-
Rais wa Ufaransa atuhumiwa kueneza chuki dhidi ya Waislamu
Nov 04, 2019 23:01Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametuhumiwa kuhusika na kueneza chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Mripuko wa bomu waua askari wa Ufaransa nchini Mali
Nov 03, 2019 04:25Mwanajeshi wa Ufaransa ameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa kando ya barabara karibu na eneo la Menaka mashariki mwa Mali.
-
Uturuki: Ufaransa na Israel zilitaka kuunda 'dola la kigaidi' Syria
Nov 02, 2019 09:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema Ufaransa na utawala wa Kizayuni wa Israel zilikuwa na hamu kubwa ya kuunda dola la kigaidi ndani ya ardhi ya Syria.
-
Wanawake wanaovaa hijabu Ufaransa wapigwa marufuku kuandamana na watoto wao katika safari za kishule
Oct 31, 2019 04:12Baraza la Seneti la Ufaransa limepasisha muswada ambao unawapiga marufuku akina mama wanaovaa hijabu kuandamana na watoto wao katika safari za kishule.
-
Shambulizi dhidi ya msikiti Ufaransa; watu wawili wapigwa risasi
Oct 29, 2019 00:11Watu wawili wamejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa risasi nje ya msikiti mmoja katika mji wa Bayonne, kusini magharibi mwa Ufaransa.
-
Miji mbalimbali ya Ufaransa yashuhudia mikusanyiko ya kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu
Oct 28, 2019 08:32Miji mbalimbali ya Ufaransa imeshuhudia mikusanyiko mikubwa ya kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Baruapepe zafichua siri ya namna Ufaransa ilivyohusika katika mauaji ya Gaddafi
Oct 20, 2019 23:09Baruapepe elfu tatu zilizotumwa kwa siri kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani zimefichua namna Ufaransa ilivyohusika katika mauaji ya kiongozi wa zamani wa Libya Muammar Gaddafi.
-
Kuuziwa silaha Saudi Arabia; mwendelezo wa siasa za kindumakuwili za madola ya Ulaya mkabala na vita vya Yemen
Oct 11, 2019 08:51Katika hali ambayo, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia ungali unaendelea kufanya mauaji huko nchini Yemen, na madola ya Magharibi nayo yameendelea kuiimarisha kijeshi Riyadh kutokana na kuipatia silaha na zana za kijeshi, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amejitoa kimasomaso na kuzitaka Saudia na Imarati kutotumia katika vita vyao huko Yemen silaha zilizotengenezwa nchini Ufaransa kwani kufanya hivyo kunaweza kupelekea kuuawa raia.
-
Sarkozy akabiliwa na kifungo cha mwaka mmoja jela
Oct 03, 2019 00:45Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy anakabiliwa na kifungo na faini iwapo mashtaka yanayomkabili yatathibitishwa na mahakama ya nchi hiyo.
-
Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya
Sep 26, 2019 23:08Waziri Mkuu na Mkuu wa baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka kusitishwa uingiliaji wa Imarati, Misri na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yake.