Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Saud

  • Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Ubelgiji dhidi ya Aal Saud

    Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Ubelgiji dhidi ya Aal Saud

    Oct 31, 2016 04:25

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameandamana mbelel ya ubalozi wa Saudi Arabia huko Brussels mji mkuu wa Ubelgiji kulalamikia na kupinga jinai za utawala wa Aal Saud.

  • Qazi-Askari aukosoa Umoja wa Mataifa kwa kunyamazia jinai za Saudia

    Qazi-Askari aukosoa Umoja wa Mataifa kwa kunyamazia jinai za Saudia

    Sep 23, 2016 08:17

    Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Hija ameukosoa vikali Umoja wa Mataifa kutokana na kufumbia kwake macho jinai za utawala wa Saudi Arabia.

  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Hija; ukumbusho wa jinai za Aal Saud

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Hija; ukumbusho wa jinai za Aal Saud

    Sep 06, 2016 06:44

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Jumatatu alituma ujumbe maalumu kwa mnasaba wa ibada adhimu ya Hija na kueleza kwamba msimu wa Hija kwa Waislamu ni msimu wa kujivunia na wa adhama mbele ya macho ya viumbe; na ni msimu wa kunawirisha nyoyo na kudhihirisha khushuu na unyenyekevu mbele ya Muumba.

  • Sheikh Nabil Qaouk: Saudi Arabia haina ubavu wa kukabiliana na Hizbullah

    Sheikh Nabil Qaouk: Saudi Arabia haina ubavu wa kukabiliana na Hizbullah

    Aug 09, 2016 04:28

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena amekosoa vikali siasa za kuharibu mambo za utawala wa Saudi Arabia katika Mashariki ya Kati.

  • Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Jul 15, 2016 16:07

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani, Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi duniani.

  • Utawala wa Saudia wamkamata mwanazuoni mkubwa wa Kishia

    Utawala wa Saudia wamkamata mwanazuoni mkubwa wa Kishia

    Jul 12, 2016 17:02

    Saudi Arabia imemkamata mwanazuoni mkubwa wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo, huku utawala huo wa kifalme ukiendelea kubana harakati za kidini za raia wa maeneo ya mashariki yenye utajiri mkubwa wa mafuta.

  • Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as): Hatua ya Aal Saud ni ya kufuru

    Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as): Hatua ya Aal Saud ni ya kufuru

    May 31, 2016 15:35

    Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) limetoa taarifa na kutangaza kuwa utawala wa Aal Saud umefanya kitendo cha kufuru kuwazuia mahujaji wa Kiirani wasifanye safari ya kwenda kutekeleza ibada ya Hija.

  • Shamkhani: Aal Saudi wamewazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Shamkhani: Aal Saudi wamewazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    May 31, 2016 04:18

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ukoo wa Aal Saud ndio uliowazuia Wairani wasitekeleze amali za Hija yenye izza na heshima.

  • Kongamano la kupinga utawala wa Aal Saudi lafanyika nchini Syria

    Kongamano la kupinga utawala wa Aal Saudi lafanyika nchini Syria

    May 17, 2016 07:52

    Shakhsia kadhaa wa kidini na kisiasa kutoka nchi kadhaa za eneo la Mashariki ya Kati wameshiriki kongamano la kuchunguza jinai za utawala wa Aal Saudi lililofanyika katika mji mkuu wa Syria Damascus.

  • Saudi Arabia yaendelea kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen

    Saudi Arabia yaendelea kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen

    Apr 02, 2016 04:40

    ndege za kijeshi za Saudi Arabia cimeendelea kufanya mashambulio katika maeneo mbalimbali ya Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS