-
UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023
Sep 05, 2023 10:54Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) linakadiria kuwa zaidi ya watu milioni 1.8 watakuwa wameikimbia Sudan kutokana na mapigano ya silaha ya kuwania madaraka nchini humo, ambayo yamekuwa yakiendelea tangu Aprili 15 kati ya vikosi vya jeshi na vya Msaada wa Haraka RSF.
-
Taliban yaadhimisha mwaka wa pili wa kurudi madarakani Afghanistan huku ikiandamwa na lawama za UN
Aug 16, 2023 02:48Kundi la Taliban la Afghanistan limeadhimisha mwaka wa pili wa kurejea madarakani kwa kuutangaza mnasaba huo kuwa siku rasmi ya mapumziko ikiwa ni kusherehekea kutekwa kwa mji mkuu Kabul na kuanzishwa kile kilichotajwa kuwa ni hali kamili ya usalama kote nchini chini ya uongozi wa "Mfumo wa Kiislamu".
-
UN, ECOWAS zapinga kushtakiwa rais aliyepinduliwa wa Niger
Aug 15, 2023 07:32Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimeeleza kutiwa wasiwasi na tangazo la jeshi la Niger kuwa litamfungulia mashtaka rais aliyeondolewa madarakani, Mohamed Bazoum kwa tuhuma za kufanya uhaini mkubwa.
-
UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran
Aug 15, 2023 03:30Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la kigaidi katika haram ya Sayyid Ahmad Bin Musa (as) maarufu kama Shah Cheragh katika mji wa Shiraz mkoani Fars, kusini mwa Iran.
-
Wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda wakosoa mwito wa mahakama ya UN
Aug 09, 2023 11:34Waathirika, wahanga na manusura wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 wamekosoa vikali mwito uliotolewa na majaji wa rufaa ya mahakama ya Umoja wa Mataifa wa kutaka kesi ya uhalifu wa kivita inayomkabili mshukiwa wa mauaji hayo ya kimbari, Felicien Kabuga isitishwe kwa muda usiojulikana.
-
UN yalaani mapinduzi ya kijeshi Niger; wananchi waandamana
Jul 27, 2023 10:53Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa taarifa akilaani vikali mapinduzi ya kijeshi yaliyomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum wa Niger.
-
UN: Kuongezeka kwa njaa duniani ni matokeo ya Corona na vita
Jul 14, 2023 08:02Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba migogoro mingi, ikiwa ni pamoja na vita na maambukizi ya virusi vya Corona, imezidisha idadi ya watu wenye njaa duniani.
-
Marekani yatetea kuchomwa moto Qurani Sweden, UN yalaani
Jul 01, 2023 10:14Huku ulimwengu wa Kiislamu ukiendelea kulaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu huko nchini Sweden, Marekani imetoa taarifa inayoonekana kuunga mkono na kuhalalisha kitendo hicho cha kuvunjiwa heshima kitabu kitakatifu cha Waislamu.
-
UN yatahadharisha kuhusu athari mbaya za kumalizika mkataba nafaka kwa Pembe ya Afrika
Jun 27, 2023 09:30Moscow imetishia kujitoa katika makubaliano yanayoitwa "Mpango wa Nafaka wa Bahari Nyeusi" yaliyofikiwa kwa usimamizi wa Umoja wa Mataifa na Uturuki mwezi Julai mwaka jana iwapo hakutaondolewa vikwazo kwa usafirishaji wake wa nafaka na mbolea.
-
"US inawakandamiza wafungwa wa Guantanamo, iombe radhi"
Jun 27, 2023 06:55Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa amelaani namna Marekani inayoamiliana kikatili na wafungwa walioko katika Gereza la Guantanamo akisisitiza kuwa, Washington inapaswa kuomba radhi kwa jinai na miamala ya kinyama inayofanyiwa wafungwa hao.