Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Ufuska Ujerumani: Maambukizi ya magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa 460%

    Ufuska Ujerumani: Maambukizi ya magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa 460%

    Sep 28, 2025 12:21

    Mambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) yanaonekana kuongezeka kwa kiwango cha kuogofya nchini Ujerumani.

  • Kwa nini maandamano ya kupinga kuungwa mkono Israel yameongezeka barani Ulaya?

    Kwa nini maandamano ya kupinga kuungwa mkono Israel yameongezeka barani Ulaya?

    Sep 15, 2025 11:00

    Maelfu ya watu wamemiminika barabarani mjini Berlin kupinga sera za Ujerumani katika eneo la Asia Magharibi hususan za kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumatano, Agosti 20, 2025

    Jumatano, Agosti 20, 2025

    Aug 20, 2025 03:24

    Leo ni Jumatano tarehe 26 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria, mwafaka na tarehe 20 Agosti 2025.

  • Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran: Muqawama ni 'hazina kubwa' kwa eneo

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran: Muqawama ni 'hazina kubwa' kwa eneo

    Aug 15, 2025 07:31

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, Muqawama ni "hazina kubwa" kwa eneo na Ulimwengu wa Kiislamu na akabainisha kuwa makundi ya Muqawama yamefikia kwenye "ukomavu" katika kujichukulia maamuzi yao.

  • Russia: Njia ya sasa ya Ujerumani na Ulaya inauelekeza ulimwengu kwenye Vita vya Tatu vya Dunia

    Russia: Njia ya sasa ya Ujerumani na Ulaya inauelekeza ulimwengu kwenye Vita vya Tatu vya Dunia

    Aug 01, 2025 13:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema: "Viongozi wa sasa wa Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya wanageuka kuwa Reich ya Nne, na njia yao ya sasa itauelekeza ulimwengu katika vita vikuu vya tatu."

  • Mamia ya watu mashuhuri Ujerumani watoa wito wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa Israel

    Mamia ya watu mashuhuri Ujerumani watoa wito wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa Israel

    Aug 01, 2025 13:27

    Gazeti la Ujerumani la Der Spiegel limeandika kuwa, zaidi ya shakhsia 200 mashuhuri wa vyombo vya habari, utamaduni na sanaa wameitaka serikali ya Ujerumani kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Israel.

  • Ethiopia yazindua kampeni ya kupanda miti milioni 700 kwa siku moja

    Ethiopia yazindua kampeni ya kupanda miti milioni 700 kwa siku moja

    Aug 01, 2025 07:37

    Ethiopia imezindua kampeni ya ustawishaji wa mazingira ambayo haijawahi kushuhudiwa wakati mamilioni ya wananchi waliposhiriki jana Alkhamisi katika juhudi za kitaifa za kupanda miti milioni 700 kwa siku moja.

  • Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia

    Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia

    Jul 27, 2025 09:56

    Marekani na China zimeshutumiana vikali wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu madai ya kuihusisha Beijing katika mzozo wa Ukraine.

  • IAEA: Baada ya miezi michache, Ujerumani itaweza kuunda silaha za nyuklia

    IAEA: Baada ya miezi michache, Ujerumani itaweza kuunda silaha za nyuklia

    Jul 11, 2025 14:09

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati IAEA Rafael Grossi ametangaza kuwa, Ujerumani inaweza kutengeneza silaha zake za nyuklia ndani ya kipindi cha miezi kadhaa ikiwa itachagua kufanya hivyo. Katika mahojiano na tovuti ya habari ya Poland ya Reczpospolita Grossi amesema Berlin tayari ina nyenzo muhimu za nyuklia, ujuzi na ufikiaji wa teknolojia ya kuunda silaha hizo.

  • Jibu la swali la leo; Kwa nini Ujerumani inataka kuongeza kwa kiasi kikubwa gharama zake za kijeshi?

    Jibu la swali la leo; Kwa nini Ujerumani inataka kuongeza kwa kiasi kikubwa gharama zake za kijeshi?

    Jul 11, 2025 08:18

    Katika hotuba yake kwa bunge la nchi hiyo Bundestag, Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz, sambamba na kuunga mkono ongezeko kubwa la gharama na matumizi ya kijeshi, alisisitiza kuwa anataka kuligeuza jeshi la nchi yake kuwa taasisi ya kupigiwa mfano na inayoongoza katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS