-
Ukosoaji wa Russia kuhusu mkinzano uliopo kati ya shaari na hatua za Ulaya katika kulinda makubaliano ya JCPOA
Jul 06, 2019 07:19Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ambazo ni nchi wanachama wa Ulaya katika kundi la 4+1 mara kwa mara zimekuwa zikisisitiza juu ya ulazima wa kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA; na hata kudai kuwa zimeanzisha mfumo maalumu kwa lengo hilo. Pamoja na hayo, shaari na nara zinaotolewa na pande hizo za Ulaya zinakinzana na matendo yao.
-
Kurejea balozi wa Ujerumani nchini Venezuela, dalili nyingine ya kuimarika serikali ya Nicolás Maduro
Jul 03, 2019 22:14Sambamba na kurejea uthabiti wa kiwango fulani nchini Venezuela na kuimarika nafasi ya serikali ya Rais Nicolás Maduro, sasa nchi mbalimbali zinakusudia kuboresha uhusiano wao na serikali ya Caracas.
-
Kushadidi makabiliano ya kibiashara baina ya Marekani na Ulaya
Jul 03, 2019 03:00Rais Donald Trump wa Marekani kivitendo ameingia katika vita vya kibiashara na akthari ya madola makubwa kiuchumi uulimwenguni.
-
Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo
Jun 30, 2019 15:29Umoja wa Ulaya na troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kama wanachama wa kundi la 4+1, mara kwa mara zimekuwa zikitangaza uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo
Jun 30, 2019 06:03Umoja wa Ulaya na troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kama wanachama wa kundi la 4+1, mara kwa mara zimekuwa zikitangaza uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Kikao cha Vienna na 'JCPOA'; udharura wa kuwa huru Ulaya kivitendo
Jun 29, 2019 02:17Sambamba na kukaribia kumalizika kwa muhula wa siku 60 uliotolewa na Iran kwa nchi za Ulaya ili zichukue hatua za kivitendo zenye lengo la kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA, udiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unafuatilia maslahi yake ya kitaifa bila kujali mashinikizo ya kisiasa na kiuchumi.
-
Mfumo maalumu wa kifedha wa INSTEX waanza kufanya kazi
Jun 28, 2019 23:50Helga Schmid, Msaidizi wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amesema kuwa mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya, tayari umeanza kufanya kazi na hatua ya kwanza ya mabadilishano hayo inaendelea kufanya kazi.
-
Umoja wa Ulaya: Mfumo wa mabadilishano ya fedha na Iran umeanza kutekelezwa
Jun 28, 2019 23:27Naibu wa Mkuu wa Siasa za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha baina ya Ulaya na Iran maarufu kwa jina la INSTEX umeshaanza kufanya kazi.
-
Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA
Jun 26, 2019 02:17Huku muda uliowekwa na Iran wa kuongeza kiwango cha kutochunga ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA kutokana na upande wa pili wa mapatano hayo kutotekeleza kabisa ahadi zao ukikaribia, troika ya Ulaya yaani nchi tatu za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza zimeanzisha harakati za kidiplomasia na kipropaganda za kujaribu kuizuia Iran isichukue hatua zaidi za kupunguza utekelezaji wa ahadi zake.
-
Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuiokoa JCPOA
Jun 17, 2019 08:34Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuyaokoa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.