Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Kupigiwa kura ya veto maazimio yanayohusu vita vya Ghaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Kupigiwa kura ya veto maazimio yanayohusu vita vya Ghaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Oct 27, 2023 03:57

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeshindwa kupasisha azimio Katika hali ambayo wananchi wa Ukanda wa Ghaza bado wanakabiliwa na mashambulizi ya kinyama na ya kutisha ya utawala wa Kizayuni ambapo utawala huo unazuia kufikishwa misaada ya dharura katika eneo hilo.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Marekani ni mshirika katika uhalifu wa Israel

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Marekani ni mshirika katika uhalifu wa Israel

    Oct 26, 2023 04:03

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia dhulma inayokabiliwa na subira na ukakamavu wa wananchi wa Gaza dhidi ya jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema: Safari za mara kwa mara za marais wa Marekani na nchi nyingine za shari na dhalimu kama Uingereza, Ufaransa na Ujerumani huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni jaribio la kuzuia kusambaratika utawala huo ghasibu.

  • Kan'ani: Waungaji mkono wa Israel ni washirika wa jinai za utawala wa Kizayuni

    Kan'ani: Waungaji mkono wa Israel ni washirika wa jinai za utawala wa Kizayuni

    Oct 25, 2023 22:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kila anayeuunga mkono utawala wa Kizayuni anashiriki kikamilifu kwenye jinai za Israel na hawezi kamwe kujivua nazo.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala mbovu wa Israel unalipiza kisasi dhidi ya watu wanaodhulumiwa wa Palestina

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala mbovu wa Israel unalipiza kisasi dhidi ya watu wanaodhulumiwa wa Palestina

    Oct 25, 2023 11:56

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Utawala unaoikalia Quds kwa mabavu wa Israel uliojeruhiwa na kudhoofika, unalipiza kisasi kwa kipigo barabara cha wapiganaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais Ebrahim Raisi: Jinai za Wazayuni ni sura halisi ya ubaguzi na ukoloni wa Magharibi

    Rais Ebrahim Raisi: Jinai za Wazayuni ni sura halisi ya ubaguzi na ukoloni wa Magharibi

    Oct 25, 2023 11:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaja jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na uungaji mkono wa nchi za Magharibi kwa jinai hizo kuwa ni sura halisi ya ubaguzi wa rangi na ukoloni wa nchi za Magharibi.

  • Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza

    Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza

    Oct 25, 2023 04:19

    Siku 19 zimepita tangu kilipoanza Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza. Suali muhimu la kujiuliza hapa ni je, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na msimamo gani kuhusiana na vita hivi na imechukua hatua gani?

  • Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Oct 24, 2023 06:33

    Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni si tu kwamba inatoa misaada ya kila aina ya silaha na fedha kwa ajili ya kuushambuliwa Ukanda wa Ghaza, bali pia inapinga vikali usitishwaji vita katika uvamizi huo wa umwagaji damu kwa visingizio vya uongo na visivyo na msingi.

  • Jihad Islami: Misimamo ya nchi za Kiarabu na Kiislamu ni dhaifu

    Jihad Islami: Misimamo ya nchi za Kiarabu na Kiislamu ni dhaifu

    Oct 23, 2023 22:49

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa misimamo dhaifu ya nchi za Kiarabu na Kiislamu inazidisha mateso na masaibu kwa watu wa Ghaza.

  • Idadi ya mashahidi wa Gaza Palestina yafikia 5087

    Idadi ya mashahidi wa Gaza Palestina yafikia 5087

    Oct 23, 2023 08:40

    Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa, zaidi ya Wapalestina 5,000 wameuawa shahidi na wengine zaidi ya 15,000 kujeruhiwa kutokana na hujuma na mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais wa Iran: Biden amekiri kwamba Israel ni utawala bandia

    Rais wa Iran: Biden amekiri kwamba Israel ni utawala bandia

    Oct 23, 2023 04:43

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu wa Iran ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais wa Marekani, Joe Biden, kuwa yanapinga maendeleo ya kisaisa na kijamii na demokrasia na ni dhidi ya binadamu na akasema: Matamshi ya hivi majuzi ya Rais wa Marekani ni kukiri bila hiari kwamba utawala ghasibu wa Israel ni utawala bandia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS