Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Guterres apongeza azma ya Iran kutuma vikosi vyake kulinda amani duniani

    Guterres apongeza azma ya Iran kutuma vikosi vyake kulinda amani duniani

    Sep 23, 2023 07:44

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kwa mikono miwili pendekezo la Rais Ebrahim Raisi wa Iran la kuwa tayari wanajeshi wa Jamhuri ya Kiislamu kujiunga na vikosi vya kulinda amani kote duniani.

  • Rais wa Iran: Kuna ulazima wa kuangaliwa upya muundo wa Umoja wa Mataifa

    Rais wa Iran: Kuna ulazima wa kuangaliwa upya muundo wa Umoja wa Mataifa

    Sep 23, 2023 04:32

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna umuhimu wa kufanyika marekebisho katika muundo wa Umoja wa Mataifa.

  • Sisitizo la kufanyiwa mabadiliko muundo wa Umoja wa Mataifa

    Sisitizo la kufanyiwa mabadiliko muundo wa Umoja wa Mataifa

    Sep 21, 2023 02:23

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesisitiza haja ya kufanyiwa mabadiliko muundo wa umoja huo na kuonya kuwa, huenda kukajitokeza mgawanyiko iwapo jambo hilo halitazingatiwa.

  • UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    Sep 20, 2023 07:17

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya wahajiri ni miongoni mwa maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na kimbunga huko mashariki mwa Libya.

  • Raisi: Mradi wa kuufanya ulimwengu uwe wa Kimarekani umefeli

    Raisi: Mradi wa kuufanya ulimwengu uwe wa Kimarekani umefeli

    Sep 20, 2023 03:21

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema mpango wa Marekani wa kuitwisha dunia sera na misimamo yake umefeli na kugonga mwamba.

  • UN: Mauaji makubwa na uhalifu wa kivita unaendelea kufanywa Ethiopia

    UN: Mauaji makubwa na uhalifu wa kivita unaendelea kufanywa Ethiopia

    Sep 19, 2023 07:25

    Wataalamu huru wa haki za binadamu walioteuliwa na Umoja wa Mataifa wamesema, uhalifu wa kivita umeendelea kufanywa bila kusitishwa nchini Ethiopia karibu mwaka mmoja baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano kufikiwa kati ya Serikali ya nchi hiyo na vikosi kutoka eneo la kaskazini la Tigray

  • UN: Baadhi ya watu nchini Libya wamepoteza wanafamilia 50 au zaidi

    UN: Baadhi ya watu nchini Libya wamepoteza wanafamilia 50 au zaidi

    Sep 16, 2023 10:59

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA, Martin Griffiths amesema, umoja huo unaendelea kuhamasisha juhudi za utoaji misaada kwa nchi za Libya na Morocco kufuatia majanga mawili makubwa tofauti yaliyozikumba nchi hizo sambamba na machungu na maumivu makubwa yaliyozipata familia zilizofiwa na kupoteza wapendwa wao katika majanga hayo.

  • China: Haiwezekani Taiwan kupewa uanachama wa UN

    China: Haiwezekani Taiwan kupewa uanachama wa UN

    Sep 16, 2023 04:43

    Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amesema jitihada za maajinabi zinazoendelea za eti kutafuta uhuru wa Taiwan zitafeli.

  • Kuendelea mgogoro wa Sudan; kujiuzulu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa

    Kuendelea mgogoro wa Sudan; kujiuzulu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa

    Sep 15, 2023 05:53

    Vita nchini Sudan vingali vinaendelea na pande mbili zimeendelea kung'ang'ania misimamo yao hali ambayo imezifanya juhudi za kuhitimisha vita hivyo kutozaa matunda.

  • UN: Dola bilioni 360 zinahitajika kila mwaka ili kufikia usawa wa kijinsia 2030

    UN: Dola bilioni 360 zinahitajika kila mwaka ili kufikia usawa wa kijinsia 2030

    Sep 09, 2023 02:27

    Takwimu mpya zilizokusanywa na mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa zimeonyesha kuwa kuna haja ya uwekezaji wa ziada wa dola bilioni 360 kwa mwaka ili kufikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake ifikapo mwaka 2030.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS