Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Hamas yalaani ukatili unaofanywa na Wazayuni

    Hamas yalaani ukatili unaofanywa na Wazayuni

    Mar 20, 2016 22:48

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali hatua ya Wazayuni wa Israel ya kuchoma moto nyumba ya shahidi pekee wa jinai ya kuchomwa moto nyumba na familia ya al Sa'ad Dawabsheh na kuteketezwa watu wa familia hiyo wakiwa hai.

  • Hamas: Tel Aviv inataka kupotosha watu kuhusu mapambano ya Intifadha

    Hamas: Tel Aviv inataka kupotosha watu kuhusu mapambano ya Intifadha

    Mar 14, 2016 04:03

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamasi imetangaza kuwa lengo la mashambulizi yaliyofanywa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza ni kuwafanya walimwengu wasitilie maanani na kuzingatia mapambano ya Intifadha ya Quds Tukufu.

  • Madaesh wasiopungua elfu mbili wamepatiwa matibabu na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Madaesh wasiopungua elfu mbili wamepatiwa matibabu na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 13, 2016 00:00

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa magaidi wasiopungua elfu mbili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (IS) wa nchini Syria walipelekwa Israel kwa ajili ya kutibiwa.

  • Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine wavunja makubaliano ya kusimamisha vita na Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine wavunja makubaliano ya kusimamisha vita na Wapalestina

    Mar 12, 2016 11:54

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wamevunja makubaliano ya kusimamisha vita kati yao na Wapalestina kwa kuwashambulia kwa risasi wavuvi wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Juhudi zisizo na matunda  za Israel za kusambaratisha Intifadha ya Quds

    Juhudi zisizo na matunda za Israel za kusambaratisha Intifadha ya Quds

    Mar 12, 2016 04:52

    Baada ya juhudi za Israel za kusambaratisha Intifadha ya Quds kushindwa, Kamati ya Usalama ya utawala huo ghasibu sasa imechukua maamuzi mapya yanayolenga kuikandamiza Intifadha hiyo.

  • Mwanamasumbwi wa Iran akataa kuzipiga na mwenzake wa Israel, aungana na Wapalestina

    Mwanamasumbwi wa Iran akataa kuzipiga na mwenzake wa Israel, aungana na Wapalestina

    Mar 10, 2016 22:44

    Mchezaji wa timu ya taifa ya ndondi ya Iran amekataa kupigana na nchezaji wa ndondi wa utawala haramu wa Israel katika mashindano ya kimataifa ya ndondi ya Njia ya Hariri yanayofanyika Baku nchini Azerbaijan akionyesha uungaji mkono wake kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina

  • Wazayuni: Tumeshindwa kuisambaratisha Intifadha ya Quds

    Wazayuni: Tumeshindwa kuisambaratisha Intifadha ya Quds

    Mar 09, 2016 23:17

    Duru za Wazayuni zinaripoti kwamba, utawala ghasibu wa Israel umeshindwa kukabiliana na Intifadha ya Quds inayoendeshwa na wanamapambano wa Kipalestina.

  • Isaac Herzog: Baraza la Mawaziri la Benjamin Netanyahu limeshindwa kukabiliana na muqawama wa Palestina

    Isaac Herzog: Baraza la Mawaziri la Benjamin Netanyahu limeshindwa kukabiliana na muqawama wa Palestina

    Mar 09, 2016 11:56

    Viongozi wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamelikosoa vikali Baraza la Mawaziri la Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kutokana na kushindwa kukabiliana na operesheni za wanamapambano wa Kipalestina.

  • Zarif: Inaaibisha nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni

    Zarif: Inaaibisha nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni

    Mar 07, 2016 12:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema "inaaibisha" nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Zarif: Inaaibisha nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni

    Zarif: Inaaibisha nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni

    Mar 07, 2016 12:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema "inaaibisha" nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS