Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023

    UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023

    Sep 05, 2023 10:54

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) linakadiria kuwa zaidi ya watu milioni 1.8 watakuwa wameikimbia Sudan kutokana na mapigano ya silaha ya kuwania madaraka nchini humo, ambayo yamekuwa yakiendelea tangu Aprili 15 kati ya vikosi vya jeshi na vya Msaada wa Haraka RSF.

  • Taliban yaadhimisha mwaka wa pili wa kurudi madarakani Afghanistan huku ikiandamwa na lawama za UN

    Taliban yaadhimisha mwaka wa pili wa kurudi madarakani Afghanistan huku ikiandamwa na lawama za UN

    Aug 16, 2023 02:48

    Kundi la Taliban la Afghanistan limeadhimisha mwaka wa pili wa kurejea madarakani kwa kuutangaza mnasaba huo kuwa siku rasmi ya mapumziko ikiwa ni kusherehekea kutekwa kwa mji mkuu Kabul na kuanzishwa kile kilichotajwa kuwa ni hali kamili ya usalama kote nchini chini ya uongozi wa "Mfumo wa Kiislamu".

  • UN, ECOWAS zapinga kushtakiwa rais aliyepinduliwa wa Niger

    UN, ECOWAS zapinga kushtakiwa rais aliyepinduliwa wa Niger

    Aug 15, 2023 07:32

    Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimeeleza kutiwa wasiwasi na tangazo la jeshi la Niger kuwa litamfungulia mashtaka rais aliyeondolewa madarakani, Mohamed Bazoum kwa tuhuma za kufanya uhaini mkubwa.

  • UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran

    UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran

    Aug 15, 2023 03:30

    Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la kigaidi katika haram ya Sayyid Ahmad Bin Musa (as) maarufu kama Shah Cheragh katika mji wa Shiraz mkoani Fars, kusini mwa Iran.

  • Wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda wakosoa mwito wa mahakama ya UN

    Wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda wakosoa mwito wa mahakama ya UN

    Aug 09, 2023 11:34

    Waathirika, wahanga na manusura wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 wamekosoa vikali mwito uliotolewa na majaji wa rufaa ya mahakama ya Umoja wa Mataifa wa kutaka kesi ya uhalifu wa kivita inayomkabili mshukiwa wa mauaji hayo ya kimbari, Felicien Kabuga isitishwe kwa muda usiojulikana.

  • UN yalaani mapinduzi ya kijeshi Niger; wananchi waandamana

    UN yalaani mapinduzi ya kijeshi Niger; wananchi waandamana

    Jul 27, 2023 10:53

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa taarifa akilaani vikali mapinduzi ya kijeshi yaliyomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum wa Niger.

  • UN: Kuongezeka kwa njaa duniani ni matokeo ya Corona na vita

    UN: Kuongezeka kwa njaa duniani ni matokeo ya Corona na vita

    Jul 14, 2023 08:02

    Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba migogoro mingi, ikiwa ni pamoja na vita na maambukizi ya virusi vya Corona, imezidisha idadi ya watu wenye njaa duniani.

  • Marekani yatetea kuchomwa moto Qurani Sweden, UN yalaani

    Marekani yatetea kuchomwa moto Qurani Sweden, UN yalaani

    Jul 01, 2023 10:14

    Huku ulimwengu wa Kiislamu ukiendelea kulaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu huko nchini Sweden, Marekani imetoa taarifa inayoonekana kuunga mkono na kuhalalisha kitendo hicho cha kuvunjiwa heshima kitabu kitakatifu cha Waislamu.

  • UN yatahadharisha kuhusu athari mbaya za kumalizika mkataba nafaka kwa Pembe ya Afrika

    UN yatahadharisha kuhusu athari mbaya za kumalizika mkataba nafaka kwa Pembe ya Afrika

    Jun 27, 2023 09:30

    Moscow imetishia kujitoa katika makubaliano yanayoitwa "Mpango wa Nafaka wa Bahari Nyeusi" yaliyofikiwa kwa usimamizi wa Umoja wa Mataifa na Uturuki mwezi Julai mwaka jana iwapo hakutaondolewa vikwazo kwa usafirishaji wake wa nafaka na mbolea.

  • "US inawakandamiza wafungwa wa Guantanamo, iombe radhi"

    Jun 27, 2023 06:55

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa amelaani namna Marekani inayoamiliana kikatili na wafungwa walioko katika Gereza la Guantanamo akisisitiza kuwa, Washington inapaswa kuomba radhi kwa jinai na miamala ya kinyama inayofanyiwa wafungwa hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS