-
Utafiti: Idadi ya Waislamu imeongezeka nchini Ujerumani
Apr 29, 2021 12:10Uchunguzi uliofanywa na Idara ya Uhamiaji na Wakimbizi ya Ujerumani umebaini kuwepo ongeseko kubwa la idadi ya Waislamu nchini humo katika miaka ya karibuni.
-
Safari ya mawaziri watatu wa mambo ya nje wa Ulaya nchini Libya
Mar 27, 2021 02:30Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Ufaransa, Ujerumani na Italia Alkhamisi iliyopita walikwenda Tripoli mji mkuu wa Libya kwa shabaha ya kujadili mustakbali wa uhusiano wa nchi za Ulaya na Libya. Mawaziri hao pia wamesisitiza udharura wa kuondoka vikosi vya majeshi ya kigeni katika ardhi ya Libya.
-
Rouhani: Haiyumkiniki kujumuisha maudhui nyingine katika JCPOA
Feb 18, 2021 03:14Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni jambo lisilowezekana kuarifisha na kujumuisha maudhui nyinginezo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Mashauriano ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufaransa kuhusu namna ya kulinda mapatano ya JCPOA
Feb 16, 2021 07:53Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufanrasa jana usiku walifanya mashauriano kuhusu masuala tofauti yakiwemo jinsi ya kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA na vile vile hali ya msambao wa kasi wa virusi vya corona barani Ulaya.
-
Mashambulio yatokanayo na chuki dhidi ya Uislamu yamekithiri nchini Ujerumani
Feb 09, 2021 05:58Takwimu rasmi zilizotolewa nchini Ujerumani zinaonyesha kuwa, katika mwaka uliopita wa 2020 nchi hiyo ilishuhudia ongezeko kubwa la hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu na taasisi za Kiislamu.
-
Khatibzadeh: Misimamo ya Iran kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haitabadilika
Dec 07, 2020 12:28Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa,misimamo ya Tehran kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA haitabadilika.
-
Zarif: Nchi za Ulaya ziache kukiuka JCPOA na zisitishe sera haribifu katika eneo
Dec 05, 2020 04:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Jawad Zarif amemjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Heiko Maas ambaye ametaka mapatano ya nyuklia ya JCPOA yajadiliwe upya.
-
Watu kadhaa watiwa mbaroni Ujerumani kwa kupanga njama za kuwashambulia Waislamu
Nov 14, 2020 12:11Maafisa wa mahakama nchini Ujerumani wametangaza kuwa, watu kadhaa wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kupanga mashambulio dhidi ya Waislamu na misikiti katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Kansela wa Ujerumani akwepa kulaani vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu
Nov 11, 2020 14:43Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amekwepa kulaani hatua na vitendo vya kuvunjia heshima thamani na matukufu ya Uislamu.
-
Lissu aondoka Tanzania kuelekea Ubelgiji akisindikizwa na maafisa wa ubalozi wa Ujerumani
Nov 10, 2020 16:19Tundu Antipas Lissu, aliyegombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28 kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameondoka nchini humo kwenda Ubelgiji.