Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Hizbullah: Tawala za nchi za Kiarabu ndizo zinazobeba dhima ya matatizo ya umma wa Kiislamu

    Hizbullah: Tawala za nchi za Kiarabu ndizo zinazobeba dhima ya matatizo ya umma wa Kiislamu

    Sep 25, 2019 04:18

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kushindwa tawala za nchi za Kiarabu kutekeleza majukumu yao ndiyo sababu ya kupata matatizo umma wa Kiislamu na kuendelea kuwepo utawala pandikizi wa Israel katika eneo hili.

  • Wamorocco wakasirishwa na kupeperushwa bendera ya Israel nchini kwao

    Wamorocco wakasirishwa na kupeperushwa bendera ya Israel nchini kwao

    Sep 24, 2019 08:42

    Safari ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel ukiongozwa na mmoja wa viongozi wa chama cha Likud nchini Morocco na kupeperushwa bendera ya utawala huo kusini mashariki mwa nchi hiyo, kumezua malalamiko ya Wamorocco.

  • Rais Rouhani: Kuweko mifarakano katika eneo, ndilo takwa la Marekani na Uzayuni

    Rais Rouhani: Kuweko mifarakano katika eneo, ndilo takwa la Marekani na Uzayuni

    Sep 22, 2019 09:27

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuweko mifarakano baina ya mataifa ya Mashariki ya Kati ndilo takwa la Marekani na Uzayuni.

  • Mayahudi wa Afrika Kusini waususia kitaaluma utawala wa Kizayuni

    Mayahudi wa Afrika Kusini waususia kitaaluma utawala wa Kizayuni

    Sep 18, 2019 20:55

    Karibu wasomi 70 wa Kiyahudi wa nchini Afrika Kusini wameususia kitaaluma utawala ghasibu wa Kizayuni.

  • Hamas yatoa radiamali kwa uchaguzi wa utawala wa Kizayuni

    Hamas yatoa radiamali kwa uchaguzi wa utawala wa Kizayuni

    Sep 18, 2019 20:54

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa kufanyika uchaguzi wa bunge la Israel hakutaleta mabadiliko yoyote katika mwenendo wa muqawama wa Wapalestina.

  • Mgombea urais nchini Tunisia apinga uhusiano wa aina yoyote na Israel

    Mgombea urais nchini Tunisia apinga uhusiano wa aina yoyote na Israel

    Sep 17, 2019 07:51

    Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tunisia, wameeneza video ya mgombea urais katika uchaguzi wa sasa nchini humo ambaye ameelezea kupinga kuboreshwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wazayuni watishia kuushambulia Ukanda wa Ghaza kabla ya uchaguzi wa bunge

    Wazayuni watishia kuushambulia Ukanda wa Ghaza kabla ya uchaguzi wa bunge

    Sep 15, 2019 22:08

    Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameitishia kuwa eneo la Ghaza litashambuliwa kabla ya kufanyika uchaguzi wa bunge la utawala huo siku ya Jumanne.

  • Wabunge Uingereza: Boris Johnson atoe jibu kali kwa ahadi za kivamizi za Netanyahu

    Wabunge Uingereza: Boris Johnson atoe jibu kali kwa ahadi za kivamizi za Netanyahu

    Sep 14, 2019 22:05

    Jumla ya wabunge 108 nchini Uingereza wamemwandikia barua Boris Johnson, Waziri Mkuu wa nchi hiyo wakiitaka serikali yake itoe jibu kali kwa kauli aliyotoa Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kuyaunganisha baadhi ya maeneo ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.

  • Netanyahu atimua mbio kuelekea mafichoni akikwepa makombora ya wanamuqawama

    Netanyahu atimua mbio kuelekea mafichoni akikwepa makombora ya wanamuqawama

    Sep 11, 2019 07:53

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni, vimeripoti habari ya kutimua mbio Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo, kufuatia kuvurumishwa na wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza makombora yaliyovilenga vitongoji vya walowezi wa utawala huo.

  • Nguvu za Muqawama katika maneno na vitendo

    Nguvu za Muqawama katika maneno na vitendo

    Sep 11, 2019 02:39

    Mikwaruzano baina ya kambi ya muqawama na utawala wa Kizayuni wa Israel imezidi kuwa mikubwa katika miezi ya hivi karibuni huku makundi ya muqawama yakizidi kuonesha nguvu zao kupitia maneno na vitendo dhidi ya utawala huo pandikizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS