Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Rais wa Ufaransa atuhumiwa kueneza chuki dhidi ya Waislamu

    Rais wa Ufaransa atuhumiwa kueneza chuki dhidi ya Waislamu

    Nov 04, 2019 23:01

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametuhumiwa kuhusika na kueneza chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Mripuko wa bomu waua askari wa Ufaransa nchini Mali

    Mripuko wa bomu waua askari wa Ufaransa nchini Mali

    Nov 03, 2019 04:25

    Mwanajeshi wa Ufaransa ameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa kando ya barabara karibu na eneo la Menaka mashariki mwa Mali.

  • Uturuki: Ufaransa na Israel zilitaka kuunda 'dola la kigaidi' Syria

    Uturuki: Ufaransa na Israel zilitaka kuunda 'dola la kigaidi' Syria

    Nov 02, 2019 09:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema Ufaransa na utawala wa Kizayuni wa Israel zilikuwa na hamu kubwa ya kuunda dola la kigaidi ndani ya ardhi ya Syria.

  • Wanawake wanaovaa hijabu Ufaransa wapigwa marufuku kuandamana na watoto wao katika safari za kishule

    Wanawake wanaovaa hijabu Ufaransa wapigwa marufuku kuandamana na watoto wao katika safari za kishule

    Oct 31, 2019 04:12

    Baraza la Seneti la Ufaransa limepasisha muswada ambao unawapiga marufuku akina mama wanaovaa hijabu kuandamana na watoto wao katika safari za kishule.

  • Shambulizi dhidi ya msikiti Ufaransa; watu wawili wapigwa risasi

    Shambulizi dhidi ya msikiti Ufaransa; watu wawili wapigwa risasi

    Oct 29, 2019 00:11

    Watu wawili wamejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa risasi nje ya msikiti mmoja katika mji wa Bayonne, kusini magharibi mwa Ufaransa.

  • Miji mbalimbali ya Ufaransa yashuhudia mikusanyiko ya kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu

    Miji mbalimbali ya Ufaransa yashuhudia mikusanyiko ya kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu

    Oct 28, 2019 08:32

    Miji mbalimbali ya Ufaransa imeshuhudia mikusanyiko mikubwa ya kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Baruapepe zafichua siri ya namna Ufaransa ilivyohusika katika mauaji ya Gaddafi

    Baruapepe zafichua siri ya namna Ufaransa ilivyohusika katika mauaji ya Gaddafi

    Oct 20, 2019 23:09

    Baruapepe elfu tatu zilizotumwa kwa siri kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani zimefichua namna Ufaransa ilivyohusika katika mauaji ya kiongozi wa zamani wa Libya Muammar Gaddafi.

  • Kuuziwa silaha Saudi Arabia; mwendelezo wa siasa za kindumakuwili za madola ya Ulaya mkabala na vita vya Yemen

    Kuuziwa silaha Saudi Arabia; mwendelezo wa siasa za kindumakuwili za madola ya Ulaya mkabala na vita vya Yemen

    Oct 11, 2019 08:51

    Katika hali ambayo, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia ungali unaendelea kufanya mauaji huko nchini Yemen, na madola ya Magharibi nayo yameendelea kuiimarisha kijeshi Riyadh kutokana na kuipatia silaha na zana za kijeshi, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amejitoa kimasomaso na kuzitaka Saudia na Imarati kutotumia katika vita vyao huko Yemen silaha zilizotengenezwa nchini Ufaransa kwani kufanya hivyo kunaweza kupelekea kuuawa raia.

  • Sarkozy akabiliwa na kifungo cha mwaka mmoja jela

    Sarkozy akabiliwa na kifungo cha mwaka mmoja jela

    Oct 03, 2019 00:45

    Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy anakabiliwa na kifungo na faini iwapo mashtaka yanayomkabili yatathibitishwa na mahakama ya nchi hiyo.

  • Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya

    Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya

    Sep 26, 2019 23:08

    Waziri Mkuu na Mkuu wa baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka kusitishwa uingiliaji wa Imarati, Misri na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS