-
Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika
Oct 31, 2016 15:13Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amekanusha madai kuwa serikali yake inazipuuza nchi jirani na kujikita zaidi katika masuala ya ndani.
-
UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela
Oct 30, 2016 07:19Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Kenya ya kubadilisha adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela kwa maelfu ya watu waliokuwa wakisubiri kutekelezwa hukumu hiyo dhidi yao.
-
Rais Kenyatta awafutia adhabu ya kifo wafungwa 2,747
Oct 24, 2016 15:41Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amebadili hukumu zote za kifo nchini humo na kuzifanya kifungo cha maisha jela.
-
Rais wa Kenya atilia mkazo umuhimu wa kikao cha Ticad
Aug 29, 2016 14:36Rais wa Kenya amesema kuwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Maendeleo kati ya Afrika na Japan utastawisha uwezo wa kiuchumi wa bara la Afrika.
-
Ulinzi waimarishwa katika mipaka ya pamoja baina ya Kenya na Sudan Kusini
Aug 04, 2016 07:51Serikali ya Kenye imetangaza kuchukua hatua kali za kiusalama katika maeneo yote ya mpakani wa nchi hiyo na nchi jirani ya Sudan Kusini.
-
UNHCR: Katika kufunga kambi ya wakimbizi Kenya ichunge misingi ya ubinaadamu
Jun 14, 2016 07:32Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), ameitaka serikali ya Kenya kuheshimu misingi ya ubinaadamu katika mwenendo mzima wa kufunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab nchini humo.
-
Kuendelea maandamano dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya, IEBC
May 24, 2016 11:01Watu watatu waliuawa Jumatatu nchini Kenya katika maandamano yaliyofanyika katika pembe tofauti za nchi hiyo dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.
-
UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali
May 20, 2016 16:25Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ijumaa amekutana na wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi kujadili uamuzi wa nchi yake kuwatimua wakimbizi kutoka Somalia walioko katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani ya Dadaab.
-
Viongozi wa Afrika wakutana Kenya kujadili ujangili na magendo ya vipusa
Apr 30, 2016 07:38Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ni mwenyeji wa kongamano la viongozi wa bara hilo linalojadili athari za ujangili na magendo ya pembe za ndovu na vifaru, vinavyotishia sekta ya utalii na kuangamiza turathi za kitaifa barani humo.
-
Rais wa Kenya aidhinisha sheria dhidi ya pufya
Apr 22, 2016 15:23Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo ameidhinisha sheria zitakatambua pufya au doping kuwa kosa la jinai.