-
Amir-Abdollahian: Kuna haja ya kuimarishwa harakati za kidiplomasia ili kukabiliana na jinai za Wazayuni
Dec 25, 2023 03:41Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kuimarishwa juhudi za kidiplomasia kwa shabaha ya kukabiliana na jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Mbali na kuua watoto wachanga, Wazayuni wanafanya uporaji pia Ghaza
Dec 23, 2023 23:09Mkuu wa Ofisi ya Upashaji Habari ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa mbali na jinai zao nyingine nyingine kama za kuua watoto wachanga, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wanafanya uporaji pia wa mali za Wapalestina wakati wanapoingia kwenye nyumba walizozivunja kwa mashambulizi ya kikatili na kinyama huko Ghaza.
-
Wanajeshi wa Israel walioangamizwa na wanamuqawa wakaribia 500
Dec 23, 2023 08:40Idadi ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel walioangamizwa na wanamuqawama wa Palestina inazidi kuongezeka sambamba na wanajeshi wa jeshi hilo kuingiwa na kiwewe kutokana na operesheni za kijeshi dhidi yao katika Ukanda wa Gaza.
-
Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi
Dec 23, 2023 04:48Ijumaa ya jana, Desemba 22, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio la kuongeza misaada ya kibinadamu kwa watu wa Ukanda wa Gaza bila kutoa wito wa kusitishwa mapigano. Marekani na Russia, wanachama wawili wa kudumu wa Baraza la Usalama, hazikulipigia kura azimio hilo. Wajumbe wengine 13 wamelipigia kura ya ndiyo.
-
Vita vya Gaza na Kitendawili cha Siku Zijazo
Dec 21, 2023 04:10Hamjambo na karibuni kuwa nami katika kipindi chetu cha Makala ya Wiki ambacho kitaangazia vita vya Gaza na kitendawili kinachogubika mustakbali wa mapambano ya uhuru ya Wapalestina katika siku zijazo.
-
Spika wa Iran: Ngano ya kwamba utawala wa Kizayuni haushindiki imebaki kuwa historia
Dec 19, 2023 09:44Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ngano ya kwamba utawala wa Kizayuni haushindiki imebaki kuwa historia na kusisitiza kuwa, uungaji mkono wote wa nchi za Magharibi na Marekani hautaweza kuuokoa na kuutoa utawala huo kwenye kinamasi ulichonasa ndani yake.
-
Duru za Yemen: Meli mbili zimeshambuliwa wakati zinaelekea bandari za utawala wa Kizayuni
Dec 18, 2023 08:21Duru moja ya habari ya Yemen imeripoti kuwa limetokea shambulio la kombora lililolenga meli mbili zilizokuwa zikielekea bandari za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Ahmad Vahidi: Makundi ya kigaidi yanaungwa mkono na utawala wa Kizayuni
Dec 17, 2023 04:26Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa, makundi ya kigaidi yanayotaka kuvuruga amani, usalama na umoja wa wananchi wa mkoa wa Sistan na Baluchistan nchini Iran yanaungwa mkono na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Idadi ya mashahidi Gaza yakaribia watu 20,000
Dec 17, 2023 04:18Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza ongezeko la idadi ya mashahidi na majeruhi katika mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kigaidi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Wanajeshi 20 wa jeshi la kigaidi la Israel waangamizwa al-Shujaiya Gaza
Dec 16, 2023 08:42Jeshl la kigaidi la Israel limekiri kuwa, wanajeshi wake 20 wameuawa katika kipindi cha wiki moja iliyopita katika mapigano kati yao na vikosi vya muqawama wa Palestina katika eneo la al-Shujaiya katika Ukanda wa Gaza.