Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Makaburi ya Waislamu Ufaransa yabomolewa na makundi yenye misimamo mikali

    Makaburi ya Waislamu Ufaransa yabomolewa na makundi yenye misimamo mikali

    Dec 13, 2021 03:59

    Chuki dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa zinazidi kuongezeka baada ya makaburi ya Waislamu kushambuliwa na makundi yenye misimamo ya kufurutu mpaka.

  • Emmanuel Macron ashutumiwa kwa kujaribu 'kumsafisha' Mohammed bin Salman

    Emmanuel Macron ashutumiwa kwa kujaribu 'kumsafisha' Mohammed bin Salman

    Dec 04, 2021 23:33

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa mkutano wa Rais Emmanuel Macron na Ufaransa na mriti wa ufalme wa Saudia Mohammed bin Salman jana Jumamosi huko Riyadh yakisisitiza kuwa mkutano huo una lengo la kumsafisha mrithi huo wa ufalme wa Saudia aliyeamuru kuuawa kigaidi mwandishi habari jamal Khashoggi.

  • Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Dec 03, 2021 23:09

    Baada ya siku saba, Ufaransa imekataa ombi la Uingereza lililokuwa limetolewa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson kwa Rais Emmanuel Macron.

  • Upinzani dhidi ya wanajeshi wa Ufaransa waongezeka Niger, Burkina Faso

    Upinzani dhidi ya wanajeshi wa Ufaransa waongezeka Niger, Burkina Faso

    Nov 27, 2021 23:21

    Asasi za kitaifa za Niger zimeendelea na harakati kama za wananchi wa Burkina Faso za kufanya maandamano ya kupinga kuwepo wanajeshi wa Ufaransa katika nchi hizo.

  • Maafa ya vifo vya wakimbizi katika mfereji wa Manch, matokeo ya mzozo kati ya Ufaransa na Uingereza

    Maafa ya vifo vya wakimbizi katika mfereji wa Manch, matokeo ya mzozo kati ya Ufaransa na Uingereza

    Nov 27, 2021 11:28

    Zaidi ya wakimbizi 27 kutoka pwani ya kaskazini ya Ufaransa waliovuka Mfereji wa Manchi wakijaribu kufika katika ardhi ya Uingereza walighariki na kufariki Jumatano jioni, Novemba 24, baada ya boti yao kuzama.

  • Uingereza na Ufaransa zashambuliana kwa maneno kuhusu wakimbizi

    Uingereza na Ufaransa zashambuliana kwa maneno kuhusu wakimbizi

    Nov 25, 2021 23:18

    Nchi mbili za Ulaya za Uingereza na Ufaransa zimeingia kwenye malumbano na vita vikali vya maneno baada ya wakimbizi 34 kupoteza maisha baharini wakati walipokuwa njiani kukimbilia Uingereza.

  • Ripoti: Misri ilitumia taarifa za kijasusi za Ufaransa kuua raia

    Ripoti: Misri ilitumia taarifa za kijasusi za Ufaransa kuua raia

    Nov 22, 2021 08:33

    Ripoti mpya imefichua kuwa, vikosi vya usalama vya Misri vimetumia taarifa za kiintelijensia za jeshi la Ufaransa kuwahujumu na hata kuwaua raia wa nchi hiyo ya Kiarabu wanaotuhumiwa kufanya magendo.

  • Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa

    Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa

    Nov 21, 2021 04:42

    Vyombo vya habari vimeripot kwamba raia wanne wa Burkina Faso wamejeruhiwa katika malalamiko ya kupinga kupita nchini humo msafara wa kijeshi wa Ufaransa kuelekea nchi jirani ya Niger.

  • Algeria yafunga ofisi zake sita za kibalozi nchini Ufaransa

    Algeria yafunga ofisi zake sita za kibalozi nchini Ufaransa

    Nov 19, 2021 04:09

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuvurugika uhusiano wa kidiplomasia kati ya Ufaransa na Algeria, serikali ya Algiers imetangaza habari ya kufunga balozi zake ndogo zipatazo sita katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Mkutano wa Paris wataka askari wa kigeni walioivamia Libya waondoke nchini humo

    Mkutano wa Paris wataka askari wa kigeni walioivamia Libya waondoke nchini humo

    Nov 13, 2021 08:06

    Washiriki wa mkutano wa Paris, mji mkuu wa Ufaransa wametaka kufanyike uchaguzi katika tarehe iliyopangwa nchini Libya, kama ambavyo wamehimiza pia wajibu wa kutoka wanajeshi wa kigeni nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS