Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda yaomba kushirikiana zaidi na Iran katika sekta ya kilimo

    Uganda yaomba kushirikiana zaidi na Iran katika sekta ya kilimo

    Oct 27, 2018 12:11

    Waziri wa Kilimo wa Uganda Vincent Ssempijja amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa katika sekta ya kilimo, hivyo ametaka mashirika ya kilimo ya Iran yawekeze nchini humo na pande mbili kushirikiana zaidi katika miradi ya kilimo.

  • ICC yasikiliza kesi ya kamanda wa waasi wa Uganda wa LRA

    ICC yasikiliza kesi ya kamanda wa waasi wa Uganda wa LRA

    Oct 22, 2018 12:20

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeanza kusikiliza kesi ya kamanda wa genge la kigaidi la Kikristo la LRA lililokuwa linapigania kusimamisha serikali itakayoongozwa kwa amri kumi za Biblia nchini Uganda.

  • IPU yapiga marufuku mijadala kuhusu ushoga na usagaji

    IPU yapiga marufuku mijadala kuhusu ushoga na usagaji

    Oct 18, 2018 11:59

    Kikao cha 139 cha Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge (IPU) kimepiga kura kuunga mkono hoja ya kutaka kupiga marufuku mijadala inayohusu masuala ya ushoga na usagaji.

  • Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kufukiwa na matope nchini Uganda yapindukia 40

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kufukiwa na matope nchini Uganda yapindukia 40

    Oct 13, 2018 04:43

    Taarifa kutoka nchini Uganda zimeeleza kwamba idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maporomoko ya udongo imepindukia 40 huku juhudi za uokoaji zikiendelea.

  • Watu 31 waaga dunia katika maporomoka ya ardhi Uganda

    Watu 31 waaga dunia katika maporomoka ya ardhi Uganda

    Oct 12, 2018 04:03

    Makumi ya watu wameripotiwa kupoteza maisha katika maporomoko ya ardhi yaliyotokea jana adhuhuri katika vijiji vilivyoko kwenye kaunti ndogo ya Bakalasi, wilayani Bududa mashariki mwa Uganda.

  • SAUTI, Rais Museven, Waganda ishini pamoja kwa upendo kama watoto wa familia moja, ama wahalifu 40 zao zinahesabika

    SAUTI, Rais Museven, Waganda ishini pamoja kwa upendo kama watoto wa familia moja, ama wahalifu 40 zao zinahesabika

    Oct 09, 2018 13:24

    Rais Yoweri Museven wa Uganda amewataka raia wa nchi hiyo kupendana na kuishi sawa na watoto wa familia moja, badala ya kuchukiana.

  • Miaka 56 ya uhuru wa Uganda + Sauti

    Miaka 56 ya uhuru wa Uganda + Sauti

    Oct 09, 2018 02:12

    Uganda imeadhimisha mwaka wa 56 wa uhuru wake ikiwa imetekeleza miradi mingi ya maendeleo na kufeli katika sekta nyinginezo. Taarifa kamili anayo mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismael...

  • Jumanne, Oktoba 9, 2018

    Jumanne, Oktoba 9, 2018

    Oct 08, 2018 23:02

    Leo ni Jumanne tarehe 29 Muharram 1440 Hijria sawa na tarehe 9 Oktoba 2018.

  • Uganda na Iran kuimarisha ushirikiano katika uga wa sayansi na teknolojia

    Uganda na Iran kuimarisha ushirikiano katika uga wa sayansi na teknolojia

    Oct 05, 2018 12:08

    Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Ubunifu wa Uganda ametoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa sayansi na teknolojia.

  • Iran na Uganda zasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika elimu na teknolojia

    Iran na Uganda zasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika elimu na teknolojia

    Oct 03, 2018 10:49

    Makamu wa Rais wa Jamhuuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya elimu na teknolojia na Rais wa Uganda wamesisitiza katika mazungumzo yao leo mjini Kampala juu ya umuhimu wa kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano wa pamoja kati ya pande mbili katika uga wa elimu na teknolojia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS