-
Jumatatu tarehe 9 Novemba 2020
Nov 09, 2020 05:57Leo ni Jumatatu tarehe 23 Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe 9 Novemba mwaka 2020.
-
Rouhani: Uchumi wa Iran umeupiku wa Ujerumani wakati wa corona
Oct 04, 2020 03:22Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu katika kipindi hiki cha janga la corona umeupiku ule wa Ujerumani na kusisitiza kuwa, uchumi wa taifa hili utastawi zaidi kufikia Machi mwaka ujao 2021.
-
Urusi yaikosoa Ujerumani kwa kukataa kuipatia rekodi za matibabu za Navalny
Sep 15, 2020 10:58Serikali ya Russia imeikosoa Ujerumani kwa kukataa kuipatia Moscow maelezo ya kimatibabu ya mpinzaji wa Russia, Alexei Navalny ambaye Magharibi inadai amepewa sumu, na badala yake imeipeleka kesi hiyo kwenye Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW).
-
Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Sep 12, 2020 07:24Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;
-
Russia yakanusha madai ya Ujerumani ya kumpa sumu Navalny
Sep 04, 2020 02:34Russia imekadhibisha madai kuwa Moscow ilimpa sumu mwanasiasa wa upinzani wa nchi hiyo Alexey Navalny ambaye anaendelea kupatiwa matibabu nchini Ujerumani.
-
Hitilafu kali za Ujerumani na Ufaransa dhidi ya Marekani kuhusu marekebisho katika shirika la WHO
Aug 09, 2020 03:18Kushindwa serikali ya Rais Donald Trump kudhibiti maambukizi ya virusi vya COVID-19 nchini Marekani kumemfanya rais huyo ajaribu kuwepa lawama za kufeli huko kwa kulituhumu Shirika la Afya Duniani WHO kuwa lilifeli katika utekelezaji wa majukumu yake.
-
Wananchi wa Ujerumani waunga mkono kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini mwao
Aug 04, 2020 11:13Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa Ujerumani unaonyesha kuwa akthari ya raia wa nchi huo wanaunga mkono kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini mwao na pia wanataka Marekani iondoe silaha zake za atomiki katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana
Jul 16, 2020 07:54Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani wamesisitiza kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havina umuhimu wowote.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani akiri kuhusu msimamo dhaifu wa EU mkabala na mgogoro wa Libya
Jul 15, 2020 07:26Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani amesema kuwa Umoja wa Ulaya umedhihirisha msimamo dhaifu katika kushughulikia mgogoro wa Libya.
-
Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya
Jul 10, 2020 02:24Vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Libya vimechukua sura mpya na tata na hasa kufuatia uamuzi wa wapiganaji wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wa kuanzisha hujuma ya kuuteka mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, mnamo mwezi Aprili 2019 na uingiliaji wa nchi za kigeni kwa ajili ya kuziunga mkono pande hasimu katika mgogoro huo.