Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Koffi Annan: Haki za Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar ziheshimiwe

    Koffi Annan: Haki za Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar ziheshimiwe

    Aug 24, 2017 09:13

    Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na kusisitiza kuwa, utumiaji wa mabavu na nguvu kupita kiasi dhidi yao hakuwezi kusaidia kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh

    UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh

    Aug 22, 2017 23:17

    Ujumbe wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ulioko nchini Iraq na ofisi ya haki za binadamu ya umoja huo zimetoa ripoti na kutangaza kuwa wanawake na wasichana wa Kiiraqi wanaoishi kwenye miji inayokaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanakabiliwa na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Sudan Kusini yapiga marufuku ndege za walinda amani wa UN kutumia uwanja wa Juba

    Sudan Kusini yapiga marufuku ndege za walinda amani wa UN kutumia uwanja wa Juba

    Aug 22, 2017 10:57

    Serikali ya Sudan Kusini imepiga marufuku ndege za vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kuruka kutokea uwanja wa ndege wa mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.

  • Watoaji wa huduma za kibinadamu Sudan Kusini waendelea kushambuliwa

    Watoaji wa huduma za kibinadamu Sudan Kusini waendelea kushambuliwa

    Aug 19, 2017 23:54

    Mratibu wa masuala ya kibiadamu nchini Sudan Kusini amesema kuwa mashambulizi dhidi ya watoaji wa huduma za kibiandamu nchini humo yameongezeka.

  • Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini

    Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini

    Aug 17, 2017 03:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kushtadi vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini na kusema kuwa, kuna haja ya pande mbili hizo kukumbatia diplomasia.

  • UN yaikosoa Marekani kwa kuwazuilia wahajiri na wanaotafuta hifadhi

    UN yaikosoa Marekani kwa kuwazuilia wahajiri na wanaotafuta hifadhi

    Aug 14, 2017 23:26

    Wataalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamekosoa kitendo cha Marekani kuendelea kuwazuilia wahamiaji na raia wa kigeni wanaotafuta hifadhi nchini humo.

  • Hatimaye UN yavunja kimya chake, yaitaka Saudia iheshimu haki za binadamu

    Hatimaye UN yavunja kimya chake, yaitaka Saudia iheshimu haki za binadamu

    Aug 11, 2017 02:38

    Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia kukomesha jinai na mashambulio dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.

  •  Watu wa Asili, Tabaka Lililokandamizwa Zaidi katika Dunia ya Leo

    Watu wa Asili, Tabaka Lililokandamizwa Zaidi katika Dunia ya Leo

    Aug 09, 2017 14:08

    Tarehe 23 Disemba mwaka 1994 Umoja wa Mataifa uliitangaza tarehe 9 Agosti kila mwaka kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Watu wa Asili (Indigenous). Siku hiyo ilitangazwa rasmi ili kukumbuka na kutetea haki za zaidi ya watu milioni 370 wa asili katika nchi 90 duniani.

  • UN: Tunafuatilia kwa karibu uchaguzi wa Kenya

    UN: Tunafuatilia kwa karibu uchaguzi wa Kenya

    Aug 08, 2017 03:21

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema umoja huo unafuatilia kwa karibu zoezi la uchaguzi mkuu linalofanyika hii leo nchini Kenya.

  • Umoja wa Mataifa waonya kuhusu dalili za mauaji ya kimbari CAR

    Umoja wa Mataifa waonya kuhusu dalili za mauaji ya kimbari CAR

    Aug 08, 2017 03:18

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa kutokea mauji ya kimbari huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS