Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • 20 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama Ziwa Victoria, Uganda

    20 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama Ziwa Victoria, Uganda

    Dec 24, 2016 04:04

    Makumi ya watu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Victoria nchini Uganda.

  • Rais Museveni apongeza uhusiano mzuri wa Uganda na Iran

    Rais Museveni apongeza uhusiano mzuri wa Uganda na Iran

    Dec 14, 2016 10:41

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepokea vitambulisho vya balozi mpya wa Iran nchini humo na kupongeza uhusiano mzuri uliopo baina ya Tehran na Kampala.

  • Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka

    Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka

    Dec 06, 2016 12:16

    Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa kaskazini mwa Uganda wa Lord's Resistance Army (LRA) amekanusha mashtaka dhidi yake mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Uganda yatakiwa kuchunguza mauaji ya Kasese na kumuachia huru mfalme

    Uganda yatakiwa kuchunguza mauaji ya Kasese na kumuachia huru mfalme

    Nov 30, 2016 11:56

    Vyombo vya usalama nchini Uganda vimeendelea kushutumiwa kwa mauaji ya watu wa mji wa Kasese katika eneo la Rwenzori, huku vyama vya upinzani vikiitaka serikali ya Kampala kumuachia huru mfalme wa eneo la Rwenzururu ambaye anatuhumiwa kuwaongoza waasi katika makabiliano dhidi ya maafisa usalama.

  • Serikali ya Uganda yakanusha tuhuma za kutenda mauaji ya kiholela

    Serikali ya Uganda yakanusha tuhuma za kutenda mauaji ya kiholela

    Nov 29, 2016 23:48

    Serikali ya Uganda imekanusha tuhuza dhidi yake kwamba imefanya mauaji ya kiholela nchini humo.

  • Amnesty 'yashtushwa' na mauaji ya halaiki nchini Uganda

    Amnesty 'yashtushwa' na mauaji ya halaiki nchini Uganda

    Nov 29, 2016 10:27

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani kile lilichokitaja kuwa mauaji ya halaiki katika eneo la Rwenzori, kusini magharibi mwa Uganda.

  • Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Nov 28, 2016 00:55

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yaliyozuka katika eneo moja magharibi mwa Uganda kati ya vikosi vya usalama na kundi moja lenye silaha inaripotiwa kufikia 55.

  • Polisi: Watu 14 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Polisi: Watu 14 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Nov 27, 2016 04:02

    Polisi ya Uganda imetangaza kuwa, watu wasiopungua 14 wameuawa magharibi mwa nchi hiyo, katika mapigano kati ya polisi na watu wenye silaha.

  • Uganda yateua timu mpya kuongoza Tume ya Uchaguzi

    Uganda yateua timu mpya kuongoza Tume ya Uchaguzi

    Nov 18, 2016 04:42

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameteua timu mpya ya makamishna wa Tume ya Uchaguzi nchini humo EC, huku muda wa kuhudumu kwa makamishna wa sasa ukimalizika jana Alkhamisi.

  • Africa Intelligence: Serikali ya Uganda imeshadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani

    Africa Intelligence: Serikali ya Uganda imeshadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani

    Nov 13, 2016 01:10

    Vitendo vya ukandamizaji vinavyofanywa na serikali ya Uganda dhidi ya wapinzani wa kisiasa, vimekosolewa na taasisi ya kiusalama ya Africa Intelligence nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS