Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhuru Muigai Kenyatta

  • Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika

    Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika

    Oct 31, 2016 15:13

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amekanusha madai kuwa serikali yake inazipuuza nchi jirani na kujikita zaidi katika masuala ya ndani.

  • UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela

    UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela

    Oct 30, 2016 07:19

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Kenya ya kubadilisha adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela kwa maelfu ya watu waliokuwa wakisubiri kutekelezwa hukumu hiyo dhidi yao.

  • Rais Kenyatta awafutia adhabu ya kifo wafungwa 2,747

    Rais Kenyatta awafutia adhabu ya kifo wafungwa 2,747

    Oct 24, 2016 15:41

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amebadili hukumu zote za kifo nchini humo na kuzifanya kifungo cha maisha jela.

  • Rais wa Kenya atilia mkazo umuhimu wa kikao cha Ticad

    Rais wa Kenya atilia mkazo umuhimu wa kikao cha Ticad

    Aug 29, 2016 14:36

    Rais wa Kenya amesema kuwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Maendeleo kati ya Afrika na Japan utastawisha uwezo wa kiuchumi wa bara la Afrika.

  • Ulinzi waimarishwa katika mipaka ya pamoja baina ya Kenya na Sudan Kusini

    Ulinzi waimarishwa katika mipaka ya pamoja baina ya Kenya na Sudan Kusini

    Aug 04, 2016 07:51

    Serikali ya Kenye imetangaza kuchukua hatua kali za kiusalama katika maeneo yote ya mpakani wa nchi hiyo na nchi jirani ya Sudan Kusini.

  • UNHCR: Katika kufunga kambi ya wakimbizi Kenya ichunge misingi ya ubinaadamu

    UNHCR: Katika kufunga kambi ya wakimbizi Kenya ichunge misingi ya ubinaadamu

    Jun 14, 2016 07:32

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), ameitaka serikali ya Kenya kuheshimu misingi ya ubinaadamu katika mwenendo mzima wa kufunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab nchini humo.

  • Kuendelea maandamano dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya, IEBC

    Kuendelea maandamano dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya, IEBC

    May 24, 2016 11:01

    Watu watatu waliuawa Jumatatu nchini Kenya katika maandamano yaliyofanyika katika pembe tofauti za nchi hiyo dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.

  • UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali

    UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali

    May 20, 2016 16:25

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ijumaa amekutana na wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi kujadili uamuzi wa nchi yake kuwatimua wakimbizi kutoka Somalia walioko katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani ya Dadaab.

  • Viongozi wa Afrika wakutana Kenya kujadili ujangili na magendo ya vipusa

    Viongozi wa Afrika wakutana Kenya kujadili ujangili na magendo ya vipusa

    Apr 30, 2016 07:38

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ni mwenyeji wa kongamano la viongozi wa bara hilo linalojadili athari za ujangili na magendo ya pembe za ndovu na vifaru, vinavyotishia sekta ya utalii na kuangamiza turathi za kitaifa barani humo.

  • Rais wa Kenya aidhinisha sheria dhidi ya pufya

    Rais wa Kenya aidhinisha sheria dhidi ya pufya

    Apr 22, 2016 15:23

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo ameidhinisha sheria zitakatambua pufya au doping kuwa kosa la jinai.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS