-
Mousavi: Iran itatoa jibu la kujutisha kwa uchokozi wa aina yoyote ile
Dec 09, 2019 08:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran itatoa jibu kali na la kujutisha kwa uchokozi wa aina yoyote au hatua yoyote ile ya kipumbavu itakayochukuliwa dhidi yake.
-
Azimio la Kongresi ya Marekani dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi
Dec 08, 2019 23:11Serikali ya rais Donald Trump imekuwa ikitekeleza hatua zisizo za kawaida katika uwanja wa kuunga mkono vitendo vilivyo kinyume cha sheria vya utawala haramu wa Israel dhidi ya taifa la Palestina.
-
Kushindwa kwa jitihada za Washington za kuanzisha uhusiano baina ya Morocco na Israel
Dec 07, 2019 04:12Tangu aliposhika madaraka ya nchi miaka kadhaa iliyopita Rais Donald Trump wa Marekani amechukua hatua ambazo hazijawahi kushuhudiwa za kuuhami na kuukingia kifua utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Zarif azikosoa nchi za Magharibi kwa kunyazia kimya maghala ya silaha za nyuklia ya Israel
Dec 07, 2019 00:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekemea majaribio ya kombora linaloweza kubeba kichwa cha nyuklia yaliyofanywa na utawala haramu wa Israel na amezikosoa vikali Marekani na nchi za Ulaya kutokana na kunyamaza kimya mbele ya maghala ya silaha za nyuklia za utawala huo.
-
ICC yahofishwa na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 06, 2019 04:01Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ameelezea hofu yake kuhusu hatari za kuingizwa eneo la "Bonde la Jordan" katika sehemu ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas: Madai ya usitishaji vita wa muda mrefu ni propaganda za uchaguzi za utawala wa Kizayuni
Dec 05, 2019 04:38Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.
-
PLO yazitaka jumuiya za kimataifa kuchukua hatua za kuhitimisha jinai za Israel
Dec 05, 2019 01:12Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imezitaka jumuiya za kimataifa na watetezi wa haki za binadamu ulimwenguni kuchukua hatua haraka ili kuzuia kuendelea jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya taifa madhulumu la Palestina.
-
Watu zaidi ya 300 kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel
Dec 03, 2019 23:31Watu 333 watatoa ushahidi dhidi ya Benjamin Netanyahu Kwa mujibu wa mashtaka yaliyowasilishwa kwa bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) kuhusu mafaili ya ufisadi yanayomkabili Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni.
-
Google na Facebook zashirikiana na Israel dhidi ya Wapalestina
Nov 28, 2019 23:40Kamati ya Kuwaunga Mkono Waandishi Habari wa Palestina imetangaza kuwa, makampuni mawili ya Facebook na Google yanashirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika njama ya kutaka kuzima sauti za Wapalestina na kuficha jinai ziinazofanywa na utawala huo katili.
-
Mwendesha mashtaka wa Israel: Netanyahu alinitisha
Nov 22, 2019 10:33Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Utawala Haramu wa Kizayuni amesisitiza kwamba alipata vitisho vya kumtaka ajiepushe kutangaza makosa ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo.