Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Unafiki wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Unafiki wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Nov 24, 2022 08:59

    Matukio ya ndani ya miezi miwili iliyopita nchini Iran yamezifanya nchi za Ulaya zichukue hatua za kihasama za kuiwekea vikwazo na kuitishia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. 

  • Mgogoro wa nishati Ulaya, vyuo vikuu vya Ujerumani navyo havikusalaimika

    Mgogoro wa nishati Ulaya, vyuo vikuu vya Ujerumani navyo havikusalaimika

    Nov 23, 2022 12:01

    Mgogoro wa nishati umezidi kuwa mkubwa katika nchi za Ulaya kiasi kwamba vyuo vikuu vya Ujerumani vimelazimika kuweka kwenye ajenda yake ubanaji wa matumizi ya nishati.

  • Jitihada za kufunga kituo cha Kiislamu cha Hamburg, Ujerumani

    Jitihada za kufunga kituo cha Kiislamu cha Hamburg, Ujerumani

    Nov 12, 2022 12:18

    Katika juhudi za madola ya Magharibi za kuunga mkono ghasia na machafuko nchini Iran, vyama vya muungano unaotawala nchini Ujerumani vimetoa wito wa kufungwa Kituo cha Kiislamu na Kiutamduni cha Iran katika mji wa Hamburg nchini humo.

  • Iran yaionya Ujerumani: Jibu letu kwa uingiliaji wenu litakuwa zito

    Iran yaionya Ujerumani: Jibu letu kwa uingiliaji wenu litakuwa zito

    Nov 10, 2022 11:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali matamshi ya uingiliaji na ya kichochezi yaliyotolewa na mwenzake wa Ujerumani na kuonya kuwa, Tehran itatoa jibu lenye mlingano na madhubuti kwa misimamo hiyo ya uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hii.

  • Wanaharakati wa mitandao ya kijamii waanzisha kampeni ya kususiwa PUMA na kupeperusha bendera ya Palestina Qatar 2022

    Wanaharakati wa mitandao ya kijamii waanzisha kampeni ya kususiwa PUMA na kupeperusha bendera ya Palestina Qatar 2022

    Nov 01, 2022 02:30

    Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wameanzisha kampeni ya kusuusiwa kampuni ya vifaa vya michezo ya PUMA ya Ujerumani na kupeperushwa bendera ya Palestina wakati wa mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022 ili kuwaazindua walimwengu kuhusumasaibu ya watu wa Palestina na umuhimu wa ukombozi wa ardhi hiyo inayokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Maandamano ya Ulaya dhidi ya kuzorota hali ya kiuchumi

    Maandamano ya Ulaya dhidi ya kuzorota hali ya kiuchumi

    Oct 25, 2022 02:36

    Kufuatia kuenea mgogoro wa kiuchumi katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi wengi wameandamana katika nchi kama vile Ujerumani, Ufaransa, Uingereza na Romania kulalamikia hali mbaya ya maisha.

  • Familia yalilia haki baada ya polisi wa Ujerumani kumuua kikatili mtu mweusi

    Familia yalilia haki baada ya polisi wa Ujerumani kumuua kikatili mtu mweusi

    Oct 11, 2022 12:05

    Familia ya mtu mmoja wa asili ya Afrika aliyefariki dunia kutokana na ukatili wa polisi ya Ujerumani wiki iliyopita imetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa kina ili kuwafikisha mbele ya sheria askari polisi waliohusika na mauaji hayo.

  • Utafiti: Mitazamo hasi dhidi ya Waislamu inaenea kwa kasi Ujerumani

    Utafiti: Mitazamo hasi dhidi ya Waislamu inaenea kwa kasi Ujerumani

    Oct 06, 2022 06:59

    Mitazamo hasi na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka kwa kiwango cha kutia wasiwasi nchini Ujerumani.

  • Chama cha Kushoto cha Ujerumani chakosoa hatua ya Berlin ya kuiuzia silaha Saudia

    Chama cha Kushoto cha Ujerumani chakosoa hatua ya Berlin ya kuiuzia silaha Saudia

    Oct 02, 2022 12:07

    Chama cha mrengo wa kushoto cha Ujerumani kimekosoa vikali hatua ya serikali mpya ya muungano ya nchi hiyo ya kutoa leseni ya kuuza silaha kwa serikali ya Saudi Arabia.

  • Mbunge wa Ujerumani: Serikali ya nchi hii ndio 'pumbavu zaidi' barani Ulaya

    Mbunge wa Ujerumani: Serikali ya nchi hii ndio 'pumbavu zaidi' barani Ulaya

    Sep 10, 2022 11:33

    Mwanasiasa wa mrengo wa kushoto nchini Ujerumani ameikosoa vikali serikali ya nchi hiyo kwa kusababisha alichokiita vita 'vibaya' vya kiuchumi dhidi ya Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS