Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda kutuma askari 1,000 DRC kuwa sehemu ya kikosi cha kieneo

    Uganda kutuma askari 1,000 DRC kuwa sehemu ya kikosi cha kieneo

    Nov 22, 2022 03:31

    Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) limesema litatuma mamia ya askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na kikosi cha kieneo kinachopambana na magenge ya waasi na wabeba silaha mashariki mwa DRC.

  • Uganda yanakili kesi ya kwanza ya Ebola eneo la mashariki

    Uganda yanakili kesi ya kwanza ya Ebola eneo la mashariki

    Nov 13, 2022 13:41

    Kesi ya ugonjwa wa Ebola imethibitishwa kutokea mjini Jinja kusini mwa Uganda, hiyo ikiwa ni kesi ya kwanza kuripotiwa katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Afrika CDC: Mlipuko wa Ebola nchini Uganda

    Afrika CDC: Mlipuko wa Ebola nchini Uganda "unadhibitika"

    Oct 27, 2022 13:00

    Shirika la juu zaidi la afya ya umma barani Afrika (Afrika CDC) limetangaza leo Alhamisi kwamba mlipuko wa Ebola nchini Uganda bado unadhibitiwa, licha ya kuongezeka kwa kesi za maambukizi ya ugonjwa huo hadi katika mji mkuu, Kampala.

  • Mawaziri wa Uganda waanza kujifunza Kiswahili

    Mawaziri wa Uganda waanza kujifunza Kiswahili

    Oct 27, 2022 08:04

    Mawaziri wa Uganda wameazimia kuanza kujifundisha lugha ya Kiswahili, ambayo mbali na kuwa lugha ya kitaifa, lakini pia ni lugha rasmi katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Mkasa wa moto waua watu 11 katika shule ya vipofu Uganda

    Mkasa wa moto waua watu 11 katika shule ya vipofu Uganda

    Oct 25, 2022 11:10

    Polisi nchini Uganda inachunguza kiini cha mkasa wa moto uliosababisha vifo vya watu 11 katika Shule ya Salama ya watu wenye matatizo ya kuona katika wilaya ya Mukono, katikati mwa nchi.

  • Benki ya Uganda yazindua akaunti ya kwanza inayofuata sheria za Kiislamu

    Benki ya Uganda yazindua akaunti ya kwanza inayofuata sheria za Kiislamu

    Oct 21, 2022 11:38

    Benki ya Finance Trust ya Uganda imezindua akaunti ya kwanza kabisa inayofuata sheria za Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa

    Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa

    Oct 21, 2022 04:13

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kuna hatari ya mripuko wa Ebola unaoshuhudiwa nchini Uganda kusambaa katika nchi nyingine, lakini msambao huo unaweza kudhibitiwa hivi sasa.

  • Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda

    Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda

    Oct 19, 2022 08:03

    Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza kuhusu kuongezeka idadi ya watu wanaoga dunia kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.

  • Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola

    Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola

    Oct 16, 2022 11:19

    Serikali ya Uganda imetangaza habari ya kuziweka wilaya mbili za nchi hiyo katika karantini, kwa lengo la kudhibiti mripuko wa virusi vya Ebola unaoshuhudia katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa wiki kadhaa sasa.

  • Jumapili, 09 Oktoba, 2022

    Jumapili, 09 Oktoba, 2022

    Oct 09, 2022 02:21

    Leo ni Jumapili tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 9 Oktoba 2022 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS