Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Jul 04, 2023 07:51

    Baraza Kuu la Waislamu nchini Uganda (UMSC) limelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden, huku uhalifu huo mkubwa wa kukichoma moto kitabu hicho kitakatifu katika nchi hiyo ya Magharibi ukiendelea kulaaniwa vikali na Waislamu kote duniani.

  • Jeshi la Uganda lawaokoa wanafunzi 3 kati ya 6 waliokuwa wametekwa nyara na waasi

    Jeshi la Uganda lawaokoa wanafunzi 3 kati ya 6 waliokuwa wametekwa nyara na waasi

    Jun 22, 2023 02:39

    Jeshi la Uganda limewaokoa wanafunzi 3 kati ya 6 waliokuwa wametekwa nyara na waasi wa kundi la ADF lenye makao yake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Balozi wa Uganda nchini Iran: Uganda inatoa ardhi bure kwa wakulima wa Iran

    Balozi wa Uganda nchini Iran: Uganda inatoa ardhi bure kwa wakulima wa Iran

    Jun 21, 2023 12:15

    Balozi wa Uganda nchini hapa amesema kuwa kwa kuzingatia uwezo na maendeleo ya kiviwanda ya mkoa wa Kati wa Iran; Uganda ina hamu ya kushirikiana kiuchumi na mkoa huo.

  • Uganda yawatia mbaroni watu 20 wanaoshukiwa kushiriki katika mauaji ya kutisha shuleni

    Uganda yawatia mbaroni watu 20 wanaoshukiwa kushiriki katika mauaji ya kutisha shuleni

    Jun 20, 2023 06:43

    Polisi ya Uganda imeeleza kuwa imewatia mbaroni watu 20 kwa tuhuma za kushirikiana na wanamgambo wa kundi la ADF wanaodaiwa kushambulia shule moja karibu na mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jumamosi iliyopita.

  • Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu: Tunalaani aina zote za ugaidi

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu: Tunalaani aina zote za ugaidi

    Jun 19, 2023 10:41

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya wanafunzi katika eneo la Mpondwe, magharibi mwa Uganda na kusisitiza kuwa, taasisi hiyo inalaani kila aina ya ugaidi.

  • Jeshi la Uganda limeanza kuwasaka wahalifu ili kuwaokoa wanafunzi waliotekwa nyara

    Jeshi la Uganda limeanza kuwasaka wahalifu ili kuwaokoa wanafunzi waliotekwa nyara

    Jun 18, 2023 10:23

    Uganda imeimarisha ulinzi na tayari imeanzisha msako mkubwa baada ya wanamgambo wenye silaha wa ADF wenye mfungamano na kundi la kigaidi ya Daesh (ISIS) kuwauwa watu wasiopungua 41; wengi wao wakiwa ni wanafunzi. Mauaji hayo yamefanyika katika maeneo ya Magharibi mwa Uganda karibu na mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN yalaani shambulizi la kigaidi Uganda, waliouawa ni zaidi ya 40

    UN yalaani shambulizi la kigaidi Uganda, waliouawa ni zaidi ya 40

    Jun 18, 2023 07:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya wanafunzi katika eneo la Mpondwe, magharibi mwa Uganda.

  • Makumi ya wanafunzi wauawa katika hujuma ya magaidi wa ADF Magharibi mwa Uganda

    Makumi ya wanafunzi wauawa katika hujuma ya magaidi wa ADF Magharibi mwa Uganda

    Jun 17, 2023 07:58

    Polisi ya Uganda imetangaza kuwa, makumi ya watu wameuawa katika hujuma iliyofanywa na watu waliokuwa na silaha dhidi ya shule moja ya sekondari Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Uganda yajibu tahadhari ya Marekani, yasema: Hatutatishwa

    Uganda yajibu tahadhari ya Marekani, yasema: Hatutatishwa

    Jun 16, 2023 07:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amesema taifa hilo kamwe halitasalimu amri na kukubali kuburuzwa na Marekani ili likengeuke thamani, maslahi na utamaduni wake.

  • Ethiopia yawatimua Waganda waliohadaiwa kwenda 'kuonana' na Yesu

    Ethiopia yawatimua Waganda waliohadaiwa kwenda 'kuonana' na Yesu

    Jun 13, 2023 07:27

    Mamlaka za Ethiopia zimewarejesha nyumbani raia 80 wa Uganda ambao walitapeliwa fedha zao kwa ahadi kwamba watapelekwa kukutana na Yesu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS