Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Spika wa Uganda: Hatuhitaji fedha za wanaotaka 'kunajisi' utamaduni wetu

    Spika wa Uganda: Hatuhitaji fedha za wanaotaka 'kunajisi' utamaduni wetu

    Mar 01, 2023 06:42

    Spika wa Bunge la Uganda amekosoa tabia ya madola ya Magharibi ya kutoheshimu tamaduni za watu wengine na badala yake kung'ang'ania misimamo yao kama uozo wa ushoga na ubaradhuli.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda: Wakoloni wanatutaka tuwe maadui wa Russia

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda: Wakoloni wanatutaka tuwe maadui wa Russia

    Feb 20, 2023 03:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amesema, nchi yake haitayumbishwa na mashinikizo yanayotolewa na wakoloni wa zamani katika nchi za Magharibi ya kuitaka iwe dhidi ya Russia, ikizingatiwa kuwa uhusiano wa muda mrefu wa pande mbili na Moscow ni muhimu sana kwa Kampala.

  • Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda chapiga marufuku kamera katika mahafali ya 73 ya chuo hicho

    Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda chapiga marufuku kamera katika mahafali ya 73 ya chuo hicho

    Feb 14, 2023 02:29

    Uongozi wa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda ambacho ni moja ya vyuo vikuu maarufu zaidi barani Afrika umepiga marufuku wanafunzi na wazazi kubeba simu za mkononi katika mahafali ya 73 ya chuo hicho yaliyoanza jana Jumatatu katika Medani ya Uhuru ndani ya kampasi kuu jijiji Kampala.

  • Uganda yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Ebola ulioua makumi

    Uganda yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Ebola ulioua makumi

    Jan 11, 2023 11:15

    Uganda imetangaza habari ya kudhibitiwa na kutokomezwa mlipuko wa Ebola ambao umeua makumi ya watu nchini humo tangu Septemba mwaka uliomalizika 2022.

  • 9 wafariki, wakiwemo watoto 6 katika msongamano wa mkesha wa mwaka mpya Uganda

    9 wafariki, wakiwemo watoto 6 katika msongamano wa mkesha wa mwaka mpya Uganda

    Jan 02, 2023 07:14

    Watu wasiopungua tisa wamefariki dunia wakiwemo vijana wadogo sita katika msongamano uliotokea wakati wa sherehe za mkesha wa mwaka mpya katika duka kuu moja la mji mkuu wa Uganda, Kampala.

  • Mafuriko yaua watu 10 kusini mwa Uganda, mamia walazimishwa kuhama makazi yao

    Mafuriko yaua watu 10 kusini mwa Uganda, mamia walazimishwa kuhama makazi yao

    Dec 28, 2022 04:21

    Maafisa wa serikali ya Uganda wametangaza kuwa mafuriko yaliyotokea jana kusini mwa nchi hiyo yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 10.

  • ICC yathibitisha adhabu ya kifungo cha miaka 25 jela aliyopewa 'aliyekuwa askari mtoto' wa LRA ya Uganda

    ICC yathibitisha adhabu ya kifungo cha miaka 25 jela aliyopewa 'aliyekuwa askari mtoto' wa LRA ya Uganda

    Dec 16, 2022 11:59

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetupilia mbali rufaa ya Dominic Ongwen, raia wa Uganda aliyegeuzwa kamanda wa kijeshi akiwa mtoto mdogo katika kundi la waasi la Lord's Resistance Army (LRA), aliyepinga adhabu aliyopewa baada ya kupatikana na hatia ya uhalifu wa kivita.

  • Wapiganaji 15 wa ADF wauawa na jeshi la Uganda mpakani na DRC

    Wapiganaji 15 wa ADF wauawa na jeshi la Uganda mpakani na DRC

    Dec 14, 2022 11:27

    Askari wa Jeshi la Uganda wamefanikiwa kuwaangamiza wanamgambo 15 wa kundi la waasi la ADF katika mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanandoa wa Marekani waswekwa rumande Uganda kwa kumtesa mtoto wa miaka 10

    Wanandoa wa Marekani waswekwa rumande Uganda kwa kumtesa mtoto wa miaka 10

    Dec 13, 2022 07:32

    Mke na mume raia wa Marekani wanaoishi katika mtaa wa Naguru huko Kampala, mji mkuu wa Uganda wametupwa rumande katika gereza la Luzira, wakikabiliwa na mashitaka ya kumtesa na kumdhalilisha mtoto mdogo wa miaka 10.

  • Waziri: Ukimwi unaua Waganda 46 kila siku

    Waziri: Ukimwi unaua Waganda 46 kila siku

    Nov 30, 2022 10:58

    Waziri katika Ofisi ya Rais nchini Uganda ameashiria ongezeko la maambukizi ya virusi vya HIV vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi miongoni mwa tabaka la vijana wanaobaleghe nchini humo na kusema kuwa, maradhi hayo yanaua Waganda 46 kwa siku.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS