-
UN yalaani shambulio la kigaidi la kusini mashariki mwa Iran
Feb 15, 2019 04:09Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa taarifa na kulaani shambulio la kigaidi lililotokea Jumatano usiku katika mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran.
-
UN: Mapigano mapya Sudan Kusini yasababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi
Feb 12, 2019 10:44Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema mapigano mapya yaliyoibuka nchini Sudan Kusini yamesababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.
-
Guterres: Wasichana wa vijijini wapewa fursa ya kusoma
Feb 10, 2019 23:15Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kufanywa jitihada na kuandaliwa mikakati maalumu kwa ajili ya kuwapa elimu watoto wa kike hususan wanaoishi vijijini.
-
Walinda amani watatu wafariki dunia katika ajali ya helikopta nchini Sudan
Feb 10, 2019 04:06Umoja wa Mataifa umesema kuwa, walinda usalama watatu wamepoteza maisha baada ya helikopta ya kijeshi ya Ethiopia kupata ajali ndani ya kituo cha askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa (UNISFA), kwenye eneo lenye mzozo la Abyei katika mpaka wa Sudan na Sudan Kusini.
-
UN: Mauaji ya Khashoggi yamefanywa na maafisa wa utawala wa Saudi Arabia
Feb 08, 2019 04:33Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema maafisa wa Saudi Arabia wanahusika moja kwa moja na mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala huo wa kifalme.
-
UN yasikitika kufungwa maisha jela viongozi wa upinzani Bahrain
Feb 01, 2019 23:17Umoja wa Mataifa umetilia shaka mchakato wa kesi, baada ya mahakama ya Bahrain kuwahukumu kifungo cha maisha jela viongozi wa upinzani nchini humo.
-
UNICEF: Zaidi ya watoto 6,000 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa katika vita vya Saudi Arabia dhidi ya Yemen
Jan 31, 2019 04:18Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto 6,700 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa tangu Saudi Arabia ilipoanzisha hujuma yake ya kijeshi dhidi ya nchi masikini ya Yemen.
-
UN: Tishio la Boko Haram Nigeria lasababisha watu 30 elfu kutoroka nchi
Jan 29, 2019 12:41Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 30,000 wamekimbia makazi yao katika mji wa Rann kaskazini mwa Nigeria na kuingia katika nchi jirani ya Cameroon kutokana na wasiwasi wa kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.
-
UN yachimbua makaburi 50 ya halaiki magharibi mwa Kongo DR
Jan 27, 2019 04:10Timu ya wataalamu wa Ofisi ya Pamoja ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (UNJHRO) imefukua zaidi ya makaburi 50 ya umati magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuripotiwa wimbi la mauaji yaliyotokea mwezi uliopita katika eneo hilo.
-
Mkuu wa jeshi la Myanmar akabiliwa na mashitaka ya mauaji ya kimbari
Jan 26, 2019 04:36Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Myanmar amesema kuna udharura wa kumfungulia mashitaka ya jinai mkuu wa jeshi la Myanmar kwa kuongoza wimbi la mauaji dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya magharibi mwa nchi hiyo sambamba na kubakwa wanawake Waislamu wa jamii hiyo inayokandamizwa.