-
20 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama Ziwa Victoria, Uganda
Dec 24, 2016 04:04Makumi ya watu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Victoria nchini Uganda.
-
Rais Museveni apongeza uhusiano mzuri wa Uganda na Iran
Dec 14, 2016 10:41Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepokea vitambulisho vya balozi mpya wa Iran nchini humo na kupongeza uhusiano mzuri uliopo baina ya Tehran na Kampala.
-
Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka
Dec 06, 2016 12:16Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa kaskazini mwa Uganda wa Lord's Resistance Army (LRA) amekanusha mashtaka dhidi yake mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.
-
Uganda yatakiwa kuchunguza mauaji ya Kasese na kumuachia huru mfalme
Nov 30, 2016 11:56Vyombo vya usalama nchini Uganda vimeendelea kushutumiwa kwa mauaji ya watu wa mji wa Kasese katika eneo la Rwenzori, huku vyama vya upinzani vikiitaka serikali ya Kampala kumuachia huru mfalme wa eneo la Rwenzururu ambaye anatuhumiwa kuwaongoza waasi katika makabiliano dhidi ya maafisa usalama.
-
Serikali ya Uganda yakanusha tuhuma za kutenda mauaji ya kiholela
Nov 29, 2016 23:48Serikali ya Uganda imekanusha tuhuza dhidi yake kwamba imefanya mauaji ya kiholela nchini humo.
-
Amnesty 'yashtushwa' na mauaji ya halaiki nchini Uganda
Nov 29, 2016 10:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani kile lilichokitaja kuwa mauaji ya halaiki katika eneo la Rwenzori, kusini magharibi mwa Uganda.
-
Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda
Nov 28, 2016 00:55Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yaliyozuka katika eneo moja magharibi mwa Uganda kati ya vikosi vya usalama na kundi moja lenye silaha inaripotiwa kufikia 55.
-
Polisi: Watu 14 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Uganda
Nov 27, 2016 04:02Polisi ya Uganda imetangaza kuwa, watu wasiopungua 14 wameuawa magharibi mwa nchi hiyo, katika mapigano kati ya polisi na watu wenye silaha.
-
Uganda yateua timu mpya kuongoza Tume ya Uchaguzi
Nov 18, 2016 04:42Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameteua timu mpya ya makamishna wa Tume ya Uchaguzi nchini humo EC, huku muda wa kuhudumu kwa makamishna wa sasa ukimalizika jana Alkhamisi.
-
Africa Intelligence: Serikali ya Uganda imeshadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani
Nov 13, 2016 01:10Vitendo vya ukandamizaji vinavyofanywa na serikali ya Uganda dhidi ya wapinzani wa kisiasa, vimekosolewa na taasisi ya kiusalama ya Africa Intelligence nchini humo.