Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Hali Sudan ingali ni tete, ufikishaji misaada kwa wahitaji ungali ni changamoto

    UN: Hali Sudan ingali ni tete, ufikishaji misaada kwa wahitaji ungali ni changamoto

    May 10, 2023 06:55

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema hali ya kibinadamu nchini Sudan ingali tete huku idadi ya wanaofurushwa ndani na nje ikiongezeka na kuna changamoto kubwa ya kufikisha misaada kwa wote wenye uhitaji.

  • Wataalamu wa UN: Israel iwajibishwe kwa mauaji ya Khader Adnan

    Wataalamu wa UN: Israel iwajibishwe kwa mauaji ya Khader Adnan

    May 04, 2023 08:17

    Wataalamu wawili wa Umoja wa Mataifa wametaka Israel iwajibike kwa mauaji ya Khader Adnan, kiongozi Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina ambaye alikata roho na kufa shahidi akiwa anashikiliwa katika jela ya Israel kufuatia mgomo wa kususia kula kwa muda wa siku 87.

  • Rais wa Baraza la Usalama la UN: Hali ya Afghanistan ni tatizo sugu na gumu

    Rais wa Baraza la Usalama la UN: Hali ya Afghanistan ni tatizo sugu na gumu

    May 02, 2023 06:41

    Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesema, hali ya Afghanistan ni "tatizo sugu na gumu sana" kuweza kushughulikiwa.

  • Yemen: Baraza la Usalama la UN halijawahi kuwa na nia ya kweli ya kurejesha amani nchini Yemen

    Yemen: Baraza la Usalama la UN halijawahi kuwa na nia ya kweli ya kurejesha amani nchini Yemen

    May 01, 2023 02:14

    Wizara ya Haki za Binadamu ya Yemen imetangaza kwamba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halijawahi kuwa mpatanishi asiyeegemea upande wowote na anayetaka kuwepo amani nchini humo.

  • UN yatahadharishwa: Tafsiri ya 'chuki dhidi ya Uyahudi' isitumiwe kudhibiti ukosoaji dhidi ya unyama wa Israel

    UN yatahadharishwa: Tafsiri ya 'chuki dhidi ya Uyahudi' isitumiwe kudhibiti ukosoaji dhidi ya unyama wa Israel

    Apr 22, 2023 12:06

    Zaidi ya mashirika 100 ya kutetea haki za binadamu na haki za kiraia yameuonya Umoja wa Mataifa dhidi ya matumizi ya tafsiri ya chuki dhidi ya Wayahudi ambayo inaweza kutumiwa kuzuia ukosoaji wa uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kudhoofisha uungaji mkono wa haki za Wapalestina.

  • Umoja wa Mataifa kujadili na kuamua kuhusu uhalali wa utawala wa Taliban

    Umoja wa Mataifa kujadili na kuamua kuhusu uhalali wa utawala wa Taliban

    Apr 19, 2023 05:54

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa: taasisi hiyo itachunguza upya suala la uhalali wa serikali ya Taliban nchini Afghanistan ndani ya kipindi cha wiki mbili zijazo.

  • Dola bilioni 2.6 zinahitajika mwaka huu kusaidia Wasomali zaidi ya milioni saba wenye hali mbaya

    Dola bilioni 2.6 zinahitajika mwaka huu kusaidia Wasomali zaidi ya milioni saba wenye hali mbaya

    Apr 06, 2023 07:24

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa dola bilioni 2.6 zinahitajika kwa ajili ya kuwasaidia mamilioni ya watu nchini Somalia ambako changamoto za mabadiliko ya tabianchi na mgogoro wa muda mrefu vimesababisha nchi hiyo kuwa na moja ya janga kubwa zaidi la kibinadamu duniani.

  • UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya

    UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya

    Mar 28, 2023 07:25

    Jopo la uchunguzi la Umoja wa Mataifa limesema kwamba, kuna ushahidi unaoonyesha kuwa jinai dhidi ya binadamu zimefanywa dhidi wa wananchi wa Libya na wahajiri waliokwama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, wakiwemo wanawake wanaolazimishwa kuingia kwenye utumwa wa kingono.

  • Indhari ya UN: Watu bilioni 2.4 hawatakuwa na maji mijini ifikapo mwaka 2050

    Indhari ya UN: Watu bilioni 2.4 hawatakuwa na maji mijini ifikapo mwaka 2050

    Mar 23, 2023 02:53

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti sasa hivi kuhakikisha rasilimali adhimu ya maji inalindwa, kudhibitiwa ipasavyo na kupatikana kwa kila mtu.

  • UN, nchi za Kiarabu zalaani uropokaji wa Waziri wa Fedha wa Israel

    UN, nchi za Kiarabu zalaani uropokaji wa Waziri wa Fedha wa Israel

    Mar 22, 2023 02:19

    Umoja wa Mataifa na ulimwengu wa Kiarabu umelaani matamshi ya kichochezi yaliyotolewa hivi karibuni na Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS