Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Mpango wa mashirika 100 ya Kimarekani wa kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa utawala wa Israel

    Mpango wa mashirika 100 ya Kimarekani wa kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa utawala wa Israel

    Jun 09, 2023 22:12

    Mashirika mia moja ya Kimarekani yameanzisha mpango uliopewa jina la "Jamii Zisizo na Ubaguzi wa Rangi" kwa lengo la kusitisha uungaji mkono wa nchi yao kwa utawala wa kibaguzi wa Israel.

  • Asilimia 97 ya maji katika nyumba za Ukanda wa Ghaza, hayanyweki

    Asilimia 97 ya maji katika nyumba za Ukanda wa Ghaza, hayanyweki

    Jun 07, 2023 07:16

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Maji ya Ghaza ameeleza kuwa: Asilimia 97 ya maji katika nyumba za raia wa Palestina wa Ukanda wa Ghaza hayanyweki.

  • Hamas na Jihad al Islami: Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na Wazayuni

    Hamas na Jihad al Islami: Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na Wazayuni

    Jun 05, 2023 22:03

    Wakuu wa harakati mbili za muqawama yaani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na Jihad al Islami wamesema kuwa, chaguo pekee walilo nalo Wapalestina katika kupambana na utawala katili na vamizi wa Kizayuni, ni muqawama na kusimama imara kwenye misimamo yao ya haki.

  • Hamas: Mauaji ya Wazayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina yatambuliwe kuwa ni uhalifu

    Hamas: Mauaji ya Wazayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina yatambuliwe kuwa ni uhalifu

    Jun 05, 2023 07:26

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa wito wa kutambuliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina kuwa ni uhalifui na jinai, na kuwafungulia mashitaka wanaofanya jinai hizo.

  • Ayatullah Issa Qassim: Wananchi wa Bahrain hawatasalimu amri

    Ayatullah Issa Qassim: Wananchi wa Bahrain hawatasalimu amri

    Jun 03, 2023 03:20

    Ayatullah Issa Qassim, kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini Bahrain ametangaza kuwa, wananchi wa Bahrain katu hatawasalimu amri mbele ya dhulma na ukandamizaji dhidi yao.

  • Kan'ani: Iran inafuatilia kwa karibu harakati za kikanda za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kan'ani: Iran inafuatilia kwa karibu harakati za kikanda za utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 31, 2023 07:54

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba: "Nyumba ya buibui haiwezi kutegemewa na jitihada za kupanua uwepo wa utawala haramu wa Israel kikanda hazitasaidia kukarabati msingi inayoyumba ya utawala bandia wa Kizayuni."

  • Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yaonya upanuzi wa vitongoji vya walowezi Nablos

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yaonya upanuzi wa vitongoji vya walowezi Nablos

    May 31, 2023 03:17

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya mamlaka ya ndani ya Palestina imeonya kuhusiana na upanuzi wa vitongojii vya walowezi wa Kizayuni huko Nablos, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Jebeli: Kuweza Muqawama wa Palestina kuushurutisha utawala wa Kizayuni ni ushindi mkubwa

    Jebeli: Kuweza Muqawama wa Palestina kuushurutisha utawala wa Kizayuni ni ushindi mkubwa

    May 30, 2023 03:10

    Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ameyapongeza makundi ya muqawama ya Palestina kwa ushindi wao mkubwa katika mapigano ya hivi karibuni na utawala haramu wa Kizayuni wa Israe ambayo yalimalizika tu baada ya Israel kukubali masharti yao.

  • Lobi mpya kuundwa katika bunge la Wazayuni kwa lengo la kuuhodhi msikiti wa Al-Aqsa

    Lobi mpya kuundwa katika bunge la Wazayuni kwa lengo la kuuhodhi msikiti wa Al-Aqsa

    May 29, 2023 23:00

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel vimeripoti habari ya kuundwa "lobi mpya" ya Wazayuni katika Knesset (Bunge) la utawala huo ili kuudhibiti Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Idi ya muqawama; siku ya jinamizi kwa wavamizi

    Idi ya muqawama; siku ya jinamizi kwa wavamizi

    May 26, 2023 22:09

    Tarehe 25 Mei mwaka 2000, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulishindwa vibaya sana kwa kipigo kikali ulichopata kwa Muqawama wa Hizbullah ya Lebanon; na matokeo yake ukalazimika kurudi nyuma na kuondoka kimadhila kusini mwa nchi hiyo. Siku hiyo imekuwa maarufu nchini Lebanon kwa la jina la "Sikukuu ya Muqawama".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS