Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Raisi: Mradi wa kuufanya ulimwengu uwe wa Kimarekani umefeli

    Raisi: Mradi wa kuufanya ulimwengu uwe wa Kimarekani umefeli

    Sep 19, 2023 23:51

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema mpango wa Marekani wa kuitwisha dunia sera na misimamo yake umefeli na kugonga mwamba.

  • UN: Mauaji makubwa na uhalifu wa kivita unaendelea kufanywa Ethiopia

    UN: Mauaji makubwa na uhalifu wa kivita unaendelea kufanywa Ethiopia

    Sep 19, 2023 03:55

    Wataalamu huru wa haki za binadamu walioteuliwa na Umoja wa Mataifa wamesema, uhalifu wa kivita umeendelea kufanywa bila kusitishwa nchini Ethiopia karibu mwaka mmoja baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano kufikiwa kati ya Serikali ya nchi hiyo na vikosi kutoka eneo la kaskazini la Tigray

  • UN: Baadhi ya watu nchini Libya wamepoteza wanafamilia 50 au zaidi

    UN: Baadhi ya watu nchini Libya wamepoteza wanafamilia 50 au zaidi

    Sep 16, 2023 07:29

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA, Martin Griffiths amesema, umoja huo unaendelea kuhamasisha juhudi za utoaji misaada kwa nchi za Libya na Morocco kufuatia majanga mawili makubwa tofauti yaliyozikumba nchi hizo sambamba na machungu na maumivu makubwa yaliyozipata familia zilizofiwa na kupoteza wapendwa wao katika majanga hayo.

  • China: Haiwezekani Taiwan kupewa uanachama wa UN

    China: Haiwezekani Taiwan kupewa uanachama wa UN

    Sep 16, 2023 01:13

    Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amesema jitihada za maajinabi zinazoendelea za eti kutafuta uhuru wa Taiwan zitafeli.

  • Kuendelea mgogoro wa Sudan; kujiuzulu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa

    Kuendelea mgogoro wa Sudan; kujiuzulu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa

    Sep 15, 2023 02:23

    Vita nchini Sudan vingali vinaendelea na pande mbili zimeendelea kung'ang'ania misimamo yao hali ambayo imezifanya juhudi za kuhitimisha vita hivyo kutozaa matunda.

  • UN: Dola bilioni 360 zinahitajika kila mwaka ili kufikia usawa wa kijinsia 2030

    UN: Dola bilioni 360 zinahitajika kila mwaka ili kufikia usawa wa kijinsia 2030

    Sep 08, 2023 22:57

    Takwimu mpya zilizokusanywa na mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa zimeonyesha kuwa kuna haja ya uwekezaji wa ziada wa dola bilioni 360 kwa mwaka ili kufikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake ifikapo mwaka 2030.

  • UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023

    UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023

    Sep 05, 2023 07:24

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) linakadiria kuwa zaidi ya watu milioni 1.8 watakuwa wameikimbia Sudan kutokana na mapigano ya silaha ya kuwania madaraka nchini humo, ambayo yamekuwa yakiendelea tangu Aprili 15 kati ya vikosi vya jeshi na vya Msaada wa Haraka RSF.

  • Taliban yaadhimisha mwaka wa pili wa kurudi madarakani Afghanistan huku ikiandamwa na lawama za UN

    Taliban yaadhimisha mwaka wa pili wa kurudi madarakani Afghanistan huku ikiandamwa na lawama za UN

    Aug 15, 2023 23:18

    Kundi la Taliban la Afghanistan limeadhimisha mwaka wa pili wa kurejea madarakani kwa kuutangaza mnasaba huo kuwa siku rasmi ya mapumziko ikiwa ni kusherehekea kutekwa kwa mji mkuu Kabul na kuanzishwa kile kilichotajwa kuwa ni hali kamili ya usalama kote nchini chini ya uongozi wa "Mfumo wa Kiislamu".

  • UN, ECOWAS zapinga kushtakiwa rais aliyepinduliwa wa Niger

    UN, ECOWAS zapinga kushtakiwa rais aliyepinduliwa wa Niger

    Aug 15, 2023 04:02

    Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimeeleza kutiwa wasiwasi na tangazo la jeshi la Niger kuwa litamfungulia mashtaka rais aliyeondolewa madarakani, Mohamed Bazoum kwa tuhuma za kufanya uhaini mkubwa.

  • UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran

    UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran

    Aug 15, 2023 00:00

    Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la kigaidi katika haram ya Sayyid Ahmad Bin Musa (as) maarufu kama Shah Cheragh katika mji wa Shiraz mkoani Fars, kusini mwa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS