Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UNODC: Mamilioni ya vijana duniani wamezama katika uraibu wa mihadarati

    UNODC: Mamilioni ya vijana duniani wamezama katika uraibu wa mihadarati

    Jun 28, 2022 03:27

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa Inayohusika na Jinai na Mihadarati (UNODC) imesema watu zaidi ya milioni 284 duniani wenye umri kati ya miaka 15 na 24, walitumia aina mbalimbali ya mihadarati mwaka juzi 2020, hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 26 katika kipindi cha muongo mmoja uliopita.

  • Bachelet ataka uchunguzi huru wa mauaji ya halaiki nchini Ethiopia

    Bachelet ataka uchunguzi huru wa mauaji ya halaiki nchini Ethiopia

    Jun 24, 2022 09:56

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa sambamba na kulaani mauaji ya halaiki ya hivi karibuni ya raia hususan wanawake na watoto wadogo magharibi mwa Ethiopia, ameitaka serikali ya Addis Ababa kufanya uchunguzi huru, wa kina, wa haraka na usioegemea upande wowote.

  • UN: Mwanahabari Shireen Abu Akleh aliuawa na wanajeshi wa Israel

    UN: Mwanahabari Shireen Abu Akleh aliuawa na wanajeshi wa Israel

    Jun 24, 2022 08:56

    Umoja wa Mataifa umesema taarifa ulizokusanya zinaonesha kuwa, Shireen Abu Akleh, mwandishi wa habari wa televisheni ya al-Jazeera ya Qatar aliuawa kwa kupigwa risasi na vikosi vya Israel.

  • UN: Usipopatikana msaada wa haraka hali ya kibinadamu itakuwa mbaya zaidi Nigeria

    UN: Usipopatikana msaada wa haraka hali ya kibinadamu itakuwa mbaya zaidi Nigeria

    Jun 22, 2022 03:27

    Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Nigeria ambaye pia ni mratibu wa misaada ya kibinadamu nchini humo Matthias Schmale amesema zaidi ya watu milioni 4.1 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo wanahitaji msaada wa haraka wa chakula katika msimu wa mwambo utakao anza hivi karibuni.

  • Mshauri wa Katibu Mkuu wa UN atoa wito wa kukomeshwa mizozo nchini Libya

    Mshauri wa Katibu Mkuu wa UN atoa wito wa kukomeshwa mizozo nchini Libya

    Jun 20, 2022 22:11

    Stephanie Williams, Mshauri wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya, ametoa wito kwa uongozi wa Baraza la Serikali ya Libya kukutana ndani ya siku 10 ili kutafuta suluhisho la masuala yenye utata yanayozua hitilafu baina ya makundi mbalimbali.

  • UN: Zaidi ya watu milioni 7 wamekuwa wakimbizi nje ya Ukraine mbali na wakimbizi wa ndani

    UN: Zaidi ya watu milioni 7 wamekuwa wakimbizi nje ya Ukraine mbali na wakimbizi wa ndani

    Jun 20, 2022 07:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vita vya Ukraine ni moja ya sababu za ongezeko la wakimbizi ulimwenguni na kwamba hadi hivi sasa mamilioni ya watu wameshakuwa wakimbizi kutokana na vita hivyo.

  • UN yajitenga na mpango wa kuwahamishia wakimbizi wa UK nchini Rwanda

    UN yajitenga na mpango wa kuwahamishia wakimbizi wa UK nchini Rwanda

    Jun 11, 2022 05:50

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limejiweka mbali na madai kuwa linaunga mkono mpango wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi nchini Uingereza.

  • UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro

    UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro

    Jun 08, 2022 06:23

    Timu ya ngazi ya juu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kuwafanyia Wapalestina vitendo vya kibaguzi ndio sababu kuu ya kushuhudiwa mawimbi ya ghasia zisizokwisha katika ardhi hizo zilizoghusubiwa.

  • Katibu Mkuu wa UN: Tuna dunia moja pekee, tunapaswa kuilinda

    Katibu Mkuu wa UN: Tuna dunia moja pekee, tunapaswa kuilinda

    Jun 05, 2022 03:46

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, amesema, sayari dunia ndio makazi pekee ya watu, akimaanisha kuwa hakutakuwa na pa kukimbilia ikiwa itachafuliwa na kusisitiza kwamba “ni muhimu kulinda afya ya anga yake, utajiri, na aina mbalimbali ya viumbe vilivyoko duniani bila kusahau ikolojia yake na rasilimali lukuki.”

  • Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Mtaalamu wa UN ataka kuharakishwa uchunguzi wa mauaji ya baada ya mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Jun 05, 2022 03:36

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu nchini Sudan ametaka kuharakishwa uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji pamoja na jinai zingine zilizofanywa katika nchi hiyo, huku idadi ya vifo vilivyotokea tangu yalipofanyika mapinduzi ya kijeshi mwaka uliopita ikikaribia watu 100.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS