-
Hamas yataka Wapalestina wawe wabunifu katika kupambana na Wazayuni
Jun 14, 2019 02:09Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeitaka serikali na wananchi wa Palestina kuwa na ubunifu wa kitaifa katika kukabiliana na siasa za kibeberu za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kituo cha nyuklia cha Israel kimekiri kuvujisha mada za radioactive
Jun 12, 2019 21:33Kituo cha nyuklia cha Demona kwa mara ya kwanza kimekiri kuwa kwa miaka kadhaa kimekuwa kikivujisha mada za radiocative.
-
Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'
Jun 11, 2019 00:51Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.
-
Ijumaa tarehe 7 Juni 2019
Jun 06, 2019 22:40Leo ni Ijumaa tarehe 7 Juni mwaka 2019.
-
Pompeo akiri kutotekelezeka mpango wa 'Muamala wa Karne'
Jun 04, 2019 02:42Licha ya juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini hata Mike Pompeo mwenyewe, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo hana matumaini ya kutekelezwa mpango huo.
-
Juhudi za Saudi Arabia za kufunika na kupuuza malengo ya Palestia ni kosa la kistratijia
May 31, 2019 03:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba juhudi zinazofanywa na utawala wa Saudi Arabia na baadhi ya nchi za Kiarabu za Asia Magharibi kwa ajili ya kufunika na kupuuza malengo matukufu ya taifa la Palestina ni kosa kubwa la kistratijia.
-
Utawala wa Kizayuni unazuia kutumwa Ghaza misaada ya kibinadamu kwa ajili ya raia Palestina
May 27, 2019 09:02Msemaji wa Shirika la Kuwahudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa UNRWA amesema kuwa Ukanda wa Ghaza ni eneo gumu zaidi kugawa misaada ya kibinadamu kutokana na eneo hilo kuzingrwa kwa pande zote na utawala wa Israel.
-
Kufungwa UNRWA; takwa jipya la Marekani dhidi ya Palestina
May 24, 2019 00:11Rais Donald Trump wa Marekani alipoingia katika ikulu ya nchi hiyo White House, alichukua msimamo wa kuiunga mkono Israel bila ya masharti yoyote na wakati huo huo kudhihirisha uhasama wa waziwazi dhidi ya Wapalestina.
-
HAMAS: Uamuzi wa Iran kuhusu JCPOA ni wa kishujaa
May 10, 2019 21:48Mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) nchini Lebanon amesema kuwa, hatua ya Iran ya kusitisha kwa muda utekelezaji wa ahadi zake katika baadhi ya vipengee vya mapatano ya nyuklia ya JCPOA, inaonyesha kuwa ni maamuzi ya kishujaa.
-
Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina
May 06, 2019 09:02Duru za habari za Palestina zimetangaza kuwa utawala wa Kizayuni hatimaye umekubali kusimamisha vita ulivyovianzisha huko Ukanda wa Ghaza kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu kutoka nchi mbalimbali duniani.