-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Maghasibu wameshambulia maeneo 200 ya Ghaza katika siku 2
May 11, 2023 08:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza kuwa maghasibu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika muda wa siku mbili wameshambulia maeneo 200 ya Ukanda wa Ghaza na kuandika katika ukurasa wake wa Twitter kwamba: Makazi ya raia ndiyo yaliyolengwa pakubwa katika hujuma hizo za Wazayuni.
-
Jinai mpya ya baraza la mawaziri lililofeli la Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza
May 10, 2023 07:06Katika kuendeleza jinai zake, utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi Wapalestina 13 wakiwemo makamanda watatu wa ngazi za juu wa Saraya al-Quds, tawi la kijeshi la harakati ya Jihad Islami ya Palestina katika mashambulizi kadhaa ya kigaidi kwenye maeneo ya Ukanda wa Ghaza.
-
Brigedi ya Jenin: Adui Mzayuni hatanusa harufu ya amani
May 06, 2023 03:15Brigedi ya Jenin yenye mfungamano na Saraya al-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa, utawala ghasibu wa Israel hautaona amani, na Wazayuni watajutia waliyoyafanya.
-
Wanajeshi wa Israel washambulia Hospitali Bait Laham na Msikiti wa Al-Aqsa
May 01, 2023 03:53Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wameshambulia hospitali moja mjini Bait Laham mapema leo Jumatatu na kurusha mabomu ya kutoa machozi ndani ya hospitali hiyo.
-
Kufika Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwenye mpaka wa Palestina kumewatia kiwewe Wazayuni
Apr 30, 2023 22:45Viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wametiwa wasiwasi na hatua ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ya kufika kwenye mipaka ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Maandamano ya maelfu ya Wazayuni yanaendelea katika ardhi za Palestina
Apr 26, 2023 02:48Maelfu ya Wazayuni wameendelea na maandamano yao ya kumpinga waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, katika miji ya Quds na Tel Aviv licha ya kuweko sherehe za miaka 75 ya kuasisiwa utawala haramu na pandikizi wa Israel.
-
Wasiwasi wa Israeli kuhusu matukio mapya ya kimkakati katika Asia Magharibi
Apr 23, 2023 13:03Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwapo matukio kadhaa ya kimkakati katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ambayo yameufanya utawala wa Kizayuni wa Israel uingiwe na wasiwasi na hofu kubwa.
-
Hizbullah: Ndoto ya Netanyahu ya kuanzisha muungano dhidi ya Iran haikuaguka
Apr 22, 2023 09:03Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema: matukio ya hivi karibuni ya Palestina na eneo na milingano uliolazimishwa kuwepo na Muqawama vimezima ndoto ya Netanyahu ya kuanzisha muungano dhidi ya Iran.
-
Sheikh Kazem Seddiqi: Marekani imeshindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ndani wa Israel
Apr 21, 2023 08:13Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, licha ya Marekani kuwa na mfungamano wote na utawala haramu wa Israel lakini imeshindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ndani wa utawala huo, na hilo ni ishara ya kutokuwa na uwezo.
-
Qatar na Iran zasisitiza uhusiano wa pande mbili na kuiunga mkono Palestina
Apr 21, 2023 07:47Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuimarisha zaidi uhusiano na majirani ni katikia sera za kigeni za Tehran zinazopewa kipaumbele.