Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yalaani shambulizi la kigaidi Uganda, waliouawa ni zaidi ya 40

    UN yalaani shambulizi la kigaidi Uganda, waliouawa ni zaidi ya 40

    Jun 18, 2023 07:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoua makumi ya wanafunzi katika eneo la Mpondwe, magharibi mwa Uganda.

  • Mali yataka UN iwaondoe nchini humo askari wake wa kulinda amani

    Mali yataka UN iwaondoe nchini humo askari wake wa kulinda amani

    Jun 17, 2023 11:07

    Serikali ya mpito ya Mali inayoongozwa na majenerali wa kijeshi imeutaka Umoja wa Mataifa uwaondoea nchini humo askari wa Kikosi cha kulinda amani cha umoja huo (MINUSMA).

  • "Uporaji wa ardhi wa Israel, sababu kuu ya matatizo ya Wapalestina"

    Jun 17, 2023 11:07

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema kuporwa na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina kunakofanywa na utawala ghasibu wa Israel ndiyo sababu kubwa ya kukumbwa na matatizo jamii ya Wapalestina katika kila sekta.

  • Guterres ataka kuundwa taasisi ya kudhibiti Akili Mashine (AI)

    Guterres ataka kuundwa taasisi ya kudhibiti Akili Mashine (AI)

    Jun 13, 2023 06:53

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema iwapo jamii ya kimataifa haitachukua hatua za makusudi za kuzuia kuenea kwa matumizi mabaya ya zana za teknolojia ya akili mashine (AI), huenda teknolojia hiyo ikageuka na kuwa zimwi lisilodhibitika.

  • Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo

    Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo

    Jun 11, 2023 12:28

    Mgogoro wa kisiasa na vita vya kuwania madaraka vinaendelea kutokota nchini Sudan licha ya jitihada zote za kimataifa na kikanda zinazofanyika kwa ajili ya kurejesha amani nchini huko. Katika hatua ya karibuni, Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imemfukuza Volker Perthes aliyekuwa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa na kumtaja kuwa mtu asiyetakikana nchini humo.

  • UN 'yaguswa' na ukatili wa Israel wa kumuua mtoto wa miaka 2

    UN 'yaguswa' na ukatili wa Israel wa kumuua mtoto wa miaka 2

    Jun 06, 2023 05:39

    Umoja wa Mataifa umelaani mauaji ya mtoto mdogo wa Kipalestina yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Watoto milioni 449 wanaishi katika maeneo ya migogoro

    Watoto milioni 449 wanaishi katika maeneo ya migogoro

    Jun 04, 2023 11:12

    Shirika la Save the Children limesema mamia ya mamilioni ya watoto wanaishi katika maeneo yenye migogoro ya kivita na wanakabiliwa na hatari ya kifo.

  • UN: Watoto nusu milioni wa Yemen wanakabiliwa na utapiamlo

    UN: Watoto nusu milioni wa Yemen wanakabiliwa na utapiamlo

    May 28, 2023 06:44

    Mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa, watoto zaidi ya laki tano wa Yemen wanawajihiwa na utapiamlo wa kiwango cha juu, hali inayotishia maisha yao.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia azungumza kwa simu na Mjumbe wa UN katika masuala ya Syria

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia azungumza kwa simu na Mjumbe wa UN katika masuala ya Syria

    May 14, 2023 06:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria.

  • Ujumbe wa kuchaguliwa Iran kama mwenyekiti wa Jukwaa la Kijamii la Haki za Kibinadamu

    Ujumbe wa kuchaguliwa Iran kama mwenyekiti wa Jukwaa la Kijamii la Haki za Kibinadamu

    May 14, 2023 01:24

    Ali Bahraini, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa mjini Geneva amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa kikao cha 19 cha Jukwaa la Kijamii la Baraza la Haki za Binadamu mwaka 2023.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS