-
Wairaqi wanaelekea vituo vya kupigia kura kuchagua bunge la nne tangu baada ya enzi za Saddam
May 12, 2018 04:16Uchaguzi wa nne wa bunge unafanyika nchini Iraq hii leo tangu ulipoangushwa utawala wa kidikteta wa Saddam mwaka 2003 na wa kwanza baada ya kusambaratishwa na kutokomezwa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) katika nchi hiyo.
-
Kuakisiwa ushindi wa mhimili wa muqawama katika uchaguzi wa bunge wa Lebanon na hotuba muhimu ya Sayyid Hassan Nasrullah
May 09, 2018 08:00Akizungumza katika hotuba yake ya kwanza baada kufanyika uchaguzi wa bunge wa Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) ameutaja uchaguzi huo kuwa mafaniko makubwa ya kitaifa kwa Lebanon.
-
Waziri Mkuu wa Iraq aonya kuhusu hujuma za kigaidi za kundi la Daesh
Mar 21, 2018 08:14Waziri Mkuu wa Iraq ametahadharisha kuhusu hujuma na mashambulizi yanayoweza kufanywa na mabaki ya kundi la kigaidi la Daesh sambamba na kukaribia uchaguzi wa Bunge nchini humo uliopangwa kufanyika tarehe 12 mwezi Mei mwaka huu.
-
Chama tawala Djibouti chadai ushindi katika uchaguzi uliosusiwa na wapinzani
Feb 27, 2018 02:52Chama tawala nchini Djibouti kimedai ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa bunge la nchi hiyo, kwa kupata asilimia zaidi ya 90 ya viti vyote baada ya wapinzani kususia uchaguzi huo.
-
Uchaguzi wa Bunge Gabon kufanyika Aprili mwaka huu
Feb 22, 2018 14:15Alain-Claude Bilie By Nze, msemaji wa serikali ya Gabon ametangaza kuwa, uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo utafanyika mwezi Aprili mwaka huu.
-
Bunge la Iraq kuchukua uamuzi kuhusu tarehe ya kufanyika uchaguzi
Jan 20, 2018 15:31Bunge la Iraq leo Jumamosi limeshindwa kufikia uamuzi kuhusiana na tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Bunge katika kikao chake maalumu hivi leo.
-
Waingereza washiriki uchaguzi mkuu, Wabunge 650 kuchaguliwa
Jun 08, 2017 07:53Mamilioni ya wananchi wa Uingereza hii leo wanaelekea kwenye masanduku ya kupiga kura kushiriki uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, ambapo chama tawala cha Kihafidhina kinatazamiwa kuchuana vikali na chama cha upinzani cha Leba.
-
Wagambia kuchagua bunge leo baada ya utawala wa miaka 22 wa Jammeh
Apr 06, 2017 03:20Wananchi wa Gambia leo tarehe 6 Aprili wanatarajiwa kuelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kwa shabaha ya kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la nchi hiyo.
-
Wananchi wa Gambia kuwachagua wabunge baada ya miaka 22 ya utawala wa kidikteta
Apr 05, 2017 04:11Wananchi wa Gambia huko magharibi mwa Afrika wanatazamia kuelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa bunge baada ya kupita miaka 22 ya utawala wa kidikteta wa Yahya Jammeh.
-
Wenye misimamo mikali washindwa katika uchaguzi wa bunge Uholanzi
Mar 16, 2017 12:30Matokeo ya uchaguz wa bunge Uholanzi yanaonyesha kuwa wanasiasa wenye misimamo mikali wamepata pigo huku chama cha Waziri Mkuu kikipata ushindi.