Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Waasi wa Uganda washambulia kijiji kaskazini mwa Kongo DR, wateka nyara raia

    Waasi wa Uganda washambulia kijiji kaskazini mwa Kongo DR, wateka nyara raia

    Jan 21, 2017 01:07

    Waasi wa Uganda wameshambulia wakazi wa kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuteka nyara wakazi kadhaa wa kijiji hicho.

  • Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao

    Jan 21, 2017 00:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda zimesisitiza juu ya kustawisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali.

  • SAUTI: Vijana wa Kiislamu watakiwa kuoa mapema ili kuepukana na uasherati na kufuata mila chafu

    SAUTI: Vijana wa Kiislamu watakiwa kuoa mapema ili kuepukana na uasherati na kufuata mila chafu

    Jan 14, 2017 13:31

    Jamii ya Waislamu imetakiwa kufuata mienendo Bwana Mtume Muhammad (saw) na kuachana na mila zilizo kinyume na mafundisho ya dini ya Kiislamu.

  • Mfamle Mumbere wa Uganda kizimbani, kujua hatima yake leo

    Mfamle Mumbere wa Uganda kizimbani, kujua hatima yake leo

    Jan 13, 2017 04:41

    Mfalme wa Rwenzururu eneo la Rwenzori nchini Uganda, Charles Wesley Mumbere, ambaye anazuiliwa na vyombo vya usalama kwa tuhuma za uhaini anatazamiwa kujua hatima yake leo atakapofikishwa mahakamani.

  • Rais Museveni amteua mwanawe kuwa mshauri mkuu; je anamtayarisha kuja kumrithi?

    Rais Museveni amteua mwanawe kuwa mshauri mkuu; je anamtayarisha kuja kumrithi?

    Jan 11, 2017 03:43

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amemteua mwanawe Meja Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kuwa mshauri mkuu wa rais katika operesheni maalumu; hatua ambayo inatajwa na baadhi ya wachambuzi wa mambo kwamba, ni ya kumuandaa mwanawe huyo aje kuchukua uongozi wa juu nchini humo.

  • Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini

    Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini

    Jan 08, 2017 10:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya milioni mbili walikimbilia Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwaka jana kwa ajili ya kutafuta hifadhi.

  • Polisi ya Uganda yawaomba radhi Waislamu kwa kuhujumu msikiti

    Polisi ya Uganda yawaomba radhi Waislamu kwa kuhujumu msikiti

    Jan 05, 2017 13:11

    Polisi nchini Uganda imeomba radhi kutokana na kitendo cha maafisa wake kufanya kuhujumu msikiti mmoja nchini humo mwishoni mwa mwezi uliopita. Disemba 27 mwaka uliomalizika wa 2016,

  • Wabunge wa Uganda watuma faili la mauaji ya Kasese ICC

    Wabunge wa Uganda watuma faili la mauaji ya Kasese ICC

    Jan 05, 2017 12:40

    Kundi la wabunge wa Uganda limetuma ombi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likiitaka ianzishe uchunguzi juu ya mauaji yanayodaiwa kufanywa na maafisa usalama katika mji wa Kasese, jimbo la Rwenzori mwishoni mwa mwaka uliopita 2016.

  • Besigye atoa masharti ya kufanya mazungumzo na Rais Museveni

    Besigye atoa masharti ya kufanya mazungumzo na Rais Museveni

    Jan 04, 2017 04:00

    Kinara wa upinzani nchini Uganda ametoa masharti matano kwa serikali ya Rais Yoweri Museveni iwapo inataka kufanya mazungumzo ya kitaifa kuhusu mustakabali wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Polisi ya Uganda yafanya msako katika msikiti wa Nakasero

    Polisi ya Uganda yafanya msako katika msikiti wa Nakasero

    Dec 27, 2016 23:21

    Kikosi cha Kupambana na Ugaidi cha Jeshi la Polisi nchini Uganda (JATT) jana Jumanne asubuhi kilifanya msako mkali katika msikiti wa Nakasero ulioko katika barabara ya Snay bin Amin jijini Kampala na kukamata watu kadhaa wakiwemo walinzi wa msikiti huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS