Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Saud

  • Kuongezeka changamoto za Saudia Arabia kutokana na siasa zake mbovu

    Kuongezeka changamoto za Saudia Arabia kutokana na siasa zake mbovu

    Jun 29, 2017 04:10

    Habari zinaeleza kuongezeka kwa changamoto zinazoikabili Saudi Arabia kutokana na siasa mbovu na za kichokozi zinazotekelezwa na watawala wa nchi hiyo katika eneo.

  • Mohsen Rezaee: Ni miaka 40 sasa ambapo Aal-Saud wanaendesha njama chafu dhidi ya Iran

    Mohsen Rezaee: Ni miaka 40 sasa ambapo Aal-Saud wanaendesha njama chafu dhidi ya Iran

    Jun 15, 2017 04:37

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran, Mohsen Rezaee amesema kuwa, watawala wa Aal-Saud nchini Saudia walidhihirisha uadui na chuki yao dhidi ya raia wa taifa la Iran tangu miaka 40 iliyopita na kwamba, kila mara kumekuwa kukifichuliwa njama zao chafu dhidi ya taifa hili.

  • Utumiaji wa dini kwa malengo ya kisiasa, sura ya pamoja ya utawala wa Aal Saud na Israel

    Utumiaji wa dini kwa malengo ya kisiasa, sura ya pamoja ya utawala wa Aal Saud na Israel

    Jun 13, 2017 07:56

    Moja kati ya mambo yanayozikutanisha pamoja tawala za Aal Saudi huko Saudi Arabia na ule wa Kizayuni wa Israel ni kutumia dini, ibada na maeneo ya kidini kwa ajili ya kufikia malengo ya kisiasa.

  • Ansarullah Yemen: Saudia inataka kuwa polisi wa Marekani katika Mashariki ya Kati

    Ansarullah Yemen: Saudia inataka kuwa polisi wa Marekani katika Mashariki ya Kati

    Jun 08, 2017 02:26

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia umekuwa ukifanya kila uwezalo ili uwe polisi ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati na uwe ukizichukulia maamuzi tawala zote za Kiarabu.

  • Kushadidi ukandamizaji na utumiaji mabavu wa utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia

    Kushadidi ukandamizaji na utumiaji mabavu wa utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia

    Jun 04, 2017 07:31

    Ripoti kutoka Saudi Arabia zinaonyesha juu ya kuanza duru mpya ya mashambulio na hujuma za utawala wa Aal Saud dhidi ya wananchi wa nchi hiyo.

  • Kuendelea mauaji dhidi ya Waislamu wa Kishia nchini Saudi Arabia

    Kuendelea mauaji dhidi ya Waislamu wa Kishia nchini Saudi Arabia

    May 19, 2017 07:38

    Vyombo vya habari vimeripoti habari ya kuuawa kijana mmoja nchini Saudi Arabia kufuatia hujuma ya jeshi la utawala wa Aal Saud katika kijiji cha al-Awamiyah mashariki mwa nchi hiyo.

  • Askari wa Saudia waendeleza ukandamizaji katika maeneo ya Waislamu wa Shia, mashariki mwa nchi

    Askari wa Saudia waendeleza ukandamizaji katika maeneo ya Waislamu wa Shia, mashariki mwa nchi

    May 13, 2017 02:33

    Askari wa utawala wa Saudia wameendeleza ukandamizaji na jinai mbalimbali katika eneo la Al-Awamia, mashariki mwa nchi, ikiwa ni pamoja na kuyatia moto makazi ya raia na kushadidisha mzingiro katika eneo hilo.

  • UN yaionya Saudia dhidi ya kushambulia kwa mabomu bandari ya Yemen

    UN yaionya Saudia dhidi ya kushambulia kwa mabomu bandari ya Yemen

    Apr 20, 2017 14:13

    Umoja wa Mataifa umeutaka muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia usishambulie kwa mabomu bandari ya kistaratejia ya Yemen.

  • Yemen: Tumeorodhesha jinai zote za Saudia ili kuziwasilisha mahakama za kimataifa

    Yemen: Tumeorodhesha jinai zote za Saudia ili kuziwasilisha mahakama za kimataifa

    Apr 15, 2017 02:29

    Mwendesha mashtaka mkuu nchini Yemen amesema kuwa, jinai za Aal Saud inazozifanya nchini humo kupitia mashambulizi yake ya kila upande, zimeorodheshwa kwa ajili ya kuwasilishwa katika mahakama za kimataifa.

  • Kugharamika kijeshi Aal Saud na kubebeshwa raia mzigo wa kubana gharama za kiuchumi

    Kugharamika kijeshi Aal Saud na kubebeshwa raia mzigo wa kubana gharama za kiuchumi

    Nov 10, 2016 07:06

    Saudi Arabia inaendelea kutumia gharama kubwa za fedha kwa ajili ya sera za kijeshi huku ikiamua kutekeleza sera ya kubana matumizi kiuchumi katika sekta za ujenzi na ushughulikiaji hali za maisha ya raia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS