-
Wapalestina zaidi ya 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na jeshi la Israel katika maandamano ya leo
May 14, 2018 08:50Wapalestina wasiopungua 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza
-
HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani
May 13, 2018 22:36Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, uvamizi uliofanywa walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa Al Aqsa hapo jana ni namna fulani ya utoaji vitisho unaofanywa na utawala wa Kizayuni kwa uungaji mkono wa Marekani.
-
Al-Wefaq ya Bahrain: Hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kujipendekeza kwa Israel inatia aibu
May 12, 2018 22:18Harakati ya Kitaifa ya Al-Wefaq ya nchini Bahrain imesema kuwa, matamshi ya Khalid bin Ahmed Al Khalifa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain katika kuunga mkono utawala haramu wa Kizayuni, ni ya kufedhehesha na anatakiwa kuliomba radhi taifa sambamba na kujiuzulu.
-
Israel yakiri udhaifu wake kwamba haina uwezo wa kuingia vitani kwa sasa
May 11, 2018 03:19Waziri wa Vita wa Utawala Haramu wa Israel, amekiri kwamba utawala huo hauna maandalizi ya kukabiliana na migogoro inayotokana na vita kwa sasa.
-
Ushindi wa Muqawama katika uchaguzi wa Lebanon wawatia kiwewe Wazayuni
May 08, 2018 22:26Vyombo vya habari utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa ushindi wa mrengo unaoongozwa na Hizbullah katika uchaguzi wa bunge la Lebanon unatia wasiwasi mkubwa.
-
Hamas: Mapambano yataendelea hadi pale utawala wa Kizayuni utakapoangamizwa
May 07, 2018 02:12Kiongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, mapambano dhidi ya adui Mzayuni yataendelea mpaka pale utawala wa Kizayuni wa Israel utakapoangamizwa.
-
Rouhani: Wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Trump na utawala wa Kizayuni
May 06, 2018 03:27Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Rais wa Marekani na utawala wa Kizayuni na kutilia mkazo kuwa wananchi wa Iran hawapendi vita, lakini wanajilinda na kujitetea kwa dhati.
-
Mwanahistoria mashuhuri wa Kiyahudi: Marekani imewafanyia hadaa watu wa Palestina
May 03, 2018 10:39Mwanahistoria mtajika wa Kiyahudi Ilan Pappé ameashiria jinsi baadhi ya Wapalestina walivyodhani kwamba Marekani ikiwa kama mpatanishi itasaidia mpango wa kuundwa nchi ya Palestina na kubainisha kuwa serikali za Marekani ikiwemo ya Barack Obama zimewafanyia hadaa watu wa Palestina.
-
Mayahudi wa Orthodox waandamana Quds (Jerusalem) na kuichoma moto bendera ya Israel
May 03, 2018 09:57Mayahudi wa Orthodox wamefanya maandamano usiku wa kuamkia leo huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na kuchoma moto bendera za utawala huo katili.
-
Iran yaitaka Israel na waungaji mkono wake waache chokochoko zao la sivyo watajuta
May 01, 2018 23:17Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya utawala haramu wa Israel na waungaji mkono wake na kuwataka waache njama na miamala yao hatari kwani jibu la Iran litakuwa la kushtukiza na la kuwafanya wajute.