Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Jeshi na waasi Sudan Kusini watuhumiana kwa mauaji ya raia

    Jeshi na waasi Sudan Kusini watuhumiana kwa mauaji ya raia

    Apr 05, 2017 11:36

    Msemaji wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) ametangaza habari ya kukimbilia nchini Uganda maelfu ya raia wa Sudan Kusini kufuatia kushadidi mapigano ndani ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Raia 3000 wa Sudan Kusini watorokea Uganda baada ya kushambuliwa na jeshi

    Raia 3000 wa Sudan Kusini watorokea Uganda baada ya kushambuliwa na jeshi

    Apr 04, 2017 11:30

    Raia zaidi ya elfu 3 wa Sudan Kusini wameingia katika nchi jirani ya Uganda hii leo baada ya wanajeshi wa serikali SPLA kuvamia mji wa mpakani wa Pajok, na kuanza kufanya mauaji kiholela.

  • Ulimwengu wa Michezo, Machi 27

    Ulimwengu wa Michezo, Machi 27

    Mar 27, 2017 06:36

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi...........

  • Museveni aagiza kuwekwa CCTV Uganda baada ya kuuawa Msemaji wa Polisi

    Museveni aagiza kuwekwa CCTV Uganda baada ya kuuawa Msemaji wa Polisi

    Mar 18, 2017 04:05

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameagiza kamera za CCTV zitundikwe katika miji mikubwa na barabara zote kuu za nchi hiyo, kufuatia mauaji ya Msemaji wa Jeshi la Polisi wa nchi hiyo jana Ijumaa.

  • SAUTI, Polisi ya Uganda: Tumewatia mbaroni raia watatu wa Nigeria ambao ni wanafunzi kwa madawa ya kulevya

    SAUTI, Polisi ya Uganda: Tumewatia mbaroni raia watatu wa Nigeria ambao ni wanafunzi kwa madawa ya kulevya

    Mar 16, 2017 03:14

    Polisi nchini Uganda, imewatia mbaroni raia watatu wa Nigeria kwa kuhusishwa na utumiaji na ulanguzi wa madawa ya kulevya.

  • SAUTI: Uganda na Ethiopia zazungumzia kadhia ya migogoro ya matumizi ya maji ya mto Nile

    SAUTI: Uganda na Ethiopia zazungumzia kadhia ya migogoro ya matumizi ya maji ya mto Nile

    Mar 04, 2017 14:38

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn amefanya safari ya siku tatu nchini Uganda, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi ya juu wa nchi hiyo.

  • Uganda yaomba msaada wa kimataifa kukabiliana na wimbi la wakimbizi

    Uganda yaomba msaada wa kimataifa kukabiliana na wimbi la wakimbizi

    Feb 16, 2017 12:26

    Uganda imeomba kupewa msaada wa kimataifa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa wakimbizi wamaomiminika nchini humo.

  • UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana

    UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana

    Feb 09, 2017 03:56

    Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi 52,000 raia wa Sudan Kusini waliingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Januari, kutokana na kuendelea kushuhudiwa mauaji na machafuko katika nchi yao.

  • Mamia ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda kila siku

    Mamia ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda kila siku

    Feb 04, 2017 00:25

    Mamia ya raia wa Sudan Kusini wanakimbilia nchini Uganda kila siku kukimbia mapigano ya kikabila nchini mwao.

  • SAUTI: Wabunge Uganda: Wizara ya Afya ipewe bajeti kubwa, ili tupate jamii ya Waganda wenye afya watakaofanya kazi masaa mengi zaidi

    SAUTI: Wabunge Uganda: Wizara ya Afya ipewe bajeti kubwa, ili tupate jamii ya Waganda wenye afya watakaofanya kazi masaa mengi zaidi

    Jan 23, 2017 15:11

    Wabunge nchini Uganda wameitaka serikali ya nchi hiyo kuiongezea bajeti zaidi Wizara ya Afya kwani njia hiyo itaiwezesha wizara hiyo kutoa huduma bora kwa wananchi ambao ndio wafanyakazi wa serikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS