-
EU yashutumiwa kwa kuwabagua wakimbizi wa Kiafrika
Aug 19, 2023 03:52Umoja wa Ulaya umeendelea kukosolewa kwa kutekeleza sera za kibaguzi dhidi ya wakimbizi kutoka Ukraine kwa upande mmoja, na wale wanaotoka nchi za Afrika na bara Asia kwa upande wa pili.
-
Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine
Aug 13, 2023 10:31Misri imekataa ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine ikiwa ni katika sehemu ya mkakati wa Cairo ya kutopendelea upande wowote kwenye vita vya Ukraine na Russia.
-
Sisitizo jingine la China la kutatuliwa mgogoro wa Ukraine kwa njia ya mazungumzo
Aug 12, 2023 02:16Viongozi wa serikali ya China wangali wanasisitiza juu ya suluhisho la kisiasa na kidiplomasia kwa mzozo wa Ukraine.
-
Russia yatungua droni 11 za Ukraine karibu na eneo la Crimea
Aug 11, 2023 02:18Russia imesema imefanikiwa kutungua ndege 11 zisizo na rubani za Ukraine karibu na eneo la Crimea, na nyingine mbili zilizokuwa zinaelekea Moscow.
-
Moscow yasisitiza kuwa itatimiza malengo yake ya kijeshi huko Ukraine
Aug 09, 2023 03:13Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, amesema kuwa nchi yake ina vikosi vya jeshi vya kutosha kutekeleza majukumu yote ya operesheni maalumu ya kijeshi nchini Ukraine.
-
Iran: Chokochoko za NATO ni miongoni mwa sababu kuu za vita vya Ukraine
Aug 07, 2023 12:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian amegusia juhudi za Tehran kuelekea suluhisho la kisiasa la mgogoro wa Ukraine na kusisitiza kuwa muungano wa kijeshi wa NATO unaoongozwa na Marekani na chokochoko ulizofanya ni miongoni mwa sababu zilizopelekea kuzuka mgogoro huo.
-
Saudia yaitisha mkutano wa nchi 40 kujadili vita vya Ukraine bila kuialika Russia
Aug 06, 2023 02:30Saudi Arabia imeitisha mkutano mjini Jeddah, ambao umehudhuriwa na maafisa waandamizi kutoka nchi zipatazo 40, pasi na kuishirikisha Russia, lengo likiwa ni kupendekeza kanuni kuu za kuhitimisha vita kati ya nchi hiyo na Ukraine.
-
Zakharova: Shambulizi la Ukraine dhidi ya Moscow linafanana na la 9/11
Aug 02, 2023 02:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameashiria shambulio la karibuni la ndege zisizo na rubani za Kiev kwenye eneo la biashara mjini Moscow na kusema kuwa, hujuma hiyo inashabihiana na mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 mjini New York, Marekani.
-
Woga wa Marekani wa kukumbwa huko Ukraine na yale yale yaliyoikumba Washington nchini Afghanistan
Jul 31, 2023 02:31Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeonya kuhusu athari mbaya za ufisadi wa kiserikali nchini Ukraine kutokana na misaada isiyo na mahesabu ya kiuchumi inayomiminiwa nchi hiyo ya Ulaya Mashariki.
-
Russia: Shambulio la droni la Ukraine ni ugaidi wa kimataifa
Jul 24, 2023 11:21Russia imelitaja shambulio la ndege zisizo na rubani (droni) za Ukraine dhidi ya Moscow kuwa ugaidi wa kimataifa.