Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Ujerumani yafungua tena ubalozi wake huko Tripoli, Libya

    Ujerumani yafungua tena ubalozi wake huko Tripoli, Libya

    Sep 10, 2021 02:46

    Ujerumani imefungua tena ubalozi wake huko Libya baada ya kufungwa kwa miaka minane.

  • Merkel aitaka jamii ya kimataifa kuzungumza na Taliban

    Merkel aitaka jamii ya kimataifa kuzungumza na Taliban

    Aug 26, 2021 03:44

    Kinyume kabisa na msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu kundi la wanamgambo wa Taliban la Afghanistan, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameitolea mwito jamii ya kimataifa kufanya mazungumzo na kundi hilo.

  • Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA

    Jul 07, 2021 02:21

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, na Rais Xi Jinping wa China wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kutoa wito kwa pande zinazofanya mazungumzo huko Vienna kwa ajili ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutumia vyema fursa iliyopo ya "Dirisha la Fursa" kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusiana na kadhia hiyo.

  • Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?

    Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?

    Jun 30, 2021 11:10

    Ujerumani imetangaza kuwa imemaliza mchakato wa kuwaondoa wanajeshi wake huko Afghanistan, huku Marekani ikiripotiwa kuwa inapanga kuwaacha mamia ya wanajeshi wake nchini humo.

  • Ujerumani: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika hatua za mwisho

    Ujerumani: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika hatua za mwisho

    Jun 08, 2021 02:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayoendelea huko Vienna, Austria yapo katika kipindi cha lala salama.

  • Ujerumani kuchungua ujasusi wa Marekani na Denmark dhidi ya viongozi wa EU

    Ujerumani kuchungua ujasusi wa Marekani na Denmark dhidi ya viongozi wa EU

    Jun 01, 2021 02:51

    Msemaji wa serikali ya Ujerumani ameeleza msimamo wa Berlin baada ya kufichuliwa ujasusi uliofanywa na Idara ya Usalama wa Taifa ya Marekani na Shirika la Ujasusi la Denmark kwa viongozi wa Ulaya.

  • Kukiri Ujerumani kwamba ilihusika na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Namibia, ushahidi mwingine wa jinai dhidi ya binadamu za nchi za Magharibi

    Kukiri Ujerumani kwamba ilihusika na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Namibia, ushahidi mwingine wa jinai dhidi ya binadamu za nchi za Magharibi

    May 29, 2021 14:10

    Kwa mara ya kwanza kabisa Ujerumani imekiri kwamba, ilifanya mauaji ya kimbari dhidi watu wa Namibia katika kipindi cha ukoloni wa nchi hiyo barani Afrika.

  • Upinzani wa Ujerumani na Ufaransa wa kufanyika maandamano dhidi ya Israel; nembo ya uungaji mkono wa Magharibi kwa jinai za Wazayuni

    Upinzani wa Ujerumani na Ufaransa wa kufanyika maandamano dhidi ya Israel; nembo ya uungaji mkono wa Magharibi kwa jinai za Wazayuni

    May 15, 2021 09:56

    Baada ya kuwaka moto wa vita na mapigano baina ya utawala haramu wa Israel na Wapalestina katika siku za hivi karibuni, madola ya Magharibi yamefumbia macho kabisa jinai za Tel-Aviv hususan hujuma na mashambulio ya anga na kulishambulia kwa mabomu eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Kupasishwa marufuku ya hijabu kwa wafanyakazi wa serikali katika Bunge la Ujerumani

    Kupasishwa marufuku ya hijabu kwa wafanyakazi wa serikali katika Bunge la Ujerumani

    May 12, 2021 00:44

    Baraza la Juu la Bunge la Ujerumani (Bundesrat) limepasisha sheria inayowapiga marufuku wafanyakazi wa serikali na polisi kuvaa vazi la hijabu.

  • Mwanafalsafa mtajika wa Ujerumani akataa tuzo ya kifahari ya UAE

    Mwanafalsafa mtajika wa Ujerumani akataa tuzo ya kifahari ya UAE

    May 04, 2021 01:33

    Msomi na mwanafalsafa mashuhuri wa Ujerumani amekataa kupokea tuzo ya kifahari ya uandishi wa vitabu kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu kutokana na kile kinachoonekana ni kutoafiki mfumo wa kisiasa wa nchi hiyo ya Kiarabu na historia yake ya ukiukaji wa haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS