Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu: Tunalaani aina zote za ugaidi

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu: Tunalaani aina zote za ugaidi

    Jun 19, 2023 07:11

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya wanafunzi katika eneo la Mpondwe, magharibi mwa Uganda na kusisitiza kuwa, taasisi hiyo inalaani kila aina ya ugaidi.

  • Jeshi la Uganda limeanza kuwasaka wahalifu ili kuwaokoa wanafunzi waliotekwa nyara

    Jeshi la Uganda limeanza kuwasaka wahalifu ili kuwaokoa wanafunzi waliotekwa nyara

    Jun 18, 2023 06:53

    Uganda imeimarisha ulinzi na tayari imeanzisha msako mkubwa baada ya wanamgambo wenye silaha wa ADF wenye mfungamano na kundi la kigaidi ya Daesh (ISIS) kuwauwa watu wasiopungua 41; wengi wao wakiwa ni wanafunzi. Mauaji hayo yamefanyika katika maeneo ya Magharibi mwa Uganda karibu na mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN yalaani shambulizi la kigaidi Uganda, waliouawa ni zaidi ya 40

    UN yalaani shambulizi la kigaidi Uganda, waliouawa ni zaidi ya 40

    Jun 18, 2023 04:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya wanafunzi katika eneo la Mpondwe, magharibi mwa Uganda.

  • Makumi ya wanafunzi wauawa katika hujuma ya magaidi wa ADF Magharibi mwa Uganda

    Makumi ya wanafunzi wauawa katika hujuma ya magaidi wa ADF Magharibi mwa Uganda

    Jun 17, 2023 04:28

    Polisi ya Uganda imetangaza kuwa, makumi ya watu wameuawa katika hujuma iliyofanywa na watu waliokuwa na silaha dhidi ya shule moja ya sekondari Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Uganda yajibu tahadhari ya Marekani, yasema: Hatutatishwa

    Uganda yajibu tahadhari ya Marekani, yasema: Hatutatishwa

    Jun 16, 2023 04:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amesema taifa hilo kamwe halitasalimu amri na kukubali kuburuzwa na Marekani ili likengeuke thamani, maslahi na utamaduni wake.

  • Ethiopia yawatimua Waganda waliohadaiwa kwenda 'kuonana' na Yesu

    Ethiopia yawatimua Waganda waliohadaiwa kwenda 'kuonana' na Yesu

    Jun 13, 2023 03:57

    Mamlaka za Ethiopia zimewarejesha nyumbani raia 80 wa Uganda ambao walitapeliwa fedha zao kwa ahadi kwamba watapelekwa kukutana na Yesu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kanisa la Anglikana 'lasikitishwa' na sheria dhidi ya ushoga Uganda

    Kanisa la Anglikana 'lasikitishwa' na sheria dhidi ya ushoga Uganda

    Jun 10, 2023 07:03

    Kiongozi wa Kanisa la Kianglikana Duniani amedai kuwa amesikitishwa na hatua ya Uganda ya kupasisha sheria kali ya kupambana na ubaradhuli na mahusiano ya watu jinsia moja.

  • Museveni: Wanajeshi 54 wa Uganda wameuawa na al-Shabaab Somalia

    Museveni: Wanajeshi 54 wa Uganda wameuawa na al-Shabaab Somalia

    Jun 04, 2023 08:02

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema makumi ya askari wa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) waliuawa katika shambulio la wanamgambo wa al-Shabaab nchini Somalia wiki iliyopita.

  • Kutishiwa kuwekewa vikwazo Uganda, njama za Marekani za kuzitwisha ufuska nchi za Afrika

    Kutishiwa kuwekewa vikwazo Uganda, njama za Marekani za kuzitwisha ufuska nchi za Afrika

    Jun 01, 2023 08:42

    Rais wa Marekani, Joe Biden amelaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo na ameitaka Uganda kufuta mara moja sheria hiyo.

  • Sheria dhidi ya LGBTQ Uganda yamkasirisha rais wa Marekani, atishia kuiwekea nchi hiyo vikwazo

    Sheria dhidi ya LGBTQ Uganda yamkasirisha rais wa Marekani, atishia kuiwekea nchi hiyo vikwazo

    May 30, 2023 03:11

    Rais Joe Biden wa Marekani amelaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais Yoweri Museveni wa Uganda dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo huku akitoa wito wa sheria hiyo kufutwa mara moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS