Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais

  • Nukta sita kuhusu uchaguzi wa rais nchini Syria

    Nukta sita kuhusu uchaguzi wa rais nchini Syria

    May 27, 2021 06:35

    Uchaguzi wa pili wa rais katika muongo mmoja uliopita nchini Syria ulifanyika jana Mei 26. Tunaweza kuashiria nukta kadhaa hapa kuhusu uchaguzi huo.

  • Bashar al-Assad kuwania tena urais Syria katika uchaguzi wa mwezi ujao

    Bashar al-Assad kuwania tena urais Syria katika uchaguzi wa mwezi ujao

    Apr 21, 2021 07:08

    Rais Bashar al-Assad wa Syria leo amekabidhi fomu za kugombea kiti cha urais katika uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 26 ya mwezi ujao wa Mei.

  • Bobi Wine ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Uganda; Museveni aongoza

    Bobi Wine ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Uganda; Museveni aongoza

    Jan 15, 2021 11:21

    Licha ya matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais nchini Uganda kuonesha kuwa Rais Yoweri Museveni yupo kifua mbele, lakini mgombea mkuu wa upinzani, Bobi Wine tayari ameshajitangaza kuwa mshindi wa uchaguzi huo uliofanyika jana Alkhamisi.

  • Polisi ya Uganda 'yamkamata tena' Bobi Wine na timu yake ya kampeni

    Polisi ya Uganda 'yamkamata tena' Bobi Wine na timu yake ya kampeni

    Dec 30, 2020 10:38

    Kwa mara nyingine tena, jeshi la polisi la Uganda limeripotiwa kumtia mbaroni Bobi Wine, kiongozi machachari wa upinzani nchini humo ambaye pia ni mgombea wa urais katika uchaguzi wa mapema mwakani.

  • Wananchi wa Ghana washiriki uchaguzi wa rais; marais wa sasa na wa zamani kuchuana vikali

    Wananchi wa Ghana washiriki uchaguzi wa rais; marais wa sasa na wa zamani kuchuana vikali

    Dec 07, 2020 08:56

    Wananchi wa Ghana waliotimiza masharti ya kupiga kura leo walijitokeza mapema katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kumchagua rais, katika uchaguzi unaoelezwa kuwa wenye ushindani mkali.

  • Chadema na ACT Wazalendo vyapinga matokeo ya uchaguzi mkuu Tanzania, Waangalizi wasema ulifuata taratibu

    Chadema na ACT Wazalendo vyapinga matokeo ya uchaguzi mkuu Tanzania, Waangalizi wasema ulifuata taratibu

    Oct 31, 2020 09:43

    Vyama vya upinzani nchini Tanzania vya CHADEMA na ACT Wazalendo vimesema kuwa havitambui matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

  • EACJ yatupilia mbali faili la ukomo wa urais nchini Uganda

    EACJ yatupilia mbali faili la ukomo wa urais nchini Uganda

    Sep 30, 2020 10:11

    Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki (EACJ) imetupilia mbali faili lililowasilishwa kwake la kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu ya Uganda, wa kuidhinisha mabadiliko ya katiba yalioondoa ukomo wa umri wa kugombea urais katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Wapinzani waendelea kupinga Ouattara kugombea tena urais Ivory Coast

    Wapinzani waendelea kupinga Ouattara kugombea tena urais Ivory Coast

    Sep 09, 2020 07:11

    Wapinzani nchini Kodivaa wamendelea kupinga na kulalamikia hatua ya Rais Alassane Outtara ya kuamua kugombea tena urais nchini humo.

  • Uchaguzi mkuu Burundi wafanyika leo licha ya changamoto ya virusi vya Corona

    Uchaguzi mkuu Burundi wafanyika leo licha ya changamoto ya virusi vya Corona

    May 20, 2020 07:04

    Wananchi wa Burundi waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wamejitokeza na kushiriki katika uchaguzi wa Rais na wawakilishi wao wa Bunge licha ya kuweko changamoto mbalimbali kama tishio la virusi vya Corona.

  • Mahakama ya Juu Guinea-Bissau yaitaka tume ya uchaguzi ifafanue hesabu za kura za uchaguzi wa rais

    Mahakama ya Juu Guinea-Bissau yaitaka tume ya uchaguzi ifafanue hesabu za kura za uchaguzi wa rais

    Jan 18, 2020 11:10

    Matokeo ya uchaguzi wa rais wa Guinea-Bissau yameingia mashakani baada ya Mahakama ya Juu Kabisa ya nchi hiyo kutoa mwito kwa tume ya uchaguzi kutoa ufafanuzi wa hesabu za kura za uchaguzi huo. Wito huo umetolewa saa kadhaa tu baada ya tume hiyo kutangaza matokeo rasmi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS