-
Kuwait yataka Israel itimuliwe katika Jumuiya ya Mabunge
May 04, 2019 10:31Spika wa Bunge la Kuwait amesisitiza juu ya kuendelezwa juhudi za kutimuliwa utawala haramu wa Israel kutoka katika Jumuiya ya Mabunge kutokana na jinai zake unazozitenda.
-
Jenerali Mzayuni akiri nguvu za makombora za HAMAS huko Palestina
Apr 29, 2019 23:42Jenerali mmoja Mzayuni amekiri kuwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ina nguvu kubwa za makombora ambazo zinaweza kusambaratisha maisha ya wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kiongozi Muadhamu: Baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni
Apr 15, 2019 10:13Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu hawafanyii kazi maamrisho ya Qur'ani na ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni.
-
Mashinikizo ya wananchi yawalazimisha Wazayuni kuvunja safari ya kwenda Bahrain
Apr 14, 2019 12:22Ujumbe wa kibiashara na kisiasa wa utawala wa Kizayuni uliokuwa umepanga kwenda mjini Manama, Bahrain kushiriki katika mkutano wa kimataifa wa kiuchumi umelazimika kuvunja safari hiyo kutokana na upinzani mkali wa wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Hizbullah: Muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni
Apr 05, 2019 01:57Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, nguvu na uwezo wa muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni.
-
Sisitizo la Mogherini la kupinga EU umiliki wa Israel wa milima ya Golan ya Syria
Mar 31, 2019 22:21Ikiwa ni katika kuendelea kujikomba kwa lobi za Kizayuni, rais wa Marekani Donald Trump, tarehe 25 Machi, 2019 alitambua rasmi kumilikiwa na Israel milima ya Golan ya Syria.
-
Jihadul Islami yawaonya Wazayuni wasithubutu kushambulia Ghaza
Mar 25, 2019 09:05Katibu Mkuu wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kufanya shambulio lolote dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
Syria: Marekani ndio tishio la usalama na amani ya kimataifa
Mar 22, 2019 20:00Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria sambamba na kulaani vikali matamshi ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel, imesema kuwa siasa za kupenda kujitanua na za mabavu za Washington, ndio sababu kuu ya kuibuka ghasia na tishio kwa usalama na uthabiti wa kimataifa.
-
Idadi ya wanajeshi wa Israel walioangamizwa kaskazini mwa Quds imeongezeka
Mar 18, 2019 10:56Vyombo vya habari vya Kizayuni leo Jumatatu vimetangaza kuwa kuhani mmoja wa Kizayuni ambaye alijeruhiwa katika oparesheni ya kijana wa Kipalestina karibu na kitongoji cha Ariel kaskazinii mwa mji wa Salfit katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan ameaga dunia.
-
Makundi ya Kipalestina yakaribisha oparesheni dhidi ya Wazayuni
Mar 17, 2019 13:41Makundi ya Muqawama ya Palestina yamekaribisha na kupongeza kufanyika kwa mafanikio oparesheni mpya dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.