Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Israel yaonywa na kutakiwa iache chokochoko zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Israel yaonywa na kutakiwa iache chokochoko zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Jan 04, 2023 04:03

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameuonya utawala haramu wa Israel na kuutaka uachane na chokochoko zake za kijeshi dhidi ya taifa hili ambazo zina lengo la kutekeleza sera zake za kishari katika eneo la Asia Magharibi.

  • Jenerali wa Kizayuni akiri kuwa mkakati wa Israel dhidi ya Iran umegonga mwamba

    Jenerali wa Kizayuni akiri kuwa mkakati wa Israel dhidi ya Iran umegonga mwamba

    Jan 02, 2023 03:43

    Mkuu wa zamani wa idara ya intelijensia ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa mkakati wa Tel Aviv dhidi ya Iran wa kutegemea vikwazo vikali vya kiuchumi na kuanzisha mpango wa kuzuia hujuma kupitia Marekani umeshindwa.

  • HAMAS yakosoa maazimio yasio na taathira yanayopitishwa na UN dhidi ya Israel

    HAMAS yakosoa maazimio yasio na taathira yanayopitishwa na UN dhidi ya Israel

    Dec 31, 2022 22:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeukosoa Umoja wa Mataifa kwa kupitisha maazimio kadhaa dhidi ya utawala wa Kizayuni bila ya kufikiria njia za kivitendo za kuwezesha utekelezaji wake.

  • Mufti Mkuu wa Oman aunga mkono kususiwa utawala haramu wa Israel

    Mufti Mkuu wa Oman aunga mkono kususiwa utawala haramu wa Israel

    Dec 31, 2022 05:40

    Mufti Mkuu wa Oman ameunga mkono mpango wa Bunge la nchi hiyo wa kususiwa utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao huko Palestina.

  • Kuanza kazi baraza la mawaziri la sita la Netanyahu katika mazingira ya mivutano katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Kuanza kazi baraza la mawaziri la sita la Netanyahu katika mazingira ya mivutano katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Dec 30, 2022 22:41

    Benjamini Netanyahu amepata kura ya kuwa na imani naye kwenye Knesset, bunge la utawala haramu wa Israel, na hivyo kupata fursa nyingine ya kuongoza baraza la mawaziri la utawala huo.

  • Kan'ani: Palestina itabakia milele; kuangamia ni katika dhati na utambulisho wa Israel

    Kan'ani: Palestina itabakia milele; kuangamia ni katika dhati na utambulisho wa Israel

    Dec 30, 2022 09:03

    Msemaji wa Wizara vya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa radiamali kwa madai yasiyo ya msingi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na kueleza kuwa, hatua hiyo inafuatilia kujijengea utambulisho wake.

  • Israel yakiri kuwa wazayuni 29 wameangamizwa katika mwaka unaomalizika wa 2022

    Israel yakiri kuwa wazayuni 29 wameangamizwa katika mwaka unaomalizika wa 2022

    Dec 28, 2022 08:13

    Idara ya usalama wa ndani ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shabak imekiri kuwa, Wazayuni 29 waliuawa katika operesheni za mashambulizi zilizofanywa na Wapalestina katika mwaka huu unaomalizika wa 2022.

  • Bunge la Oman: Kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ni uhalifu

    Bunge la Oman: Kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ni uhalifu

    Dec 28, 2022 05:08

    Baraza la Ushauri la Oman limeikabidhi Kamati wa Kutunga Sheria na Kulinda Haki ya nchi hiyo; muswada wa marekebisho ya kifungu cha 10 cha sheria ya kuharamisha na kupiga marufuku kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili upasishwe rasmi.

  • Wabahrain waandamana kulalamikia kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Wabahrain waandamana kulalamikia kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Dec 26, 2022 04:06

    Wananchi wa Bahrain wameandamana kulalalamikia na kulaani hatua ya nchi yao ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Kudumishwa harakati za Imarati kinyume na fikra za waliowengi katika ulimwengu wa Kiarabu

    Kudumishwa harakati za Imarati kinyume na fikra za waliowengi katika ulimwengu wa Kiarabu

    Dec 25, 2022 22:46

    Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kuimarisha uhusiano na utawala haramu wa Israel unaoendelea kuua watoto na wanawake wa Palestina na wakati huo huo kukalia kwa mabavu maeneo matakatifu ya Waislamu ikiwa ni pamoja na Msikiti wa al-Aqsa, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, umetia saini mapatano mapya ya kushirikiana kiuchumi na kibiashara na utawala huo ghasibu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS