Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhuru Muigai Kenyatta

  • Rais Kenyatta alegeza hatua kwa hatua sheria za kukabiliana na corona Kenya

    Rais Kenyatta alegeza hatua kwa hatua sheria za kukabiliana na corona Kenya

    Jul 06, 2020 11:25

    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amelegeza kwa kiasi fulani sheria kali zilizokuwa zimewekwa kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 ambapo umeua watu 150 kufikia sasa nchini humo.

  • Corona yamburuzisha mahakamani Naibu Gavana Kenya, mbunge Tanzania ataka waziri wa SMZ achukuliwe hatua

    Corona yamburuzisha mahakamani Naibu Gavana Kenya, mbunge Tanzania ataka waziri wa SMZ achukuliwe hatua

    Apr 07, 2020 14:59

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema ni yeye aliyeamuru Naibu Gavana wa Kaunti ya Kilifi Gideon Saburi akamatwe kwa kile alichosema, uzembe aliofanya wa kukwepa karantini baada ya kurudi safarini kutoka nchini Ujerumani, hali ambayo iliweka hatarini maisha ya Wakenya dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19).

  • Rais wa Kenya aamuru kusitishwa harakati zote Nairobi, Mombasa na kaunti kadhaa kwa hofu ya corona

    Rais wa Kenya aamuru kusitishwa harakati zote Nairobi, Mombasa na kaunti kadhaa kwa hofu ya corona

    Apr 06, 2020 16:24

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza hatua mpya zinazolenga kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19, ambao hadi sasa umewapata watu 158 na kuchukua roho za wagonjwa sita.

  • Kenya kumsaidia Rais Felix Tshisekedi kurejesha utulivu DRC

    Kenya kumsaidia Rais Felix Tshisekedi kurejesha utulivu DRC

    Feb 07, 2019 14:44

    Katika hatua inayoonesha ni ya kuzidi kuunga mkono juhudi za kuleta amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa Nairobi iko tayari kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa sekta ya umma wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kama sehemu ya kuisaidia nchi hiyo kuwa na utulivu wa kudumu na watu wake kuishi kwa usalama na amani.

  • Rais Uhuru Kenyatta alipongeza jeshi la Kenya kwa kazi nzuri linayoifanya + Sauti

    Rais Uhuru Kenyatta alipongeza jeshi la Kenya kwa kazi nzuri linayoifanya + Sauti

    Nov 08, 2018 16:37

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amepongeza juhudi za jeshi la nchi yake KDF kujumlisha tekinolojia ya kisasa katika mfumo wake wa utoaji mafunzo kwa makuruta, akiitaja hatua hio kama chanya kwenye kuafiki kasi ya mabadiliko ya changamoto za kiusalama nchini mwake na Pembe ya Afrika. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi...

  • Raila atetea ushirikiano wake na Rais Uhuru Kenyatta Kenya +Sauti

    Raila atetea ushirikiano wake na Rais Uhuru Kenyatta Kenya +Sauti

    Nov 04, 2018 06:32

    Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya Raila Amolo Odinga amewakosoa wale wanaosema kuwa ufanisi wake na Rais Uhuru Muigai Kenyatta kisiasa unatokana na urithi wa nasaba zao na badala yake amesisitiza ni juhudi zao endelevu kisiasa ndizo zimewapa umaarufu huo. Kwa maelezo zaidi tunajiunga na Seifullah Murtadha wa mjini Mombasa, Kenya...

  • Kiongozi wa Upinzani Afrika Kusini asema Kenya ni koloni la Marekani, akipigia chapuo Kiswahili

    Kiongozi wa Upinzani Afrika Kusini asema Kenya ni koloni la Marekani, akipigia chapuo Kiswahili

    Aug 31, 2018 06:58

    Kiongozi maarufu wa upinzani nchini Afrika Kusini amekosoa vikali safari ya hivi karibuni ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya nchini Marekani na mazungumzo yake na rais wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Kenya yaimarisha usalama wa wanaoendesha vita dhidi ya mafisadi

    Kenya yaimarisha usalama wa wanaoendesha vita dhidi ya mafisadi

    Aug 19, 2018 07:21

    Serikali ya Kenya imemarisha usalama wa waendesha mashtaka, makachero na mashahidi wanaohusika katika kampeni mpya rasmi ya vita dhidi ya mafisadi nchini humo.

  • Kenya yaomboleza ajali ya ndege ndogo iliyoua watu 10

    Kenya yaomboleza ajali ya ndege ndogo iliyoua watu 10

    Jun 07, 2018 15:35

    Rais Uhuru Kenyatta analiongoza taifa la Kenya katika kuomboleza vifo vya watu 10 waliopoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea katika eneo la milima ya Aberdares mjini Kinangop kaunti ya Nyandarua, kaskazini mwa mji mkuu Nairobi.

  • Kenya yaweka historia, Rais Kenyatta azindua uuzaji mafuta nje + Sauti

    Kenya yaweka historia, Rais Kenyatta azindua uuzaji mafuta nje + Sauti

    Jun 03, 2018 18:41

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo amezindua rasmi usafirishaji wa mafuta ghafi ya petroli yaliyochimbwa nchini humo na kwa utaratibu huo nchi hiyo imeanza mkakati wa kuuza bidhaa hiyo katika soko la kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS