Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Maelfu waandamana Ujerumani kupinga kupewa silaha Ukraine

    Maelfu waandamana Ujerumani kupinga kupewa silaha Ukraine

    Oct 05, 2023 03:15

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji wa Munich, kusini mwa Ujerumani kupinga vita na kupewa silaha Ukraine.

  • Rais wa Mexico akosoa misaada ya kijeshi ya US kwa Ukraine

    Rais wa Mexico akosoa misaada ya kijeshi ya US kwa Ukraine

    Oct 04, 2023 03:09

    Rais Andrés Manuel López Obrador wa Mexico ameikosoa vikali Marekani kwa kutumia mabilioni ya dola kuisheheneza kwa silaha Ukraine.

  • Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani

    Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani

    Sep 28, 2023 07:53

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu dunia kuingia katika mashindano mapya ya silaha za nyuklia ambayo yanaweza kueneza maafa duniani kote. Katika siku ya mwisho ya mkutano wa mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama amesema mashindano ya silaha yanatia wasiwasi wa kuongezeka karibuni idadi ya silaha za nyuklia ulimwenguni.

  • Onyo kuhusu utumiwaji wa mabomu ya vishada katika vita vya Ukraine

    Onyo kuhusu utumiwaji wa mabomu ya vishada katika vita vya Ukraine

    Sep 16, 2023 12:14

    Utumiaji wa mabomu ya vishada katika vita vya Ukrainia na matokeo yake hatari yamewakasirisha watetezi wengi wa haki za binadamu na hata taasisi za kimataifa.

  • Raisi: Ukraine haijawasilisha ushahidi wa madai ya kutumwa silaha za Iran kwa Russia wakati wa vita

    Raisi: Ukraine haijawasilisha ushahidi wa madai ya kutumwa silaha za Iran kwa Russia wakati wa vita

    Sep 14, 2023 11:13

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Waukraine wameshindwa kuwasilisha nyaraka zozote zinazoonyesha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu iliipatia silaha Russia wakati wa vita.

  • Njama mpya za Marekani za kushadidisha vita vya Ukraine

    Njama mpya za Marekani za kushadidisha vita vya Ukraine

    Sep 14, 2023 02:23

    Viongozi wa Marekani wametangaza kuwa, serikali ya Joe Biden imekaribia kupasisha muswada wa kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kubeba mabomu ya vishada.

  • Russia yatungua droni 8 za Ukraine karibu na Crimea

    Russia yatungua droni 8 za Ukraine karibu na Crimea

    Sep 10, 2023 10:35

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema mifumo ya ulinzi wa anga ya nchi hiyo imefanikiwa kutungua ndege nane zisizo na rubani (droni) za Ukraine zilizokuwa zinaruka katika anga ya Bahari Nyeusi karibu na eneo la Crimea.

  • Russia: Askari 66,000 wa Ukraine wameuawa katika kujibu mashambulio yetu

    Russia: Askari 66,000 wa Ukraine wameuawa katika kujibu mashambulio yetu

    Sep 06, 2023 03:13

    Waziri wa Ulinzi wa Russia ameashiria mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa na Ukraine dhidi ya maeneo ya raia nchini humo na kutoa takwimu za vifo na hasara za uharibifu ilizopata Kiev katika operesheni ilizotekeleza kujibu mashambulio ya Moscow.

  • Hatua mpya ya Marekani ya kukoleza moto wa vita: Kuipelekea Ukraine risasi zenye madini ya urani

    Hatua mpya ya Marekani ya kukoleza moto wa vita: Kuipelekea Ukraine risasi zenye madini ya urani

    Sep 03, 2023 08:49

    Serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani imeamua kwa mara ya kwanza kuipatia Ukraine risasi zenye madini ya urani hafifu. Risasi hizo ni sehemu ya shehena mpya ya silaha ambayo itatangazwa mnamo siku zijazo.

  • Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16

    Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16

    Aug 21, 2023 09:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ametangaza kuwa Washington imeafiki kupelekewa Ukraine ndege za kivita aina ya F-16 kutoka nchi mbili wanachama wa shirika la kijeshi la NATO, yaani Denmark na Uholanzi, na kwamba hilo litafanyika baada ya kukamilishwa mchakato wa utoaji mafunzo kwa marubani wa Ukraine ya kuzitumia ndege hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS