Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Kuiwekea Gaza mzingiro wa kila kitu ni 'marufuku' chini ya sheria za kimataifa

    UN: Kuiwekea Gaza mzingiro wa kila kitu ni 'marufuku' chini ya sheria za kimataifa

    Oct 10, 2023 11:58

    Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema, mzingiro wa kila kitu ambao Israel imeamua kuuwekea Ukanda wa Gaza, na kuwanyima raia bidhaa muhimu kwa ajili ya maisha, umepigwa marufuku chini ya sheria za kimataifa.

  • UN na ICRC: Lazima kuweko na sheria na vikwazo kudhibiti silaha zinazojiendesha

    UN na ICRC: Lazima kuweko na sheria na vikwazo kudhibiti silaha zinazojiendesha

    Oct 06, 2023 07:16

    Umoja wa Mataifa na Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani ICRC zimetoa wito wa kuanzishwa sheria na vikwazo ili kudhibiti mifumo ya silaha zinazojiendesha.

  • Erdogan: Uturuki haitarajii chochote kutoka Umoja wa Ulaya

    Erdogan: Uturuki haitarajii chochote kutoka Umoja wa Ulaya

    Oct 02, 2023 00:09

    Rais Recep Tayyeb Erdogan wa Uturuki amesema taifa hilo halitazamii kupata kitu chochote kutoka Brussels, baada ya kusubiri kwa miongo kadhaa kupewa uanachama wa Umoja wa Ulaya.

  • UN yatuma ujumbe wake Nagorno-Karabagh kwa mara ya kwanza baada ya takribani miaka 30

    UN yatuma ujumbe wake Nagorno-Karabagh kwa mara ya kwanza baada ya takribani miaka 30

    Sep 30, 2023 03:15

    Umoja wa Mataifa utatuma ujumbe katika eneo la Nagorno-Karabakh kwa mara ya kwanza baada ya takribani miaka 30, kufuatia makubaliano uliyofikia na Serikali ya Azerbaijan juu ya suala hilo.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu

    Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu

    Sep 29, 2023 04:47

    Marta Hurtado, Msemaji wa Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, Jumatano alikosoa marufuku ya uvaaji hijabu kwa wanariadha wa Ufaransa katika michezo ya Olimpiki ya 2024, ambayo imepangwa kufanyika Paris mwaka ujao.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa

    Umoja wa Mataifa wakosoa "marufuku ya hijabu" katika Michezo ya Olimpiki 2024

    Sep 27, 2023 12:55

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imekosoa uamuzi wa serikali ya Ufaransa "kupiga marufuku vazi la hijabu kwa wanariadha wa Ufaransa" katika Michezo ya Olimpiki ya mwaka ujao inayoandaliwa na Paris.

  • Guterres apongeza azma ya Iran kutuma vikosi vyake kulinda amani duniani

    Guterres apongeza azma ya Iran kutuma vikosi vyake kulinda amani duniani

    Sep 23, 2023 04:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kwa mikono miwili pendekezo la Rais Ebrahim Raisi wa Iran la kuwa tayari wanajeshi wa Jamhuri ya Kiislamu kujiunga na vikosi vya kulinda amani kote duniani.

  • Rais wa Iran: Kuna ulazima wa kuangaliwa upya muundo wa Umoja wa Mataifa

    Rais wa Iran: Kuna ulazima wa kuangaliwa upya muundo wa Umoja wa Mataifa

    Sep 23, 2023 01:02

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna umuhimu wa kufanyika marekebisho katika muundo wa Umoja wa Mataifa.

  • Sisitizo la kufanyiwa mabadiliko muundo wa Umoja wa Mataifa

    Sisitizo la kufanyiwa mabadiliko muundo wa Umoja wa Mataifa

    Sep 20, 2023 22:53

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesisitiza haja ya kufanyiwa mabadiliko muundo wa umoja huo na kuonya kuwa, huenda kukajitokeza mgawanyiko iwapo jambo hilo halitazingatiwa.

  • UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    Sep 20, 2023 03:47

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya wahajiri ni miongoni mwa maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na kimbunga huko mashariki mwa Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS