Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    Sep 26, 2017 04:08

    Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.

  • UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    Sep 26, 2017 01:19

    Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.

  • Askari 8 wa UN wauawa, kujeruhiwa katika mripuko nchini Mali

    Askari 8 wa UN wauawa, kujeruhiwa katika mripuko nchini Mali

    Sep 24, 2017 11:01

    Wanajeshi watatu wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Thuluthi nzima ya kesi za askari wa UN za kuwabaka wanawake zimeripotiwa DRC

    Thuluthi nzima ya kesi za askari wa UN za kuwabaka wanawake zimeripotiwa DRC

    Sep 24, 2017 10:18

    Ripoti mpya imeonyesha kuwa, thuluthi nzima ya vitendo vya ubakaji na dhulma za kijinsia dhidi ya wanawake vinavyofanywa na askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa vimeripotiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Umoja wa Mataifa wayataka makundi ya kisiasa Togo kuanza mazungumzo ya maana

    Umoja wa Mataifa wayataka makundi ya kisiasa Togo kuanza mazungumzo ya maana

    Sep 24, 2017 04:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezitolea wito serikali na makundi yote ya kisiasa ya Togo kuanza mazungumzo ya maana.

  • Umoja wa Mataifa: Wimbi la wakimbizi wa Myanmar ndilo kubwa zaidi katika miongo ya hivi karibuni

    Umoja wa Mataifa: Wimbi la wakimbizi wa Myanmar ndilo kubwa zaidi katika miongo ya hivi karibuni

    Sep 24, 2017 00:02

    Ofisi ya ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imetangaza kuwa, hadi sasa Waislamu laki saba wa jamii ya Rohingya wa Myanmar wamelazimika kukimbilia nchi jirani ya Banghladesh na kwamba, wimbi hilo la wakimbizi ndilo kubwa zaidi katika miango ya hivi karibuni.

  • Askari wa serikali ya Kongo DR watuhumiwa kuhusika na mauaji ya raia

    Askari wa serikali ya Kongo DR watuhumiwa kuhusika na mauaji ya raia

    Sep 24, 2017 00:01

    Wakimbizi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewatuhumu maafisa usalama wa serikali kuwa wamehusika katika mauaji ya raia.

  • UN: Wafuasi wa Gaddafi wanaweza kushiriki katika siasa za Libya

    UN: Wafuasi wa Gaddafi wanaweza kushiriki katika siasa za Libya

    Sep 23, 2017 12:02

    Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Libya amesema kuwa, makundi yote ya nchi hiyo wakiwemo wafuasi wa dikteta wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi wanaweza kushiriki katika mwenendo wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • OCHA: Misaada zaidi ya kibinaadamu inahitajika kwa ajili ya Waislamu wa Myanmar

    OCHA: Misaada zaidi ya kibinaadamu inahitajika kwa ajili ya Waislamu wa Myanmar

    Sep 22, 2017 01:02

    Ofisi ya Uratibu ya Umoja wa Mataifa Inayoshughulikia Masuala ya Kibinaadamu (OCHA) imetoa mwito wa kuongezwa bajeti ya misaada ya kibinaadamu kwa ajili ya wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya wa nchini Myanmar.

  • Rais Hassan Rouhani atoa hotuba UN akosoa vikali hotuba yaTrump, aitaja kuwa ya kijahili na kijinga

    Rais Hassan Rouhani atoa hotuba UN akosoa vikali hotuba yaTrump, aitaja kuwa ya kijahili na kijinga

    Sep 20, 2017 12:51

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya lran amesema kuwa, miamala ya kijahili, michafu, chuki na iliyokosa uelewa na utoaji tuhuma zisizokuwa na msingi wowote ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya taifa la Iran katika mkutano mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) si tu kwamba, haiendani na umoja huo, bali inakinzana pia na matakwa na matarajio ya leo ya watu wa mataifa yote ya dunia katika kikao hicho. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS