Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Ushiriki mdogo wa wananchi wa Tunisia katika uchaguzi wa Bunge

    Ushiriki mdogo wa wananchi wa Tunisia katika uchaguzi wa Bunge

    Dec 19, 2022 09:17

    Karibu akthari ya watu waliotimiza masharti ya kupiga kura nchini Tunisia walisusia uchaguzi wa Bunge uliofanyika Jumamosi ya juzi tarehe 17 Disemba.

  • Upinzani wataka Rais wa Tunisia ajiuzulu kwa 'kususiwa' uchaguzi wa bunge

    Upinzani wataka Rais wa Tunisia ajiuzulu kwa 'kususiwa' uchaguzi wa bunge

    Dec 18, 2022 07:11

    Muungano mkubwa zaidi wa upinzani nchini Tunisia umemtaka Rais Kais Saied wa nchi hiyo ajiuzulu kutokana na ushiriki mdogo wa wananchi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika jana.

  • Wananchi wa Tunisia wapiga kura katika uchaguzi wa bunge uliosusiwa na wapinzani

    Wananchi wa Tunisia wapiga kura katika uchaguzi wa bunge uliosusiwa na wapinzani

    Dec 18, 2022 00:44

    Wananchi wa Tunisia jana Jumamosi walianza kupiga kura katika uchaguzi wa kwanza wa wabunge tangu Rais Kais Saied atangaze hatua za kipekee Julai 25 mwaka jana baada ya kulifuta kazi Bunge na kutwaa madaraka yote ya nchi. Vyama vya kisiasa na makundi ya upinzani yamesusia uchaguzi huo.

  • Hukumu ya Saudia Arabia dhidi ya daktari Mtunisia yapingwa na kulaaniwa vikali

    Hukumu ya Saudia Arabia dhidi ya daktari Mtunisia yapingwa na kulaaniwa vikali

    Oct 24, 2022 04:07

    Taasisi ya Kitaifa ya Kuunga Mkono Muqawama na Kupinga Kuanzishwa Uhusiano wa Kawaida na utawala haramu wa Israel ya nchini Tunisia imelaani vikali hukumu ya Saudi Arabia ya kumfunga jela miaka 15 daktari mmoja wa kike raia wa Tunisia kwa kuweka video ya maandamano ya kuiunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Maelfu waandamana Tunisia kutaka rais Kais Saeid na serikali nzima wajiuzulu

    Maelfu waandamana Tunisia kutaka rais Kais Saeid na serikali nzima wajiuzulu

    Oct 15, 2022 23:00

    Wapinzani na wakosoaji wa rais Kais Saeid wa Tunisia wamefanya maandamano makubwa wakimtaka kiongozi huyo na serikali ya sasa ya nchi hiyo wajiuzulu.

  • Maiti 8 za wahajiri zapatikana pwani ya kusini ya Tunisia

    Maiti 8 za wahajiri zapatikana pwani ya kusini ya Tunisia

    Oct 11, 2022 08:21

    Wavuvi wa Tunisia wameopoa miili ya wahajiri wanane waliokufa maji katika pwani ya mji wa Zarzis, kusini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Tangazo la Rais wa Tunisia la marekebisho ya sheria ya uchaguzi

    Tangazo la Rais wa Tunisia la marekebisho ya sheria ya uchaguzi

    Oct 09, 2022 06:52

    Ofisi ya Rais wa Tunisia imetangaza katika taarifa yake kwamba Rais Kais Saied, ameamua kurekebisha sheria ya uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo.

  • Kais Saied aahidi kufanyia marekebisho sheria ya uchaguzi Tunisia

    Kais Saied aahidi kufanyia marekebisho sheria ya uchaguzi Tunisia

    Oct 08, 2022 23:27

    Baada ya patashika na mijadala mingi hatimaye Rais wa Jamhuri ya Tunisia, Kais Saied ametangaza kwamba atafanya marekebisho ya sheria ya uchaguzi ya nchi hiyo.

  • Kiongozi wa Ennahdha kusailiwa na polisi ya Tunisia madai ya 'ugaidi'

    Kiongozi wa Ennahdha kusailiwa na polisi ya Tunisia madai ya 'ugaidi'

    Sep 18, 2022 03:42

    Kiongozi wa chama cha Kiislamu chenye ushawishi mkubwa nchini Tunisia cha Ennahdha anatazamiwa kusailiwa na jeshi la polisi la nchi hiyo kesho Jumatatu.

  • Ennahda yapinga kamatakamata ya wanasiasa nchini Tunisia

    Ennahda yapinga kamatakamata ya wanasiasa nchini Tunisia

    Sep 14, 2022 22:44

    Harakati ya Ennahda nchini Tunisia imelaani vikali kile ilichoeleza kuwa ni kukamatwa kiholela kwa watu kadhaa akiwemo kiongozi wa ngazi ya juu wa harakati hiyo, Habib Al-Louz na kutaka waachiliwe huru mara moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS