Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Mahmoud Abbas asisitiza kutekelezwa mpango wa 'amani' wa Ufaransa

    Mahmoud Abbas asisitiza kutekelezwa mpango wa 'amani' wa Ufaransa

    Jun 03, 2016 02:52

    Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza tena kutekelezwa mpango wa Ufaransa wa kutatua kadhia ya Palestina licha ya Wapalestina wenyewe kuupinga mpango huo.

  • Safari ya Rais wa Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Safari ya Rais wa Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 14, 2016 02:36

    Rais Francois Hollande wa Ufaransa Ijumaa aliitembelea kwa masaa kadhaa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR)na kukutana na rais wa nchi hiyo Faustin-Archange Touadéra.

  • Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994

    Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994

    May 10, 2016 10:33

    Mameya wawili wa zamani wa Rwanda Jumanne hii wamefikishwa kizimbani Ufaransa wakikabiliwa na mashtaka ya kutenda jinai dhidi ya binadamu na mauaji ya kimbari mwaka 1994 katika nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika.

  • Kuongezeka hatua za chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa

    Kuongezeka hatua za chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa

    May 03, 2016 23:36

    Kamisheni ya Mashauri ya Haki za Binadamu nchini Ufaransa (CNCDH) imetangaza katika ripoti yake ya kila mwaka kwamba, vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vimeongezeka mara tatu nchini humo katika mwaka uliopita wa 2015.

  • Marais wa Ufaransa na Misri wasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya ugaidi

    Marais wa Ufaransa na Misri wasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya ugaidi

    Apr 18, 2016 02:45

    Marais wa Ufaransa na Misri wamesisitiza kuwa upo udharura wa kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya ugaidi.

  • Wahudumu wa Air France sharti kuvaa Hijab wakija Iran

    Wahudumu wa Air France sharti kuvaa Hijab wakija Iran

    Apr 03, 2016 10:02

    Wanawake wanaohudumu katika Shirika la Ndege la Air France wamefahamishwa kuwa ni sharti wavae Hijabu wakati ndege yao inaposimama nchini Iran.

  • Waziri wa Ufaransa alazimika kuomba radhi baada ya kukejeli hijabu

    Waziri wa Ufaransa alazimika kuomba radhi baada ya kukejeli hijabu

    Mar 31, 2016 09:48

    Waziri wa Haki za Wanawake wa Ufaransa amejikuta pabaya baada ya kutoa matamshi ya kuwavunjia heshima wanawake wa Kiislamu na vazi la stara la hijabu.

  • Paris: Wafaransa zaidi ya 600 wamejiunga na Daesh

    Paris: Wafaransa zaidi ya 600 wamejiunga na Daesh

    Mar 20, 2016 22:29

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ufaransa imetangaza kuwa Wafaransa zaidi ya 600 wamejiunga na kundi la kigaidi la Daesh katika nchi za Syria na Iraq tangu baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Paris Novemba mwaka jana.

  • Ufaransa: Kutiwa mbaroni Salah Abdeslam ni pigo kubwa kwa Daesh

    Ufaransa: Kutiwa mbaroni Salah Abdeslam ni pigo kubwa kwa Daesh

    Mar 20, 2016 04:39

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa, Bernard Cazeneuve amesema kuwa, kutiwa mbaroni Salah Abdeslam, mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya umwagaji damu mkubwa ya mwezi Novemba mwaka jana jijini Paris, Ufaransa na kusababisha makumi ya watu kuuawa, ni pigo kubwa kwa kundi la kigaidi la Daesh barani Ulaya.

  • Mahmoud Abbas aunga mkono mpango wa 'amani' wa Ufaransa

    Mahmoud Abbas aunga mkono mpango wa 'amani' wa Ufaransa

    Mar 18, 2016 13:08

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza tena juu ya uungaji mkono wake kwa mpango uliopendekezwa na Ufaransa wa kuitishwa mkutano wa kimataifa kwa ajili ya mazungumzo ya mapatano ya Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS