Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Kanisa la Anglikana 'lasikitishwa' na sheria dhidi ya ushoga Uganda

    Kanisa la Anglikana 'lasikitishwa' na sheria dhidi ya ushoga Uganda

    Jun 10, 2023 10:33

    Kiongozi wa Kanisa la Kianglikana Duniani amedai kuwa amesikitishwa na hatua ya Uganda ya kupasisha sheria kali ya kupambana na ubaradhuli na mahusiano ya watu jinsia moja.

  • Museveni: Wanajeshi 54 wa Uganda wameuawa na al-Shabaab Somalia

    Museveni: Wanajeshi 54 wa Uganda wameuawa na al-Shabaab Somalia

    Jun 04, 2023 11:32

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema makumi ya askari wa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) waliuawa katika shambulio la wanamgambo wa al-Shabaab nchini Somalia wiki iliyopita.

  • Kutishiwa kuwekewa vikwazo Uganda, njama za Marekani za kuzitwisha ufuska nchi za Afrika

    Kutishiwa kuwekewa vikwazo Uganda, njama za Marekani za kuzitwisha ufuska nchi za Afrika

    Jun 01, 2023 12:12

    Rais wa Marekani, Joe Biden amelaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo na ameitaka Uganda kufuta mara moja sheria hiyo.

  • Sheria dhidi ya LGBTQ Uganda yamkasirisha rais wa Marekani, atishia kuiwekea nchi hiyo vikwazo

    Sheria dhidi ya LGBTQ Uganda yamkasirisha rais wa Marekani, atishia kuiwekea nchi hiyo vikwazo

    May 30, 2023 06:41

    Rais Joe Biden wa Marekani amelaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais Yoweri Museveni wa Uganda dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo huku akitoa wito wa sheria hiyo kufutwa mara moja.

  • Uganda yapasisha sheria ya kukabili mapenzi ya watu wa jinsia moja

    Uganda yapasisha sheria ya kukabili mapenzi ya watu wa jinsia moja

    May 29, 2023 10:53

    Hatimaye Rais Yoweri Museveni ameupasisha kuwa sheria, Muswada wa 2023 wa kupiga marufuku nchini humo na kuwachukulia hatua kali wanaojihusisha na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja, licha ya maonyo na vitisho vya nchi za Magharibi.

  • Museveni: Tutalipiza kisasi cha shambulio la al-Shabaab dhidi ya UPDF Somalia

    Museveni: Tutalipiza kisasi cha shambulio la al-Shabaab dhidi ya UPDF Somalia

    May 28, 2023 06:54

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo UPDF litatoa jibu kali kufuatia shambulizi la wanamgambo wa al-Shabaab dhidi ya askari walinda amani wa Uganda walioko nchini Somalia.

  • Museveni: Uganda inaridishwa na uhusiano wake wa kiulinzi na Russia

    Museveni: Uganda inaridishwa na uhusiano wake wa kiulinzi na Russia

    Mar 27, 2023 02:12

    Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda amepongeza ushirikiano mzuri wa kiulinzi na kijeshi wa Kampala na Moscow na kusisitiza kuwa, Uganda na Russia zimekuwa na mahusiano ya kuridhisha tangu enzi za Sovieti.

  • Askofu Mkuu wa Anglikana amuomba Museveni asipasishe sheria dhidi ya ushoga

    Askofu Mkuu wa Anglikana amuomba Museveni asipasishe sheria dhidi ya ushoga

    Mar 25, 2023 07:14

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Kianglikana lenye makao makuu yake mjini Canterbury nchini Uingereza anatazamiwa kumuandikia barua Rais Yoweri Museveni wa Uganda, kumuasa asipasishe kuwa sheria muswada wa kupambana na ushoga na mahusiano ya watu jinsia moja uliopitishwa hivi karibuni na Bunge la nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Uganda kutuma askari 1,000 nchini DRC mwezi huu

    Uganda kutuma askari 1,000 nchini DRC mwezi huu

    Mar 24, 2023 07:22

    Uganda imetangaza kuwa itapeleka wanajeshi elfu moja huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi huu, kama sehemu ya kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

  • Uganda yawasilisha rasmi bungeni mswada mpya wa kupiga marufuku ngono za watu wa jinsia moja

    Uganda yawasilisha rasmi bungeni mswada mpya wa kupiga marufuku ngono za watu wa jinsia moja

    Mar 10, 2023 10:54

    Serikali ya Uganda imemuidhinisha Mbunge wa Manispaa ya Bugiri Asuman Basalirwa kuwasilisha rasmi bungeni mchakato wa kupanga na kukamilisha Mswada wa mwaka 2023 wa kupiga marufuku 'ushoga', unaonuia kupiga marufuku nchini humo mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS