasiasa, wawekezaji na wafanyabiashara wa Ulaya katika safari inayolenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na EU.
-
Waziri Mkuu wa Italia awasili mjini Tehran
Apr 12, 2016 04:26Waziri Mkuu wa Italia Matteo Renzi amewasili mjini Tehran mapema leo akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake.
-
Iran haitosalimu amri mbele ya madola ya kibeberu
Mar 25, 2016 15:51Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesistiza kuwa taifa la Iran halitosalimu amri mbele ya matakwa ya madola ya kibeberu.
-
Ayatullah Kermani: Vikosi vya ulinzi vijizatiti kwa silaha za kisasa
Mar 18, 2016 16:55Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo ya mjini Tehran Ayatullah Muhammad Ali Movahedi-Kermani amesema kuna ulazima wa vikosi vya ulinzi kujizatiti kwa silaha za kisasa kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya maadui.
-
Ayatullah Kermani: Vikosi vya ulinzi vijizatiti kwa silaha za kisasa
Mar 18, 2016 16:37Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo ya mjini Tehran Ayatullah Muhammad Ali Movahedi-Kermani amesema kuna ulazima wa vikosi vya ulinzi kujizatiti kwa silaha za kisasa kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya maadui.
-
Kashani: Mwamko wa wananchi na jeshi umemaliza njama za adui
Mar 11, 2016 16:25Khatibu wa sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran, Ayatullah Muhammad Emami Kashani amesema kuwa, mwamko wa siku zote wa wananchi katika nyanja mbalimbali na pia uwezo wa majeshi ya ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, umeondoa kila aina ya chokochoko za adui dhidi ya taifa hili.
-
Maziko ya mtegeneza filamu mashuhuri wa Iran
Feb 29, 2016 02:35Maziko ya mtengeneza filamu mashuhuri wa Iran, Farajullah Salahshur yalifanyika jana Jumapili kwa kushiriki idadi kubwa ya wapenzi wa tasnia ya filamu hapa nchini.