-
Changamoto za ndani na za nje za Macron katika duru ya pili ya urais nchini Ufaransa
Apr 26, 2022 22:08Kushinda tena Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa katika uchaguzi wa Rais wa mwaka huu kumeibua maswali mengi kuhusiana na sababu hasa ya wananchi wa nchi hiyo kumpigia kura mwanasiasa huyo.
-
Macron ashinda uchaguzi wa rais wa Ufaransa
Apr 25, 2022 04:06Emmanuel Macron jana Jumapili, Aprili 24, alichaguliwa tena katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais kuiongoza Ufaransa, na hivyo kuchukua hatamu za nchi hiyo kubwa ya Ulaya kwa kipindi kingine cha miaka 5.
-
Uchunguzi wa maoni: Macron atashinda uchaguzi wa rais Ufaransa
Apr 23, 2022 07:53Matokeo ya uchunguzi wa maoni kuhusu duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Ufaransa yaliyochapishwa hadi kumalizika kwa muda wa kisheria wa kampeni za wagombea wawili wa uchaguzi huo yameonesha kuwa Emmanel Macron atashinda kiti cha rais.
-
Macron na Le Pen waingia duru ya pili uchaguzi wa rais Ufaransa, ushiriki umepungua
Apr 11, 2022 07:20Rais anayemaliza muda wake wa Ufaransa, Emmanuel Macron na mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia wa , Marine Le Pen wameongoza matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais wa Ufaransa uliofanyika jana Jumapili, na wakahamia duru ya pili kati ya hizi. uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili 24.
-
Umoja wa Mataifa waunga mkono kufanyika uchaguzi wa Libya katika wakati mwafaka
Dec 24, 2021 08:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amehimiza kufanyika uchaguzi mkuu wa Bunge na Rais katika tarehe mwafaka nchini Libya.
-
Uchunguzi: Wanasiasa waliojitokeza kuwania kiti cha rais 2022 hawana jipya kwa Wakenya
Jul 29, 2021 05:58Tathmini ya rekodi za kisiasa iliyofanyika huko Kenya inaonyesha kuwa wanasiasa wakuu wanne waliotangaza nia ya kuwania urais mwaka ujao hawana kipya cha kuwafaa Wakenya.
-
Rabei: Mahudhurio ya Wairani katika uchaguzi yametoa jibu la "hapana" kwa propaganda za kususiwa zoezi hilo
Jun 22, 2021 06:27Msemaji wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mahudhurio ya wananchi katika zoezi la kupiga kura kwenye uchaguzi wa Rais na Mabaraza ya Miji na Vijiji wa Ijumaa iliyopita yametoa jibu la "hapana" kwa waliotoa wito wa kususiwa zoezi hilo ambao kwa hakika wanashirikiana na maadui walioliwekea vikwazo taifa la Iran.
-
Ujumbe wa Uchaguzi wa Iran katika eneo la Asia Magharibi
Jun 20, 2021 22:19Kujitokeza mamilioni ya wananchi wa Iran katika uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, siku ya Ijumaa ya tarehe 18 Juni 2021 kumetoa ujumbe wa kila namna katika eneo la Asia Magharibi.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu umuhimu wa kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa rais
Jun 17, 2021 04:07Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzui ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amesema kuwa, kushiriki wananchi kwenye maamuzi ya kitaifa kwenye mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ni msingi na nguzo muhimu ya kifikra na wala si suala la kisiasa tu.
-
Syria: Nchi za Magharibi uchaguzi wetu haukuhusuni ndewe wala sikio
May 27, 2021 06:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa, nchi za Magharibi hazipaswi kujipa uthubutu wa kuzungumzia uchaguzi wa nchi hiyo kwani hauzihusu kwa mbali wala kwa karibu nchi hizo za kibeberu.