-
Kutekelezwa vikwazo mpya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia
Aug 06, 2017 23:14Umoja wa Ulaya umeanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Russia kuhusiana na mzozo wa peninsula ya Crimea.
-
Suala la Brexit laendelea kuzusha mivutano na hitilafu katika serikali ya Uingereza
Jul 31, 2017 09:50Hitilafu kati ya mawaziri wa serikali ya Uingereza kuhusu suala la kujiondoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit) zimeendelea kutokota baada ya Waziri wa Biashara ya Kimataifa wa nchi hiyo kupinga wazo lililotolewa na Waziri wa Fedha kwamba kuna ulazima wa kuainisha kipindi cha mpito nchini humo.
-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU: Quds ya Mashariki haitenganishiki na Palestina
Jul 29, 2017 03:22Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema Baitul Muqaddas Mashariki ni sehemu isiyotenganishika na Palestina.
-
EU haitatuma timu ya waangalizi wa uchaguzi nchini Angola
Jul 28, 2017 21:52Umoja wa Ulaya umefuta mpango wa kutuma timu ya waangalizi wake katika uchaguzi wa Angola unaofanyika mwezi ujao, baada ya serikali ya Luanda kutokubali baadhi ya masharti yake.
-
Japan: Suala la kuzunguza na Korea Kaskazini limepitwa na wakati
Jul 18, 2017 21:57Msemaji wa serikali ya Japan, Norio Maruyama ametaka kuzidishwa mashinikizo dhidi ya Korea Kaskazini akisema kuwa muda wa kufanya mazungumzo na nchi hiyo umepita.
-
EU yaonya uwezekano wa kutokea machafuko ya uchaguzi nchini Kenya
Jul 03, 2017 10:48Umoja wa Ulaya umeonya kuhusu uwezekano wa kutokea machafuko ya uchaguzi nchini Kenya na kusema kuwa, umetuma timu yake ya kwanza ya wasimamiaji wa uchaguzi nchini humo.
-
Umoja wa Ulaya wasisitiza kuendelea kushirikiana na DRC
Jun 18, 2017 23:03Umoja wa Ulaya umesisitiza kuwa, utaendelea kushirikiana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kwamba, vikwazo vya umoja huo dhidi ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo havitaathiri ushirikiano wa pande mbili.
-
Umoja wa Ulaya wakosoa kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Jun 10, 2017 03:11Umoja wa Ulaya umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo ya Wapalestina.
-
UN na EU zalaani mashambulio ya kigaidi ya Tehran, Baraza la Usalama la UN latoa heshima kwa waliouawa
Jun 07, 2017 11:09Mratibu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa hapa nchini na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya wamelaani mashambulio ya kigaidi yaliyotokea leo hapa mjini Tehran.
-
Mtazamo wa Umoja wa Ulaya kwa ajili ya kuimarisha ushirikiano na bara la Afrika
Jun 05, 2017 22:42Akizungumza hivi karibuni katika kikao cha 51 cha Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS huko Monrovia mji mkuu wa Liberia, Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amesema kuwa ushirikiano wa umoja huo na bara la Afrika una umuhimu mkubwa kwa ajili ya kudhamini amani na usalama barani humo.