-
Uganda kutuma askari 1,000 DRC kuwa sehemu ya kikosi cha kieneo
Nov 22, 2022 03:31Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) limesema litatuma mamia ya askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na kikosi cha kieneo kinachopambana na magenge ya waasi na wabeba silaha mashariki mwa DRC.
-
Uganda yanakili kesi ya kwanza ya Ebola eneo la mashariki
Nov 13, 2022 13:41Kesi ya ugonjwa wa Ebola imethibitishwa kutokea mjini Jinja kusini mwa Uganda, hiyo ikiwa ni kesi ya kwanza kuripotiwa katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Afrika CDC: Mlipuko wa Ebola nchini Uganda "unadhibitika"
Oct 27, 2022 13:00Shirika la juu zaidi la afya ya umma barani Afrika (Afrika CDC) limetangaza leo Alhamisi kwamba mlipuko wa Ebola nchini Uganda bado unadhibitiwa, licha ya kuongezeka kwa kesi za maambukizi ya ugonjwa huo hadi katika mji mkuu, Kampala.
-
Mawaziri wa Uganda waanza kujifunza Kiswahili
Oct 27, 2022 08:04Mawaziri wa Uganda wameazimia kuanza kujifundisha lugha ya Kiswahili, ambayo mbali na kuwa lugha ya kitaifa, lakini pia ni lugha rasmi katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Mkasa wa moto waua watu 11 katika shule ya vipofu Uganda
Oct 25, 2022 11:10Polisi nchini Uganda inachunguza kiini cha mkasa wa moto uliosababisha vifo vya watu 11 katika Shule ya Salama ya watu wenye matatizo ya kuona katika wilaya ya Mukono, katikati mwa nchi.
-
Benki ya Uganda yazindua akaunti ya kwanza inayofuata sheria za Kiislamu
Oct 21, 2022 11:38Benki ya Finance Trust ya Uganda imezindua akaunti ya kwanza kabisa inayofuata sheria za Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa
Oct 21, 2022 04:13Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kuna hatari ya mripuko wa Ebola unaoshuhudiwa nchini Uganda kusambaa katika nchi nyingine, lakini msambao huo unaweza kudhibitiwa hivi sasa.
-
Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda
Oct 19, 2022 08:03Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza kuhusu kuongezeka idadi ya watu wanaoga dunia kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
-
Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola
Oct 16, 2022 11:19Serikali ya Uganda imetangaza habari ya kuziweka wilaya mbili za nchi hiyo katika karantini, kwa lengo la kudhibiti mripuko wa virusi vya Ebola unaoshuhudia katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa wiki kadhaa sasa.
-
Jumapili, 09 Oktoba, 2022
Oct 09, 2022 02:21Leo ni Jumapili tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 9 Oktoba 2022 Miladia.