Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO

    Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO

    Jan 09, 2019 05:18

    Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.

  • Lebanon: Ugaidi wa ukufurishaji na ugaidi wa Israel hatima yao ni moja

    Lebanon: Ugaidi wa ukufurishaji na ugaidi wa Israel hatima yao ni moja

    Jan 08, 2019 11:18

    Mkuu wa Usalama wa Umma nchini Lebanon amesema, hakuna tofauti kati ya ugaidi wa ukufurishaji na ugaidi utawala wa Kizayuni wa Israel, na akasisitiza kwamba ugaidi wa Israel, kama zilivyo aina nyingine za ugaidi, nao pia uko katika hali ya kutokomea.

  • Wapalestina washiriki kwenye Ijumaa ya 41 ya maandamano ya

    Wapalestina washiriki kwenye Ijumaa ya 41 ya maandamano ya "Haki ya Kurejea"

    Jan 04, 2019 23:11

    Maandamano ya 41 ya kila Ijumaa ya "Haki ya Kurejea" yalifanyika jana katika mpaka wa Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa anuani ya "Muqawama Dhidi ya Kuanzisha Uhusiano wa Kawaida."

  • Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuzima sauti ya adhana Baitul Muqaddas Mashariki

    Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuzima sauti ya adhana Baitul Muqaddas Mashariki

    Jan 02, 2019 23:41

    Televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa manispaa ya utawala huo haramu katika eneo la Baitul Muqaddas Mashariki (East Jerusalem) ina mpango wa kuzuia sauti ya adhana isisikike katika misikiti ya eneo hilo la Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Vyombo vya habari vya Kizayuni: Msimu wa Machipuo wa Syria umewadia

    Vyombo vya habari vya Kizayuni: Msimu wa Machipuo wa Syria umewadia

    Dec 31, 2018 03:23

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimekiri kuwa Syria na rais wa nchi hiyo Bashar al-Assad wameibuka washindi dhidi ya njama za nchi za Kiarabu na za Magharibi na kutangaza kuwa msimu wa machipuo wa Syria umewadia.

  • Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yalalamikia kuendelea kuchimbwa mashimo chini ya Masjid al-Aqswa

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yalalamikia kuendelea kuchimbwa mashimo chini ya Masjid al-Aqswa

    Dec 30, 2018 23:13

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa taarifa ikitaka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu uchimbaji mashimbo unaofanywa na Wazayuni chini ya Msikiti wa al-Aqswa na maeneo ya kandokando na msikiti huo.

  • Lebanon kuishtaki Israel Baraza la Usalama la UN

    Lebanon kuishtaki Israel Baraza la Usalama la UN

    Dec 27, 2018 03:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amemtaka mwakilishi wa kudumu wa nchi hiyo katika Umoja wa Mataifa kuwasilisha mashtaka dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Baraza la Usalama la umoja huo baada ya utawala huo kutumia anga ya Lebanon katika mashambulizi yake nchini Syria.

  • Israel kujenga vitongoji vipya  vyya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina

    Israel kujenga vitongoji vipya vyya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina

    Dec 26, 2018 03:51

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umetangaza kuwa, una mpango wa kujenga vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Mkuu wa jeshi la Israel akiri wameshindwa kulinda usalama wa Wazayuni

    Mkuu wa jeshi la Israel akiri wameshindwa kulinda usalama wa Wazayuni

    Dec 24, 2018 04:50

    Mkuu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa utawala huo umeshindwa katika miezi ya hivi karibuni kuwadhaminia usalama wao walowezi wa Kizayuni wanaishi karibu na Ukanda wa Ghaza.

  • Az-Zahar: Muqawama utaendelea mpaka utawala wa Kizayuni uangamizwe kikamilifu

    Az-Zahar: Muqawama utaendelea mpaka utawala wa Kizayuni uangamizwe kikamilifu

    Dec 23, 2018 23:19

    Mkuu wa mrengo wa Muqawama katika Bunge la Palestina, ameashiria mchango na nafasi ya Palestina katika mhimili wa Muqawama na kusisitiza kwamba: Inapasa uwepo uratibu kati ya muqawama wa Palestina, Syria na Lebanon ili kuangamizwa kwa Israel kuthibiti kikamilifu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS