-
Mpango wa mashirika 100 ya Kimarekani wa kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa utawala wa Israel
Jun 09, 2023 22:12Mashirika mia moja ya Kimarekani yameanzisha mpango uliopewa jina la "Jamii Zisizo na Ubaguzi wa Rangi" kwa lengo la kusitisha uungaji mkono wa nchi yao kwa utawala wa kibaguzi wa Israel.
-
Asilimia 97 ya maji katika nyumba za Ukanda wa Ghaza, hayanyweki
Jun 07, 2023 07:16Mkurugenzi wa Taasisi ya Maji ya Ghaza ameeleza kuwa: Asilimia 97 ya maji katika nyumba za raia wa Palestina wa Ukanda wa Ghaza hayanyweki.
-
Hamas na Jihad al Islami: Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na Wazayuni
Jun 05, 2023 22:03Wakuu wa harakati mbili za muqawama yaani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na Jihad al Islami wamesema kuwa, chaguo pekee walilo nalo Wapalestina katika kupambana na utawala katili na vamizi wa Kizayuni, ni muqawama na kusimama imara kwenye misimamo yao ya haki.
-
Hamas: Mauaji ya Wazayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina yatambuliwe kuwa ni uhalifu
Jun 05, 2023 07:26Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa wito wa kutambuliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina kuwa ni uhalifui na jinai, na kuwafungulia mashitaka wanaofanya jinai hizo.
-
Ayatullah Issa Qassim: Wananchi wa Bahrain hawatasalimu amri
Jun 03, 2023 03:20Ayatullah Issa Qassim, kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini Bahrain ametangaza kuwa, wananchi wa Bahrain katu hatawasalimu amri mbele ya dhulma na ukandamizaji dhidi yao.
-
Kan'ani: Iran inafuatilia kwa karibu harakati za kikanda za utawala wa Kizayuni wa Israel
May 31, 2023 07:54Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba: "Nyumba ya buibui haiwezi kutegemewa na jitihada za kupanua uwepo wa utawala haramu wa Israel kikanda hazitasaidia kukarabati msingi inayoyumba ya utawala bandia wa Kizayuni."
-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yaonya upanuzi wa vitongoji vya walowezi Nablos
May 31, 2023 03:17Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya mamlaka ya ndani ya Palestina imeonya kuhusiana na upanuzi wa vitongojii vya walowezi wa Kizayuni huko Nablos, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Jebeli: Kuweza Muqawama wa Palestina kuushurutisha utawala wa Kizayuni ni ushindi mkubwa
May 30, 2023 03:10Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ameyapongeza makundi ya muqawama ya Palestina kwa ushindi wao mkubwa katika mapigano ya hivi karibuni na utawala haramu wa Kizayuni wa Israe ambayo yalimalizika tu baada ya Israel kukubali masharti yao.
-
Lobi mpya kuundwa katika bunge la Wazayuni kwa lengo la kuuhodhi msikiti wa Al-Aqsa
May 29, 2023 23:00Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel vimeripoti habari ya kuundwa "lobi mpya" ya Wazayuni katika Knesset (Bunge) la utawala huo ili kuudhibiti Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Idi ya muqawama; siku ya jinamizi kwa wavamizi
May 26, 2023 22:09Tarehe 25 Mei mwaka 2000, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulishindwa vibaya sana kwa kipigo kikali ulichopata kwa Muqawama wa Hizbullah ya Lebanon; na matokeo yake ukalazimika kurudi nyuma na kuondoka kimadhila kusini mwa nchi hiyo. Siku hiyo imekuwa maarufu nchini Lebanon kwa la jina la "Sikukuu ya Muqawama".