Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo

    Kuendelea mgogoro huko Sudan na kufukuzwa Mjumbe wa UN nchini humo

    Jun 11, 2023 08:58

    Mgogoro wa kisiasa na vita vya kuwania madaraka vinaendelea kutokota nchini Sudan licha ya jitihada zote za kimataifa na kikanda zinazofanyika kwa ajili ya kurejesha amani nchini huko. Katika hatua ya karibuni, Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imemfukuza Volker Perthes aliyekuwa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa na kumtaja kuwa mtu asiyetakikana nchini humo.

  • UN 'yaguswa' na ukatili wa Israel wa kumuua mtoto wa miaka 2

    UN 'yaguswa' na ukatili wa Israel wa kumuua mtoto wa miaka 2

    Jun 06, 2023 02:09

    Umoja wa Mataifa umelaani mauaji ya mtoto mdogo wa Kipalestina yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Watoto milioni 449 wanaishi katika maeneo ya migogoro

    Watoto milioni 449 wanaishi katika maeneo ya migogoro

    Jun 04, 2023 07:42

    Shirika la Save the Children limesema mamia ya mamilioni ya watoto wanaishi katika maeneo yenye migogoro ya kivita na wanakabiliwa na hatari ya kifo.

  • UN: Watoto nusu milioni wa Yemen wanakabiliwa na utapiamlo

    UN: Watoto nusu milioni wa Yemen wanakabiliwa na utapiamlo

    May 28, 2023 03:14

    Mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa, watoto zaidi ya laki tano wa Yemen wanawajihiwa na utapiamlo wa kiwango cha juu, hali inayotishia maisha yao.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia azungumza kwa simu na Mjumbe wa UN katika masuala ya Syria

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia azungumza kwa simu na Mjumbe wa UN katika masuala ya Syria

    May 14, 2023 03:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria.

  • Ujumbe wa kuchaguliwa Iran kama mwenyekiti wa Jukwaa la Kijamii la Haki za Kibinadamu

    Ujumbe wa kuchaguliwa Iran kama mwenyekiti wa Jukwaa la Kijamii la Haki za Kibinadamu

    May 13, 2023 21:54

    Ali Bahraini, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa mjini Geneva amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa kikao cha 19 cha Jukwaa la Kijamii la Baraza la Haki za Binadamu mwaka 2023.

  • UN: Hali Sudan ingali ni tete, ufikishaji misaada kwa wahitaji ungali ni changamoto

    UN: Hali Sudan ingali ni tete, ufikishaji misaada kwa wahitaji ungali ni changamoto

    May 10, 2023 03:25

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema hali ya kibinadamu nchini Sudan ingali tete huku idadi ya wanaofurushwa ndani na nje ikiongezeka na kuna changamoto kubwa ya kufikisha misaada kwa wote wenye uhitaji.

  • Wataalamu wa UN: Israel iwajibishwe kwa mauaji ya Khader Adnan

    Wataalamu wa UN: Israel iwajibishwe kwa mauaji ya Khader Adnan

    May 04, 2023 04:47

    Wataalamu wawili wa Umoja wa Mataifa wametaka Israel iwajibike kwa mauaji ya Khader Adnan, kiongozi Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina ambaye alikata roho na kufa shahidi akiwa anashikiliwa katika jela ya Israel kufuatia mgomo wa kususia kula kwa muda wa siku 87.

  • Rais wa Baraza la Usalama la UN: Hali ya Afghanistan ni tatizo sugu na gumu

    Rais wa Baraza la Usalama la UN: Hali ya Afghanistan ni tatizo sugu na gumu

    May 02, 2023 03:11

    Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesema, hali ya Afghanistan ni "tatizo sugu na gumu sana" kuweza kushughulikiwa.

  • Yemen: Baraza la Usalama la UN halijawahi kuwa na nia ya kweli ya kurejesha amani nchini Yemen

    Yemen: Baraza la Usalama la UN halijawahi kuwa na nia ya kweli ya kurejesha amani nchini Yemen

    Apr 30, 2023 22:44

    Wizara ya Haki za Binadamu ya Yemen imetangaza kwamba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halijawahi kuwa mpatanishi asiyeegemea upande wowote na anayetaka kuwepo amani nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS