-
Uganda yapasisha sheria ya kukabili mapenzi ya watu wa jinsia moja
May 29, 2023 07:23Hatimaye Rais Yoweri Museveni ameupasisha kuwa sheria, Muswada wa 2023 wa kupiga marufuku nchini humo na kuwachukulia hatua kali wanaojihusisha na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja, licha ya maonyo na vitisho vya nchi za Magharibi.
-
Museveni: Tutalipiza kisasi cha shambulio la al-Shabaab dhidi ya UPDF Somalia
May 28, 2023 03:24Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo UPDF litatoa jibu kali kufuatia shambulizi la wanamgambo wa al-Shabaab dhidi ya askari walinda amani wa Uganda walioko nchini Somalia.
-
Museveni: Uganda inaridishwa na uhusiano wake wa kiulinzi na Russia
Mar 26, 2023 22:42Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda amepongeza ushirikiano mzuri wa kiulinzi na kijeshi wa Kampala na Moscow na kusisitiza kuwa, Uganda na Russia zimekuwa na mahusiano ya kuridhisha tangu enzi za Sovieti.
-
Askofu Mkuu wa Anglikana amuomba Museveni asipasishe sheria dhidi ya ushoga
Mar 25, 2023 03:44Askofu Mkuu wa Kanisa la Kianglikana lenye makao makuu yake mjini Canterbury nchini Uingereza anatazamiwa kumuandikia barua Rais Yoweri Museveni wa Uganda, kumuasa asipasishe kuwa sheria muswada wa kupambana na ushoga na mahusiano ya watu jinsia moja uliopitishwa hivi karibuni na Bunge la nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Uganda kutuma askari 1,000 nchini DRC mwezi huu
Mar 24, 2023 03:52Uganda imetangaza kuwa itapeleka wanajeshi elfu moja huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi huu, kama sehemu ya kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
-
Uganda yawasilisha rasmi bungeni mswada mpya wa kupiga marufuku ngono za watu wa jinsia moja
Mar 10, 2023 07:24Serikali ya Uganda imemuidhinisha Mbunge wa Manispaa ya Bugiri Asuman Basalirwa kuwasilisha rasmi bungeni mchakato wa kupanga na kukamilisha Mswada wa mwaka 2023 wa kupiga marufuku 'ushoga', unaonuia kupiga marufuku nchini humo mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja.
-
Spika wa Uganda: Hatuhitaji fedha za wanaotaka 'kunajisi' utamaduni wetu
Mar 01, 2023 03:12Spika wa Bunge la Uganda amekosoa tabia ya madola ya Magharibi ya kutoheshimu tamaduni za watu wengine na badala yake kung'ang'ania misimamo yao kama uozo wa ushoga na ubaradhuli.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda: Wakoloni wanatutaka tuwe maadui wa Russia
Feb 19, 2023 23:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amesema, nchi yake haitayumbishwa na mashinikizo yanayotolewa na wakoloni wa zamani katika nchi za Magharibi ya kuitaka iwe dhidi ya Russia, ikizingatiwa kuwa uhusiano wa muda mrefu wa pande mbili na Moscow ni muhimu sana kwa Kampala.
-
Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda chapiga marufuku kamera katika mahafali ya 73 ya chuo hicho
Feb 13, 2023 22:59Uongozi wa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda ambacho ni moja ya vyuo vikuu maarufu zaidi barani Afrika umepiga marufuku wanafunzi na wazazi kubeba simu za mkononi katika mahafali ya 73 ya chuo hicho yaliyoanza jana Jumatatu katika Medani ya Uhuru ndani ya kampasi kuu jijiji Kampala.
-
Uganda yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Ebola ulioua makumi
Jan 11, 2023 07:45Uganda imetangaza habari ya kudhibitiwa na kutokomezwa mlipuko wa Ebola ambao umeua makumi ya watu nchini humo tangu Septemba mwaka uliomalizika 2022.